Je, Mtoto aliyezaliwa nje ya Ndoa anafaa kuitwa Jina la ubini la Baba yake?

Mtoto ni mtoto!!hakuna haramu wala halali as long as Mungu ameruhusu azaliwe...kabla ya kuletewa dini mambo yalikuaje,maana Mungu hakuumba dini ila mwanadamu!
 
Labda Sheria ya dini ya kiislamu, yaani umzalishe Binti huko nje alafu useme sio mtoto wako kwa sababu ya Sheria ya dini, acheni kunyanyasa wanawake na kuwabagua. Hapa ndio mnafanyaga dini zionekane ubabaishaji.
 
Kisheria mtoto wa zinaa ni WA mama Tu,tambua au tofautisha juu ya sheria za Dini na nje ya sheria za Dini

Sasa kama unafuata Dini basi tambua mtoto wa zinaa ni WA mama
Why mwanamke na sio mwanaume?
 
Labda Sheria ya dini ya kiislamu, yaani umzalishe Binti huko nje alafu useme sio mtoto wako kwa sababu ya Sheria ya dini, acheni kunyanyasa wanawake na kuwabagua. Hapa ndio mnafanyaga dini zionekane ubabaishaji.
Kwanini husemi wazinifu mpaka wanazaa nje ndio wababaishaji?

Haki siku zote itabakia kuwa haki hata kama huipendi chief

Kama ni muislamu basi huwezi kukwepa sheria,Sisi hatujakombolewa na damu ya mwanadamu,sheria ni sehemu ya mafundisho yetu.
 
Unataka uite ubini wa nani afu baba akifa umlete mwanao apate mgao c ndio
 
Unataka uite ubini wa nani afu baba akifa umlete mwanao apate mgao c ndio

Mtoto wa nje ya ndoa ima anaweza kuitwa Kwa jina la mama yake au ubini WA mama yake.

Na huyo mtoto Hana haki ya kumrithi Baba yake Bali mama yake, na Baba hamrithi huyo mtoto, Ila unaweza kumpa Mali lkn ukifa Hana haki ya kukurithi
 
Haramu ni haramu uwezi ita jina la ubini wa kao baba kwa mtoto haramu uyo anapewa majina ya kwao mama yake sAbu mama yake tyr kashakua haramu
Uharamu WA mama na mtoto unaingiaje hapo chief

Yatosha kuitwa mtoto wa nje ya ndoa au zinaa
 
Sasa hii dini ya HAKI mbona inakinzana na haki za mtoto kwa makosa ya wazazi wao
Haki siku zote inaambatana na wajibu,maana utazini na kusema haki yako na kulaumu Dini ya haki inakunyima haki

Sheria IPO kuwajibisha na kurekebisha
 
Mtoto ni mtoto!!hakuna haramu wala halali as long as Mungu ameruhusu azaliwe...kabla ya kuletewa dini mambo yalikuaje,maana Mungu hakuumba dini ila mwanadamu!

Wewe unazungumza Kwa matamanio yako.

Kama hujui Dini imetoka wapi basi ni changamoto kubwa sana
 
Msinyanyase watoto kwa kigezo cha dini.

Watoto wote wana haki sawa ya kupata malezi/mapenzi ya wazazi wao.
Watu haohao wameshikilia Ismail ni mtoto wa Abraham ili hali kazaliwa na kijakazi wa mke wake.
 
Kwanini husemi wazinifu mpaka wanazaa nje ndio wababaishaji?

Haki siku zote itabakia kuwa haki hata kama huipendi chief

Kama ni muislamu basi huwezi kukwepa sheria,Sisi hatujakombolewa na damu ya mwanadamu,sheria ni sehemu ya mafundisho yetu.
Binadamu ni zaidi ya hiyo dini au ndoa, unaijua haki ww au unataka kuleta Sheria zisizo na KWELI ndani yake, ikiwa haki ndio inatafutwa basi hakuna haramu kwa kiumbe hai kwa kuwa sio mpango wako ww mwanadamu. Ndoa ni utaratibu wa kurasimisha umiliki wa kimahusiano kati ya mtu na mtu hapa Duniani zisikutoe ufahamu ukajiona unahaki zaidi ya wengine.
 
Watu haohao wameshikilia Ismail ni mtoto wa Abraham ili hali kazaliwa na kijakazi wa mke wake.
Baada ya mama Sara kumkabidhi hajara Kwa Ibrahim alimkabidhi kama mke tayar

Je Una shida na Hilo chief?
 

Kwanza ujue unazungumza katika muktadha gani?

Mada imejikita katika sheria za Dini ya kiislamu.

Sasa kama una mambo yako mengine naomba utupishe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…