Hayo ni mapungufu Yao kama wazazi wake, lakini ukweli utabakia pale pale kuwa huyo ni mtoto wa mama kama ni kweli hakuzaliwa ndani ya ndoa
Kwahiyo mama ndo ana haki zote
leo damu yako mzee usisingizie diniNa nyie ndio mnawatengeneza Sana masigle mom kitaani
Mungu awaongoze
Kwani hiyo imani yako inasemaje? kuhusu mke ulio jitwalia bila hizi ya wazazi wake kwa sababu tunapo ongelea ndoa ni kitendo cha kukabidhiwa mke na wazazi wake wakiume hiyo bdio ndoa labda wewe ujui nini maana ya neno ndoaHizi dini za kuletewa hizi zinavioja Sana. Mungu mlikutana nae wapi akayasema yote hayo? Au utashi wa binadamu ndio umepelekea kuyaandika hayo? Labda tuwaulize Ismail ni mtoto wa nani? Maana Abraham alimpata nje ya ndoa.
Masuala ya kusema ndoa ya kanisani au msikitini ni halali na nje ya hapo ni haramu yanaudhi Sana. Yaani mwanangu asirithi Mali au asitumie jina langu kisa dini! Basi Bora niachane na hiyo dini kuliko kupoteza uhusiano wa damu baina yangu na mtoto.
Hapana mkuu napingana na wewe,hata kama mama amezini na mwanaume lkn mwenye mtoto ni mamamama ajazaa peke yake kashiriki na mtu. kwa kigezo hiko ni kujifunga.
mfano mzuri umeona leo watu wakijipendekeza kwa walifanikiwa ambao kama wengekuwa maskini basi wasinge wajua.
mimi na sema hizi dini zipo kwa ajili ya maskini si tajiri
hakuna cha kweli zaidi ya ukweli ile ni DAMU yako hakuja cha kukwepa hapoHayo ni mapungufu Yao kama wazazi wake, lakini ukweli utabakia pale pale kuwa huyo ni mtoto wa mama kama ni kweli hakuzaliwa ndani ya ndoa
Kwahiyo mama ndo ana haki zote
Hayo ni mapungufu Yao kama wazazi wake, lakini ukweli utabakia pale pale kuwa huyo ni mtoto wa mama kama ni kweli hakuzaliwa ndani ya ndoa
Kwahiyo mama ndo ana haki zote
we kafiri kaa kushoto huko mchabia kataratasi weweMungu hajawahi kuweka utaratibu wowote na popote zaidi ya binadamu wenye roho mbaya kusingizia Mungu. Kila kitu Cha ovyo hufanyika Kwa kigezo Cha Mungu, Mauaji ya kujitoa mhanga(MUNGU).
alicho kiandika umekifahamu au ulikuwa umelalaMsinyanyase watoto kwa kigezo cha dini.
Watoto wote wana haki sawa ya kupata malezi/mapenzi ya wazazi wao.
taizo la kafiri upinga kila kitu hali yakuwa kitabu chao kinapinga uzinziKwa hiyo mungu kukataza uzinzi ni hiyo ni roho mbaya?
Kwa hiyo binti yako huyo unaye mlea ukija kugundua kuwa ndo kipozeo cha nyege za vijana hapo mitaani kwako utamuita umpongeze?
Mungu kuja kukataza kitu ujue kina madhara, uzinzi umeshababisha matatizo makubwa ndani ya jamii.
Kwa mujibu wa Sheria ya mtoto ya 2009,moja kati ya haki za mtoto ni jina la ubini.Kwa Sheria za Tanzania hakuna mtoto haramu,kwa hiyo mtoto wa nje ya ndoa anastahiki sawa na mtoto wa ndani ya ndoa.Kwa mujibu wa imani ya kiislamu mtoto ambaye amezaliwa nje ya ndoa hatambuliki Kwa mujibu wa Sheria kama mtoto wa Baba husika.
Kwasababu kizazi au uzao WA familia unatakiwa upatikane ndani ya ndoa ya kisheria au ndoa iliyofungwa Kwa misingi ya Dini,na nje ya hapo huyo ni mtoto wa zinaa ambaye kisheria anatambulika kama mtoto wa mama aliye mzaa Tu.
Ingawa kikawaida atafahamika kama mtoto wa Baba Fulani lkn kidini huyo Baba hatambuliki na hivyo kuna haki Fulani ambazo Baba hawezi kumfanyia mtoto wake.
Moja wapo ni huyo mtoto hafai kuitwa Jina la ubini WA Baba yake,Hilo Jambo ni haramu Sana na Mungu ameshalikemea tayari, ingawa Kwa bahati mbaya Sana Kwa kutojua wengi wamewapa majina ya ubini wao hao watoto wa nje ya ndoa.
Na lingine ni kumuozesha kwenye ndoa, Baba Hana haki ya kumuozesha binti yake WA nje ya ndoa Kwa mumewe kwani ndoa hiyo ni batili na haifai kabisa.
Lingine huyo mtoto hawezi kumrithi Baba yake kwasababu kisheria huyo mtoto sio WA huyo Baba,Bali Baba anaweza kumpa sehemu ya Mali huyo mtoto,lkn mara Tu huyo Baba anapokufa basi huyo mtoto Hana haki ya Kurithi chochote.
Lakini sio vibaya huyo Baba kumhudumia huyo kijana Kwa malezi na mahitaji mbali mbali maadam Tu yeye ndiye sababu ya kuja Hicho kiumbe hapa duniani.
Na mtoto ambaye Hana Baba kisheria anaweza kuitwa Kwa jina la mama yake, Kwa mfano ETUGRUL BEY ASHA au Kwa jina la ubini Kwa upande wa mama yake.
Kubwa ni kutambua uzao mzuri ambao hata kizazi chako kinaweza pata haki stahiki ni kizazi ambacho kinatokana na ndoa takatifu ambayo IPO Kwa mujibu wa Sheria.
Na hata wale ambao wanafunga ndoa za kiserikali basi watambue kidini Hicho kizazi Chao hakitambuliki na Sheria za Dini Kwa maana Baba Hana watoto hapo Ila watoto ni WA mama.
Ni hayo Tu!
Kazakh destroyer
Msonjo
Nurain
adriz
professional Driver
baby zu
Utaambiwa ismail ni mtoto wa ndoa wa binti farao, ila ukweli ni mtoto was hajiri mchepuko aliye halalishwa na mke wa ndoa.Hizi dini za kuletewa hizi zinavioja Sana. Mungu mlikutana nae wapi akayasema yote hayo? Au utashi wa binadamu ndio umepelekea kuyaandika hayo? Labda tuwaulize Ismail ni mtoto wa nani? Maana Abraham alimpata nje ya ndoa.
Masuala ya kusema ndoa ya kanisani au msikitini ni halali na nje ya hapo ni haramu yanaudhi Sana. Yaani mwanangu asirithi Mali au asitumie jina langu kisa dini! Basi Bora niachane na hiyo dini kuliko kupoteza uhusiano wa damu baina yangu na mtoto.
Sijui kama nimekuelewa vizur au laaHilo ni Swali au Jibu ?
Naona kama umetoa Jibu kwa njia ya Swali.... Anyway to each his/her own
Ila kama unataka kujua mawazo yangu kama unachosema ni sahihi au Sheria zilizopitwa na wakati nifahamishe ili tuendelee au tusitishe mjadala....
Mambo ya Bastard, Snow, Sun n.k. nadhani yamepitwa na wakati huwezi kumuhukumu mtoto kwa sins of their father's (by the watu hata hilo kama ni dhambi au sio dhambi bado ni debatable)
Ngoja nikuelimishe kidogo kila unachokiona duniani kiko chini ya under control hata ww uko chini ya under control.Ngoja niachane na huu mjadala lakini Mimi nitabaki na kile ninachokiamini kuwa ni sahihi masuala ya Mungu kasema huku tunawatesa wengine siwezi kuunga mkono.
taizo la kafiri upinga kila kitu hali yakuwa kitabu chao kinapinga uzinzi
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Ukitaka kuhoji hayo basi itabidi uanze kuhoji je uzao kutoka Kwa adam ilikuwaje kuwajeUtaambiwa ismail ni mtoto wa ndoa wa binti farao, ila ukweli ni mtoto was hajiri mchepuko aliye halalishwa na mke wa ndoa.
kaelewa tu hili awe kafiri apinge kila kinacho semwa kwa mujibu wa din ya wisilamu hata kama kimedhihili kwenye kitabu chaoHaijakatazwa kuwapa mapenzi wala malezi, na ndio maana hata Mali unaweza kumpa lkn kuna haki kadhaa hastahili kupata kama nilivyoeleza hapo juu