Je, Mungu aliumba ulimwengu akiwa wapi?

Je, Mungu aliumba ulimwengu akiwa wapi?

Nishati yote duniani chanzo chakra ni jua,but can change from one form to another.kwahio mwisho wa uhai au maisha ni kufa Kwa jua letu.swali la kujiuliza Nini chanzo Cha jua?na chanzo Cha ulimwengu?after that you can define what is life?and where it came from and its original.
Siwezi kusema chanzo, labda mechanism - nuclear fusion
 
Malaika Wapo Wabaya..Wazuri na Waovu Unajuaje Kwamba Alikuwa anaongea na Malaika Mzuri au Mbaya.. Kama Mungu amekamilika Inakuwaje Tena Anatuma Viumbe wengine kwenda Kuongea na Wengine

Mbona Wewe Hujawahi Kutumwa Kwenda kuongea na Malaika au Viumbe wengine kama jini na Mashetani. Yaani wao tu ndio wanakuja Kwako. Huwezi jiuliza Hata Kutumia Tu Akili hapo kwamba Unapumbazwa



Kwanza Mungu Haongei na Viumbe wake. Maana Kuongea Ni mpaka Mtu apate Mwili na Mdomo na Ulimi. Mungu akiongea Basi Ujue Hapo Ana Mwili kama Wewe au Viumbe unavyo-viona vinatembea. Na Kama Angekuwa anaongea Mpka Leo hii angekuwa anaongea

Ukiona Ameandika Aliongea mwanzo halafu Leo hii Haongei Jua Umepumbazwa na Maandiko





Kwanza Hawakuja na Ujumbe Mmoja. Musa Alikuja Na Yake..
🟢Mambo ya Sabato n.k
🟢Torati

Yesu akaja na Yake..
🟢Mambo ya Mwana Wa Mungu
🟢Roho Mtakatifu

Mohamed akaja na Yake
🟢 Kuabudu Mecca
🟢Mungu hana Mshirika

Maana Leo Kuna Msikiti..Kanisa na Sinagogi. Kama Hawa Wangekuwa Wote wametumwa Na Mungu Basi Wasingepishana Hivyo. Leo hii Muislam anaabudu tofauti na Mkristo... Leo hii Wayahudi wanaabudu Tofauti na Waislamu na Wakristo. Sasa Hapo Mungu Mmoja Yupo wapi


[emoji1630]POLE KWA KUPIGWA BAN

[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Namaanisha kabla ya ulimwengu kuumbwa, Mungu aliumba ulimwengu na kila kilichomo akiwa wapi? Je, alikuwa Mbinguni? Na wakati anaumba mbingu, alikuwa anaiumba akiwa wapi?
Ulimwengu huu hakuna aujuwae mwanzo wala mwisho wake.

Mwenyewe kwenye Qur'an anasema yupo karibu na wewe, hujijuwi tu.


Usimfananishe Mwenyezi Mungu na chochote. Unapata tabu kwa sababu ulishaaminisha zile picha za mzungu kuwa ni mungu wako.
 
Ndiyo maana yake wanakubali kuwa nguvu za uumbaji zipo na zinajulikana ila wanakataa kuwa hizo nguvu zina jitambua(yaani ni nafsi)
Nafsi ni nini? Kwamba tafsri ya nafsi ni nguvu zinazo jitambua?
 
Ni jibu nini sasa hapo mambo ya Mungu aachiwe Mungu, hebu nikuulize swali alaf unipe majibu unaweza niambia funza kaingiaje kwenye kokwa la embe? Ukipatia basi ntaujibu ilo la kwako
Sasa kama haujui funza kafikaje kwenye embe utaweza kweli kujua mungu alikuwa wapi kabla ya kuumba ulimwengu?
Hapa mi nitakuwa sawa na mtu anaelima mpunga kwa lengo la kuvuna mahindi.
Hiyo kazi sifanyi
 
Project iliyowaleta kwenye Accient civilization ilikua ni Gold,
Dhahabu ilikua ni lengo kuu kwao
Inadaiwa Dhahabu ni ufunguo wa maisha kwao maana hapo kale ulitokea mtafuruku kwenye Sayari Zao uliokuja kuzalisha vita Kali Sana iliyohusisha Nuclear reactors power kutokana na ujuzi mkubwa wa kiteknolkjia walikuta wameharibu mifumo ya kawaida wa Sayari za Orion's
Wakajikuta Kuna material wanazihitaji Ili kurecover Moja wapo ni dhahabu basi ndio waakanza kuzunguka Sayari mbali mbali wakizitafuta ndio wakajipata wapo duniani na hapa walikuta mfumo tofauti wa kimazingira kama ilivyo Sasa,
Katika maandiko ya kale ya Sumerian wanadai waliwakuta duniani viumbe mithili ya primitive wakiishi kama wanyama wengine wa kawaida na changamoto kubwa kwao licha ya technology kubwa ila walihitaji man power wa kusaidia kazi na ndipo walipoanza majaribio ya kisayansi ya kumproject primitive Kwa kuchanganya DNA tests mara ya kwanza walianza kupata viumbe vingi kama
marmeids
viumbe kichwa Cha mbuzi kiwili wili Cha Binadamu na miguu yenye kwako,
Wakatengeneza nusu
Mtu nusu nyani
Wakatengeneza nusu farasi nusu Mtu
Wakatengeneza nusu nyoka nusu Mtu
Tatizo lilikuja Hawa viumbe walio wa project walifeli kwenye uzalishaji yaani hao viumbe wote walikua hawana uwezo wa kuzalisha Zaidi na walichukua kipindi kichache kusurvive
Annunaki wakaona wanaingia hasara kutengeza sample Kila siku kuongeza nguvu KAZI ndio walipokaa na kuamua
Kutoa DNA Za miili Yao na kuunganisha na ya primitive
Wakabahatika kumtoa Homo sapiens Sapiens kamili ambae ndie super human na akawa na uwezo wa kuzalisha na ana life span ndefu,mwenye akili,ujuzi na kutambua Nini anafanya
Humanoids waliweza kufanya Kazi wakiongozwa na akili Zao timamu na ANUNNAK wakawapa ujuzi mkubwa sana wa kuchimba gold na kuanzisha ustaarabu wa kwanza wa kale na ndio historia ya Mwanadamu na Watu ikaanzia hapo,

Hapo tunaona lengo ni Gold tu na Ndio maana jiulize Toka Hapo kale walikua wanachimba dhahabu Kwa mamillion ya Tani na zikaja kupotea ghafla tu zilienda wapi na hua haziozi?
Jibu utapata mataifa makubwa yanajua Siri za Gold na ndio maana inazalishwa Kwa wingi ila hua haieleweki inakopotelea hata utafiti wa Hivi majuzi unadai Kuna upotevu wa kutatanisha wa dhahabu yaani kiwango kinachozalishwa ni kikubwa ila kinachoingia kwenye rekodi ni kidogo Sana

Secrets a.k.a secreto!

Duuh noma kweli
 
Nishati yote duniani chanzo chakra ni jua,but can change from one form to another.kwahio mwisho wa uhai au maisha ni kufa Kwa jua letu.swali la kujiuliza Nini chanzo Cha jua?na chanzo Cha ulimwengu?after that you can define what is life?and where it came from and its original.
Umedanganywa....ulimwenguni kuna majua mengi sana
 
Nafsi ni nini? Kwamba tafsri ya nafsi ni nguvu zinazo jitambua?
Nikama sisi ...sisi kisayansi pia ni energy na nafsi ni energy pia kwa kuwa vitu vyote ni energy.....wanasayansi wanapinga huu ukweli kuwa energy inaweza kujitambua licha wao wenyewe pia ni energy zenye kujitambua
 
Angalia mifumo ya dunia ilivyoundwa kwa ustadi mkubwa utagundua Mungu yupo.kwa mfano aliona majira yanatakiwa yabadilike kuwe na mchana na usiku.

Sent from my Nokia 2.3 using JamiiForums mobile app
 
Ni mjinga tu asiyeona uwepo wa Mungu.

Sent from my Nokia 2.3 using JamiiForums mobile app
Mungu huyo Aliumbaje wajinga wasio ona uwepo wake?

Mungu huyo, Alishindwaje kuumba binadamu werevu tu wanao ona uwepo wake?

Automatically kazi ya Mungu ya uumbaji ina dosari na kasoro kwa kuumba binadamu wajinga wasio ona uwepo wake.
 
Namaanisha kabla ya ulimwengu kuumbwa, Mungu aliumba ulimwengu na kila kilichomo akiwa wapi? Je, alikuwa Mbinguni? Na wakati anaumba mbingu, alikuwa anaiumba akiwa wapi?
Hapakuwa na 'kabla' kabla muda haujaumbwa. Ni sawa na kuuliza north of north pole! Hauwezi kuuliza kilichokuwepo kabla wakati hiyo kabla inatokana na muda
 
Ulimwengu huu hakuna aujuwae mwanzo wala mwisho wake.

Mwenyewe kwenye Qur'an anasema yupo karibu na wewe, hujijuwi tu.


Usimfananishe Mwenyezi Mungu na chochote. Unapata tabu kwa sababu ulishaaminisha zile picha za mzungu kuwa ni mungu wako.
Kwa nini nyie huwa mnaingilia kazi zake
 
Nikama sisi ...sisi kisayansi pia ni energy na nafsi ni energy pia kwa kuwa vitu vyote ni energy.....wanasayansi wanapinga huu ukweli kuwa energy inaweza kujitambua licha wa wao wenyewe pia ni energy zenye kujitambua

Duuh noma kwekweli
 
Japo siiamini bibilia ila naijua vizuri sana kwa vile nimekulia katika imani kali sana ya kikristo.
Mwanzo inasema roho wa Mungu akatulia katika vilindi vya maji


Dunia ilikuwa ukiwa tena giza totoro na dunia yote ilikuwa ni maji tu. Mungu aliiumba dunia akiwa juu ya maji ya dunia. Ukiondoa binadamu aliyeumbwa kwa mkono, vingine vyote viliumbwa kwa neno, yaan alikuwa akitamka tu vinatokea
 
Waandishi kama hawa nawashangaa wanawaamini wanasayansi wa kizungu kuliko Mungu yani vitabu vya wanasayansi mnaviamini kuliko vitabu vya mungu
 
Back
Top Bottom