Je, Mungu analo Jina? Jina lake ni lipi?

Je, Mungu analo Jina? Jina lake ni lipi?

Umenikumbusha,

Nilipokuwa katika mkanganyiko mkubwa baada ya kusoma BIBLIA, nilitaka kujua Yesu ni nani Hasa.

Nilipokuwa katika kuwaza, wakaja watu wawili na kugonga geti LANGU na kujitambulisha kuwa wao ni mashahidi wa YEHOVA.

Walisema hakuna Roho mtakatifu,

Wakasema pia Yesu ndiye Mikael Malaika mkuu,

Kwamba kwao, Yesu ni Malaika.

Nilipowahoji maswali kiundani walinikimbia.

Mashahidi wa YEHOVA ni dini ya uongo ya mpinga Kristo.

Ikiwa upo huko, hama haraka, kuzimu inakwita.
Kuna wengine walikuja hapa kwangu wakiwa wa 3, nikakubali wanifundishe kupitia vile vijarida vyao. Kila siku wananipima kwa kuniambia niwaulize maswali, nikawaambia naomba kwanza biblia mnayotumia niisome halafu maswali yangu yatokane na tafsiri ya biblia yetu.

Wakaleta, baada ya kumaliza kijarida cha kwanza, nikawauliza swali MTU ANAPATAJE WOKOVU? wakafurahi sana, wakaleta maandiko mengi sana, tulipoyasoma kwenye biblia yako, kukawa na contradiction

Wao wanasema wokovu unapatikana kwa ushirika wa imani, matendo mazuri na tuii
Kinyume na Yohana 3:16, efeso 2:8-9,Tito 3:5 haya maandiko hata kwenye biblia yao yako hivyo hivyo ila sasa ugumu ni kwenye mtazamo wao.

Mpaka leo ni wiki ya 3 kila jumamosi wanabadilisha watu wa kunitembelea lakini bado hawajanipa majibu ya kueleweka. Na mimi naendelea kuwasikiliza tu maana kila wakija wanaomba wakapitie vizuri na kuja kunielewesha 😅
 
Mimi naona tabu kufanya maombi kwa "Mungu wa Israel".
Hii inawapa kiburi Jews kuona watu wanamshobokea Mungu wao!
 
Kuna wengine walikuja hapa kwangu wakiwa wa 3, nikakubali wanifundishe kuoitia vile vijarida vyao. Kila siku wananipima kwa kuniambia niwaulize maswali, nikawaambia naomba kwanza biblia mnayotumia niusome halafu maswali yangu yatokane na tafsiri ya biblia yetu.

Wakaleta, baada ya kumaliza kijarida cha kwanza, nikawauliza swali MTU ANAPATAJE WOKOVU? wakafurahi sana, walatoa maandiko mengi sana, tulipoyasoma kwenye biblia yako, kukawa na contradiction

Wao wanasema wokovu unapatikana kwa ushirika wa imani, matendo mazuri na tuii
Kinyume na Yohana 3:16, efeso 2:8-9,Tito 3:5 haya maandiko hata kwenye biblia yao yako hivyo hivyo ila sasa ugumu ni kwenye mtazamo wao.

Mpaka leo ni wiki ya 3 kila jumamosi wanabadilusha watu wa kunitembelea lakini bado hawajanipa majibu ya kueleweka. Na mimi naendelea kuwasikiliza tu maana kila wakija wanaomba wakapitie vizuri na kuja kunielewesha 😅
Nimecheka
Ndo uone kuwa doctrine ya mwanzilishi wao, yaani revelation aliyopata haikuwa sawa!
Ila wao wamemezeshwa tu ,hawachanganui Kwa akili zao....
Ufahamu imefungwa totally!

Yaani watu hawajui kuwa sio Kila revelation inatoka Kwa Mungu,hata shetani anayo🤣
 
Roho mtakatifu ni ROHO wa Yesu.

Mungu ni MMOJA NAFSI Moja.

Akiwa Mbinguni ni Baba,

Alipokuja katika mwili wa mwanadamu aliitwa mwana,

Aishipo ndani ya WANADAMU wote Kwa wakati mmoja, anaitwa Roho mtakatifu, au Roho wa Yesu.

Mungu ni MMOJA na YESU ndilo JINA lake.
Hapana mkuu,kwenye andiko la Yohana20:17 Yesu anasema anapenda kwa BABA yake ambae ni Mungu wake na Mungu wetu,nanukuu Yohana20:17"Yesu akamwambia acha kuning'ang'ania,kwa maana Bado sijaoanda kwenda kwa Baba.Lakini nenda kwa ndugu zangu nawe uwaambie,Ninapanda KWENDA KWA BABA YANGU na baba yenu na kwa MUNGU WANGU NA KWA MUNGU WENU" kulingana na hilo andiko Yesu anakiri ana baba yake ambae ndie Mungu wake.
 
Kuna wengine walikuja hapa kwangu wakiwa wa 3, nikakubali wanifundishe kuoitia vile vijarida vyao. Kila siku wananipima kwa kuniambia niwaulize maswali, nikawaambia naomba kwanza biblia mnayotumia niusome halafu maswali yangu yatokane na tafsiri ya biblia yetu.

Wakaleta, baada ya kumaliza kijarida cha kwanza, nikawauliza swali MTU ANAPATAJE WOKOVU? wakafurahi sana, walatoa maandiko mengi sana, tulipoyasoma kwenye biblia yako, kukawa na contradiction

Wao wanasema wokovu unapatikana kwa ushirika wa imani, matendo mazuri na tuii
Kinyume na Yohana 3:16, efeso 2:8-9,Tito 3:5 haya maandiko hata kwenye biblia yao yako hivyo hivyo ila sasa ugumu ni kwenye mtazamo wao.

Mpaka leo ni wiki ya 3 kila jumamosi wanabadilusha watu wa kunitembelea lakini bado hawajanipa majibu ya kueleweka. Na mimi naendelea kuwasikiliza tu maana kila wakija wanaomba wakapitie vizuri na kuja kunielewesha 😅
Na BIBLIA Yao imebadilishwa.

Hizi ni siku za mwisho, hata BIBLIA inabidi kuzitunza kabisa, mitandaoni wanaendelea kubadili kidogo kidogo,

Itafika time zitafutwa, tuzitunze sana BIBLIA, au Neno la Mungu Kwa kulisoma na kusave moyoni.
 
Na BIBLIA Yao imebadilishwa.

Hizi ni siku za mwisho, hata BIBLIA inabidi kuzitunza kabisa, mitandaoni wanaendelea kubadili kidogo kidogo,

Itafika time zitafutwa, tuzitunze sana BIBLIA, au Neno la Mungu Kwa kulisoma na kusave moyoni.
We fikiria
Eti Bible inakuwa updated nani kasema?

Ht sloam Ganda la juu wamebadurisha🤣
Wanakwambia wanaombva Kwa kutumia "damu ya Mungu mwenyewe"
Wanasema damu ya haki, kweli na hukumu🤔🙄

Pata picha
 
Mimi nimesema hivi Roho Mtakatifu kabeba nguvu za Mungu ila yeye sio nguvu!
Unaelewa tofauti ya haya maneno?
Kitu kinachobena ni chombo!..

Yaani kikombe kikiwa kimebeba maji ndani ,utasema kikombe ni maji?

Pili Yesu ni Mungu ,yes
Kwa sbb hili jina Mungu alijifunua nalo kupitia agano jipya!

Ndo maana ye alisema hili jina ameli rithi kutoka Kwa baba yake!?

Kitu kinachorithiwa manaake hakikuwa Cha kwako!
Mkuu unafaham vizuri kiswahili? Maswala ya nafsi ya kwanza,ya pili na ya3 unafaham wingi na umoja katika sentensi? Ukisema roho mtakatifu maana yake ni mtu,ila tungesema roho kitakatifu ndio kingekuwa chombo.Kama Huwa unasoma Biblia maandiko mengi yanaonyeshwa roho ilikuwa inamiminwa kwa watu mbalimbali,Sasa je chombo kinaweza kumiminwa?
 
  • Thanks
Reactions: 511
Jina lake ni Mungu na sifa yake ni Mungu kwa maana ya Ukuu wa Ulimwengu na vilivyomo.
 
Hapana mkuu,kwenye andiko la Yohana20:17 Yesu anasema anapenda kwa BABA yake ambae ni Mungu wake na Mungu wetu,nanukuu Yohana20:17"Yesu akamwambia acha kuning'ang'ania,kwa maana Bado sijaoanda kwenda kwa Baba.Lakini nenda kwa ndugu zangu nawe uwaambie,Ninapanda KWENDA KWA BABA YANGU na baba yenu na kwa MUNGU WANGU NA KWA MUNGU WENU" kulingana na hilo andiko Yesu anakiri ana baba yake ambae ndie Mungu wake.
Huko ni kujishusha, kujinyenyekeza Ili atimize mission.

Ujio wa Yesu duniani ni Siri, wengi hawakujua.

Yohana mbatizaji alimwambia Yesu, sistahili kukubatiza wewe sababu u mkuu kuliko Mimi.

Yesu anamwambia we nibatize tu Ili kutimiza maandiko.

Yohana mbatizaji alikuwa na Roho ya Elia, hivyo katika Roho alijua Uungu wa Yesu.

Kuyajua hayo, ni Mungu akusaidie.
 
  • Thanks
Reactions: 511
Na BIBLIA Yao imebadilishwa.

Hizi ni siku za mwisho, hata BIBLIA inabidi kuzitunza kabisa, mitandaoni wanaendelea kubadili kidogo kidogo,

Itafika time zitafutwa, tuzitunze sana BIBLIA, au Neno la Mungu Kwa kulisoma na kusave moyoni.
Mpaka uwe na ufahamu sana kugundua hilo, wamecheza na maneno kubadili maana halisi. Naipitia hapa😅 mpaka walete jibu sahihi ndio waikomboe. (kidding)
20240212_155056.jpg
 
Jina lake ni Mungu na sifa yake ni Mungu kwa maana ya Ukuu wa Ulimwengu na vilivyomo.
Mungu ana Jina lililofunuliwa AGANO la jipya ambalo lilikuwa limefichwa AGANO la kale.

Neno linasema,

Akamkirimia Jina lipitalo Majina yote,Ili Kwa Jina la YESU, Kila goti lipigwe Mbinguni na duniani.

Mungu ni MMOJA na YESU ndilo JINA lake.

Amen
 
  • Thanks
Reactions: 511
Mkuu unafaham vizuri kiswahili? Maswala ya nafsi ya kwanza,ya pili na ya3 unafaham wingi na umoja katika sentensi? Ukisema roho mtakatifu maana yake ni mtu,ila tungesema roho kitakatifu ndio kingekuwa chombo.Kama Huwa unasoma Biblia maandiko mengi yanaonyeshwa roho ilikuwa inamiminwa kwa watu mbalimbali,Sasa je chombo kinaweza kumiminwa?
Kuna maswali mengi nimekuuliza hujayajibi.
Anyway,tufanye hivi....hebu soma mwanzo 1:1-2..... concentrate mstari wa 2,na Yohana 1:1-...
Niambie unaelewaje,tuanzie hapo
Manaake naona unanipazimisha ku discuss vitu ambavyo sio
 

Attachments

  • Screenshot_20240212-155321.jpg
    Screenshot_20240212-155321.jpg
    144.8 KB · Views: 3
  • Screenshot_20240212-152441_1.jpg
    Screenshot_20240212-152441_1.jpg
    83 KB · Views: 4
Mikaeli ndiye Malaika mkuu,ambae ni Yesu Kristo,kama upo tayari nikupe darasa tunaweza endelea,na ntakuwa natumia maandiko katika hoja zangu sio maneno matupu.
UTATIMIA BIBLIA yenu ya mchongo au BIBLIA halisi?😀
 
Back
Top Bottom