Je, Mungu analo Jina? Jina lake ni lipi?

Je, Mungu analo Jina? Jina lake ni lipi?

Okay mkuu, nilizani unasema Mungu ana nafsi3 maana ndio chanzo Cha watu kumwita Yesu Mungu,kwahiyo unaungana na Mimi kuwa roho takatifu ni nguvu za Mungu na sio mtu?
Roho mtakatifu ni ROHO wa Yesu.

Mungu ni MMOJA NAFSI Moja.

Akiwa Mbinguni ni Baba,

Alipokuja katika mwili wa mwanadamu aliitwa mwana,

Aishipo ndani ya WANADAMU wote Kwa wakati mmoja, anaitwa Roho mtakatifu, au Roho wa Yesu.

Mungu ni MMOJA na YESU ndilo JINA lake.
 
Halafu hapa Jf tunatumia fake id kuficha majina yetu, Rabbon anataka tu reveal personal name of God, huoni huu ni mtego wa kuvunja privacy policy ya JF eti Tayana-wog 😂😂 (jokes baada ya jina kupatikana, we rejoice )
Kwamba Mungu ana I'd ya kificho JF😀😀
 
  • Kicheko
Reactions: 511
Mkuu mm ni mkristo na Biblia sio tu naisoma Bali naielewa,kama una mda soma Methali/Mithali 8:22-31 halafu unaambie aliyezungumziwa hapo ni nani,kama haitoshi soma pia Wakolosai1:15,16. Yesu aliumbwa na Mungu(Yehova) kabla ya chochote kile mbinguni na duniani,na ni yeye pekee aliyeumbwa na Mungu moja kwa moja ndiyosababu anaitwa Mwana wa pekee,lakini Yesu pia alikuwa anamsaidia Mungu katika kazi ya kuumba vitu vingine,soma Methali/Mithali8:30"Wakati huo nilikuwa kando yake nikiwa mfanyakazi stadi," Mkuu Yesu ana mwanzo,lakini Mungu Hana mwanzo na hawezi kufa kama ambavyo Yesu alikufa siku3
Mithali kitabu Cha wayahudi/Suleiman,wayahudi hawawezi andika huo ushibwada,ni Imani ya Mungu mmoja asiye na mwana Wala mfano,Wala hahitaji kolabo kwenye uumbaji,hicho kitabu Cha wapagani wa kirumi na matusi yao kwa Mungu hakiwezi kuwa rejea ya Mungu muumba ni nani
 
  • Kicheko
Reactions: 511
Kiuhalisia hakunaga mwanadamu anae lijua jina la Mungu alieiumba hii dunia
Umeongea kwa uelewa wa hali ya juu..ni wachache watakaokuelewa.

Mungu aliyeumba ulimwengu huu ni nani!?
  • sababu za kuumba
  • yeye yuko wapi
  • je, ametelekeza hii kazi?
  • kwanini amejificha
  • je, bado yuko au ameshatoweka?
  • kwanini anakaa kimya na kuacha wanadamu watengeneze miungu yao!?..ukristo, uisilamu, uhindu n.k

Mambo ni mengi.
 
Kwa Ukristo.
Mungu ni cheo cha juu anatambulika kama Jehovah.
Yesu ni nguvu kuu ya utendaji iliyo ndani ya Mungu.
Thus huwezi kemea pepo kwa jina la Mungu bali Yesu.
Shetani anaogopa jina la Yesu na sio Jehovah.
Sahihi kabisa. Ukitaja jina la Mungu mbele ya pepo (jini) litakwambia na lenyewe limeubwa na Mungu.
 
Sijui hata tunabishana nini hata...
Hiyo nje ya mada ni wewe ulianza kwa kusema asiemjua Yesu hajui anachoabudu. Ndio maana nikakwambia sio wa Kristo wote wana mawazo sawa kuhusu Yesu. Hapo nimekosea?

Ningekuwa simjui nisinge mpongeza Tayana-wog kwa jibu lake na wewe ndio ukaanza ni quote tokea hapo.

Anyway lets cut long story short ..... Stay blessed. 🙏
Ni kweli wakristo timepoteana sbb ya mapokeo ya madhebu tofauti.
Hili ni tatizo,Yesu atusaidie
Ndo maana mi I don't care dini/dhehebu/huduma ya mtu
Nikija kanisani kwako nikiona sipaelewi nasepa 🤣
 
Zekaria13:7-9,qur2:57-62)Zabibu zake,Thom zake(tom)
Kujiitoma njia ya vikwazo(toma),qur90,qur100,(wajitomao)
Hilo ndo jina lake.
Asee fafanua, ongea zaidi🙏
 
  • Kicheko
Reactions: 511
Wahindu wanaabudu miungu zaidi ya milioni 33

In Hinduism it is believed that there are more than 33 million gods and goddesses, it is also found that each family has their own god or goddess that they pray to.
 
Wahindu wanaabudu miungu zaidi ya milioni 33

In Hinduism it is believed that there are more than 33 million gods and goddesses, it is also found that each family has their own god or goddess that they pray to.
Hiyo ni miungu, Haina Cheo na mamlaka yote duniani na Mbinguni.

Kilijue Jina la Mungu Moja Ili tutenganishe na vijimiungu na vimizimu!!

Litaje ikiwa walijua Jina la Mungu.
 
Okay mkuu, nilizani unasema Mungu ana nafsi3 maana ndio chanzo Cha watu kumwita Yesu Mungu,kwahiyo unaungana na Mimi kuwa roho takatifu ni nguvu za Mungu na sio mtu?
Mimi nimesema hivi Roho Mtakatifu kabeba nguvu za Mungu ila yeye sio nguvu!
Unaelewa tofauti ya haya maneno?
Kitu kinachobena ni chombo!..

Yaani kikombe kikiwa kimebeba maji ndani ,utasema kikombe ni maji?

Pili Yesu ni Mungu ,yes
Kwa sbb hili jina Mungu alijifunua nalo kupitia agano jipya!

Ndo maana ye alisema hili jina ameli rithi kutoka Kwa baba yake!?

Kitu kinachorithiwa manaake hakikuwa Cha kwako!
 
Sawa mi muongo

Kwenu Mikaeli ni nani?
Umenikumbusha,

Nilipokuwa katika mkanganyiko mkubwa baada ya kusoma BIBLIA, nilitaka kujua Yesu ni nani Hasa.

Nilipokuwa katika kuwaza, wakaja watu wawili na kugonga geti LANGU na kujitambulisha kuwa wao ni mashahidi wa YEHOVA.

Walisema hakuna Roho mtakatifu,

Wakasema pia Yesu ndiye Mikael Malaika mkuu,

Kwamba kwao, Yesu ni Malaika.

Nilipowahoji maswali kiundani walinikimbia.

Mashahidi wa YEHOVA ni dini ya uongo ya mpinga Kristo.

Ikiwa upo huko, hama haraka, kuzimu inakwita.
 
Wanatuma andiko hili Wathesalonike 4:16
DINI yoyote inayokataankutambua Roho mtakatifu ambaye ni ROHO wa Yesu ni dini za wapinga kristo.

Walio katika Roho huona live,

Kuna wakati utamwona au kujazwa Roho ya Mikaeli, uwapo katika maombi ya vita.

Mikael ni Malaika mkuu, awasaidiaye wamwaminio Yesu Kupambana vitani Kwa Ruhusa ya Yesu mwenyewe.

Kuna wakati Utajazwa na Roho MTAKATIFU nk nk.

Ukisema unamjua Mungu na humjui Yesu ni kujidanganya.

Mungu atusaidie.
 
Umenikumbusha,

Nilipokuwa katika mkanganyiko mkubwa baada ya kusoma BIBLIA, nilitaka kujua Yesu ni nani Hasa.

Nilipokuwa katika kuwaza, wakaja watu wawili na kugonga geti LANGU na kujitambulisha kuwa wao ni mashahidi wa YEHOVA.

Walisema hakuna Roho mtakatifu,

Wakasema pia Yesu ndiye Mikael Malaika mkuu,

Kwamba kwao, Yesu ni Malaika.

Nilipowahoji maswali kiundani walinikimbia.

Mashahidi wa YEHOVA ni dini ya uongo ya mpinga Kristo.

Ikiwa upo huko, hama haraka, kuzimu inakwita.
🤣🤣🤣
Ye ananibishia mi wakati nawaelewa vzr
Nimemuuliza makusudi.

Nina ndugu wako huko nashukuru wengine washatoka! hawataki kunywa dawa wakiumwa,km sloam....
Mtaani (mkoani kwetu) Kuna kijana alikufa shida ilikuwa ndogo tu alipungukiwa damu,baba mzazi akagoma, hawaamini ktk hiyo....alikufa😥🙌
Yule baba polisi ndo walingilia kati maana alipigwa na watu wenye hasira!
 
Back
Top Bottom