Je, Mungu analo Jina? Jina lake ni lipi?

Je, Mungu analo Jina? Jina lake ni lipi?

Kweny old testament amejitambulisha kama "Niko ambaye niko", lakini watu walimwita "YHWH/YAHWEH" au "YEHOVAH".......kweny agano jipya akafanyika mwili na akatambulika kama "Yehshua" au "Yesu".

Mm hayo ndo majina ninayojua, kama ana jina lingine ambalo ni muhimu sana ambalo angetaka tulijue bac angetuambia, na kama hajatuambia bac mm naridhika kumtambua kama "Niko ambaye niko"
Safi
Japo kwenye Agano la kale alijitambulisha Kwa majina mengi tu pamoja na hili ulilosema...

Ss hili la kwenye Agano jipya ndo alimaliza kazi, na ndo jina lake!👍👍
 
Jina la Mungu ni Yesu. Ndo maana imeandikwa amepewa jina bora kupita la kwao. Na kwa jina hilo kila goti litapigwa, iwe mbinguni, duniani au chini ya ardhi. Ni jina linalotetemesha ulimwengu zote. Ni ufunguo wa kila kitu. Linafunguo malango yote.
 
Mungu Hana nafsi3,halafu mkuu roho takatifu sio mtu ni nguvu za Mungu za utendaji. Kuhusu lugha labda hujanielewa,nnachomaanisha hata hiyo version ulosema niisome ni sawa tu na kiswahili sijamaanisha siwezi kutumia kingreza,nchomaanisha zote zinetafsiriwa kutoka katika lugha za awali ambazo ni kiarimu,kiebrania na kigiriki
The problem is
Unatoka nje ya mada
Sijasema habari za Mungu ni nafsi 3, sijasema Roho mtakatifu ni mtu.....

Nisom vzr unielewe
 
Kweny old testament amejitambulisha kama "Niko ambaye niko", lakini watu walimwita "YHWH/YAHWEH" au "YEHOVAH".......kweny agano jipya akafanyika mwili na akatambulika kama "Yehshua" au "Yesu".

Mm hayo ndo majina ninayojua, kama ana jina lingine ambalo ni muhimu sana ambalo angetaka tulijue bac angetuambia, na kama hajatuambia bac mm naridhika kumtambua kama "Niko ambaye niko"
Ok,

Kwa hiyo, Jina la Mungu Moja,

Kati ya YEHOVA na YESU, tupe Jina Moja.

Mada inasema Jina Moja la Mungu lenye mamlaka ya juu zaidi kuliko zote Mbinguni na duniani liwwezalo kuokoa hata sasa.

Litaje🙏

Tangu kuanza thread, mmoja tu ndo amejibu na kulitaja Jina Moja direct, wengine wanapiga chenga.
 
Jina la Mungu ni Yesu. Ndo maana imeandikwa amepewa jina bora kupita la kwao. Na kwa jina hilo kila goti litapigwa, iwe mbinguni, duniani au chini ya ardhi. Ni jina linalotetemesha ulimwengu zote. Ni ufunguo wa kila kitu. Linafunguo malango yote.
Ubarikiwe.

Wewe ni Kwa pili kujibu swali correct ☑️ baada ya Tayana-wog
 
Nataka Jina Moja baada ya Yale 99, yaani Jina la 100 ambalo umesema mmefichwa msilijue😀😀
Hakuna jina zaidi ya hayo habari za kufichwa jina umesema wewe sijawahi kuskia hiyo habari
 
Mungu anaitwa "Yesu Kristo "
Nishajibu huko juu, check post usime!

Inawezekana tunamaanisha kitu kimoja ila lugha tu na namna ya iwasilishaji!

Nilisema TU ye sio hizo nguvu ila ni chombo kilichobeba hizo nguvu! Labda niweke hivi Kwa lugha rahisi....
Huyo anatumia biblia inaitwa TAFSIRI YA ULIMWENGU MPYA ya mashahidi wa jehova. Lazima mtofautiane matamshi.

Mfano
Wewe unasema Roho Mtakatifu lakini Yeye anasema Roho takatifu.

Roho mtakatifu ni tofauti Roho takatifu.
 
Ndo nakwambia,

Kuprove Jina YEHOVA, kemea Pepo Kwa Jina la YEHOVA Kisha uje kuleta majibu hapa.

YEHOVA ni sawa na kusema MWENYEZI MUNGU. Bado hujalitaja Jina lake.
Hiyo ni namna alivyojifunua kwa watu. Jina lake anaitwa Yesu. Ndo maana alilimpa mwanae pekee. Ndilo jina linalofungua malango yote. Kwenye ulimwengu huu na ule ujao.
 
Yesu sio Mungu,kwanza Mungu Hana mwanzo ila Yesu aliumbwa na ana mwanzo,pia Yesu alikufa lakini Mungu hajawai kufa,Yohana17:3"Uzima wa milele ndio huu,wakujue wewe,Mungu wa pekee wa kweli,na yule uliyemtuma Yesu Kristo" hili fungu pekee tu linakuonyesha Yesu alitumwa na Mungu kwahiyo hao ni watu wawili tofauti.
Kama wewe ni mkristo na bado huelewa uungu wa yesu kristo, bac nakusihi soma maandiko vizur, yesu ni mungu kamili, aliyeumba huu ulimwengu, aliwaongoza wana wa Israel jangwani, aliyempa musa amri kumi, aliyewatokea meshach, shadrach and abdnego kama mtu wa nne, alivokuwa duniani alikuwa 100% mungu na alikuwa 100% binadamu, wakristo kushindwa kuutambua uungu wa yesu ni moja kati ya mafanikio makubwa sana ya lucifer, tuwe makini.
 
Unaongea kama vile ni lazima kila mwanadamu kumwamini Yesu.

Sio wakristo wote wana mtazamo sawa kuhusu Yesu, na kujua nani yuko sahihi sio kazi yako, ni ya yule alieagiza kuabudiwa.

It seems kuna majibu unataka, ambayo tayari unayo kichwani mwako.

Je kuna sehemu katika Biblia yako umepewa AMRI ya kumwamini Yesu? Au umepewa tu mwongizo kuwa ukimwamini utapata jambo flani?
Unatoka nje ya mada.

Mada inasema litaje Jina personal la Mungu lenye mamlaka ya juu kuliko mamlaka zote za Duniani na Mbinguni.

Jina lipitalo Majina yote!!
 
  • Masikitiko
Reactions: 511
Hiyo ni namna alivyojifunua kwa watu. Jina lake anaitwa Yesu. Ndo maana alilimpa mwanae pekee. Ndilo jina linalofungua malango yote. Kwenye ulimwengu huu na ule ujao.
Ubarikiwe.

Linaitwa Jina lipitalo Majina yote Mbinguni na duniani.

Hiyo ni TOP SECRET.

Mungu ni MMOJA na YESU ndilo JINA lake.

Amen
 
Ok,

Kwa hiyo, Jina la Mungu Moja,

Kati ya YEHOVA na YESU, tupe Jina Moja.

Mada inasema Jina Moja la Mungu lenye mamlaka ya juu zaidi kuliko zote Mbinguni na duniani liwwezalo kuokoa hata sasa.

Litaje🙏

Tangu kuanza thread, mmoja tu ndo amejibu na kulitaja Jina Moja direct, wengine wanapiga chenga.
With confidence, Jina hilo litakuwa ni "Yesu"
 
Huyo anatumia biblia inaitwa TAFSIRI YA ULIMWENGU MPYA ya mashahidi wa jehova. Lazima mtofautiane matamshi.

Mfano
Wewe unasema Roho Mtakatifu lakini Yeye anasema Roho takatifu.

Roho mtakatifu ni tofauti Roho takatifu.
Nilihisi tu ni mashahidi wa Yehova
Now I understand, hatuwezi kuelewana ,sbb naona anatoka nje ya mada ananiletea habari tofauti ..

Hawa ni km baadhi ya madhebu...
Kuna doctrine Fulani wamemezeshwa huwezi kuwaambia kitu wakaelewa, neema ya Mungu tu iingile kati!
Zile doctrine Huwa na roho nyuma yake ambayo zinajenga ngome Fulani kwenye mawazo na akili ,wanakua na misimamo Fulani ambayo wengi wao huishia kubaya kiroho
 
Kama wewe ni mkristo na bado huelewa uungu wa yesu kristo, bac nakusihi soma maandiko vizur, yesu ni mungu kamili, aliyeumba huu ulimwengu, aliwaongoza wana wa Israel jangwani, aliyempa musa amri kumi, aliyewatokea meshach, shadrach and abdnego kama mtu wa nne, alivokuwa duniani alikuwa 100% mungu na alikuwa 100% binadamu, wakristo kushindwa kuutambua uungu wa yesu ni moja kati ya mafanikio makubwa sana ya lucifer, tuwe makini.
Hapo utapoteza Muda ni mashahidi wa Yehova,SI unajua wanachofundishwa!
 
Salaam, Shalom!!

Mungu ni Jina la Cheo kikubwa kuliko vyeo na mamlaka yote Mbinguni na duniani.

Swali ni je, Mungu analo Jina lake binafsi?

Jina la Mungu ni nani?

Karibuni 🙏
OMNIPOTENT
OMNIPRESENT
OMNISCIENT.

Jina la Mungu linaweza kuwa katika lugha yeyote ile, ili mradi hilo jina libebe hizo sifa tatu.
 
Hakuna jina zaidi ya hayo habari za kufichwa jina umesema wewe sijawahi kuskia hiyo habari
Umesema Mungu ana Majina 100,

Unayajua 99, Jina Moja hulijui,

Litafute Hilo Moja ulitaje hapa.
 
OMNIPOTENT
OMNIPRESENT
OMNISCIENT.

Hayo ndo majina ya Mungu, unayaweza kuyaita kwa lugha yeyote ile ili mradi ya bebe hizo sifa tatu.
Mada inataka kulijua Jina personal la Mungu.

Unalijua?
 
Back
Top Bottom