Je, Mungu analo Jina? Jina lake ni lipi?

Je, Mungu analo Jina? Jina lake ni lipi?

You nailed it👏
Na ukitaka kujua wengine wanaosema wanamwabudu mwingine asiye Mungu mkuu, wote wanamkataa Yesu.

Ikiwa unamwamini Mungu na humjui na kumwamini Yesu kama Mungu aliyekuja katika mwili wa mwanadamu ni Mpinga Kristo,

Ni waabudu shetani Kwa kujua au Kwa kutojua.
 
We umeiva sana. I appreciate you madam🤗
Asante
Ila haya mambo tunajifunza Kila siku rfk angu hakuna kujua sn 😅
Ukijifanya mjuaji tu ndo kiburi kinaanziaga hapo!

Huwa sipendi tu kubishana na wale wajuaji humu,kupoteza energy Kwa ajili Yao siwezi 😅
Ndo napitaga zangu kimyakimya tu
 
  • Nzuri
Reactions: 511
Roho mtakatifu sio nguvu,yaani yeye sio nguvu ,ila yeye amebeba nguvu za Mungu!

Matendo 1:8

Ni kweli Yesu ni mpatanishi
Na ndo jina la Mungu!
Matendo10:45"Nao waamini waliokuwa wametahiriwa waliokuwa wamekuja pamoja na Petro wakashangaa,kwasababu zawadi ya Bure ya roho takatifu ilikuwa IKIMIMINWA pia kwa watu wa mataifa" swali Luka1:41"Elisabeth aliposkia salamu za Maria,mtoto aliyekuwa tumboni mwake akaruka,naye Elisabeth AKAJAZWA roho takatifu". Naomba ujiulize mtu anaweza kumiminwa kwa watu wengine au mtu akajazwa kwa watu wengine? Roho takatifu ni nguvu za Mungu za utendaji na sio mtu.
 
  • Thanks
Reactions: 511
Salaam, Shalom!!

Mungu ni Jina la Cheo kikubwa kuliko vyeo na mamlaka yote Mbinguni na duniani.

Swali ni je, Mungu analo Jina lake binafsi?

Jina la Mungu ni nani?

Karibuni 🙏
Mungu jina lake ni Yehova .watu wengi wanachanganya kati ya jina la cheo na jina binafisi. Tunamuita Mungu sababu ni Muumba na tunamuabudu lakini kumbuka kuna miungu mingi yani hata shetani ni Mungu.lakini huyu Mungu anajina ambalo linamtofautisha na miungu mingine yani yehova.Mfano Mimi Nina miaka 25 hivyo nina majina mengi ya cheo unaweza kuniita kijana,kama nasoma mwanafunzi,binti nk lakini hayo siyo majina yangu yanayonitambulisha kibinafi kumbuka kuna vijana wengi. Nikama Mungu,muumba,mwenye enzi kuu,mwenza yote,baba,bwana,yawe hayo ni majina ya cheo lakini jina lake binafisi anaitwa YEHOVA
 
Na ukitaka kujua wengine wanaosema wanamwabudu mwingine asiye Mungu mkuu, wote wanamkataa Yesu.

Ikiwa unamwamini Mungu na humjui na kumwamini Yesu kama Mungu aliyekuja katika mwili wa mwanadamu ni Mpinga Kristo,

Ni waabudu shetani Kwa kujua au Kwa kutojua.
Personal beliefs and religious perspectives vary depending on the beliefs and teachings of the individual when it comes to believing in God and Jesus Christ. Having diverse beliefs about Jesus Christ is not a barrier to having faith in God.
 
Matendo10:45"Nao waamini waliokuwa wametahiriwa waliokuwa wamekuja pamoja na Petro wakashangaa,kwasababu zawadi ya Bure ya roho takatifu ilikuwa IKIMIMINWA pia kwa watu wa mataifa" swali Luka1:41"Elisabeth aliposkia salamu za Maria,mtoto aliyekuwa tumboni mwake akaruka,naye Elisabeth AKAJAZWA roho takatifu". Naomba ujiulize mtu anaweza kumiminwa kwa watu wengine au mtu akajazwa kwa watu wengine? Roho takatifu ni nguvu za Mungu za utendaji na sio mtu.
Point yangu umenielewa?
Roho mtakatifu yeye amebeba nguvu za Mungu...
Ndo mama anatugawia...

Weka au soma matendo 1:8
Hata hiyo mistari uliyoweka soma vzr utaelewa nachomaanisha
 
Hayo mengi ni office au Majina yake kulingana na office husika, bt WANADAMU tumepewa Jina Moja tu la Mungu.
Chochote unachokipa utukufu,nguvu na heshima ndo Mungu wako.kwahyo jina la Mungu siyo Mungu Bali ni yehova
 
Mungu jina lake ni Yehova .watu wengi wanachanganya kati ya jina la cheo na jina binafisi. Tunamuita Mungu sababu ni Muumba na tunamuabudu lakini kumbuka kuna miungu mingi yani hata shetani ni Mungu.lakini huyu Mungu anajina ambalo linamtofautisha na miungu mingine yani yehova.Mfano Mimi Nina miaka 25 hivyo nina majina mengi ya cheo unaweza kuniita kijana,kama nasoma mwanafunzi,binti nk lakini hayo siyo majina yangu yanayonitambulisha kibinafi kumbuka kuna vijana wengi. Nikama Mungu,muumba,mwenye enzi kuu,mwenza yote,baba,bwana,yawe hayo ni majina ya cheo lakini jina lake binafisi anaitwa YEHOVA
YEHOVA ni sawa tu na kusema MWENYEZI MUNGU.

Bado Si Jina la Mungu binafsi. YEHOVA linamaanisha uweza na ukuu wa Mungu, Bado Si Jina lake binafsi.

To prove,

Nenda Kwa Mtu aliyepagawa Pepo, kalikemee Kwa Jina la YEHOVA kama litatoka.
 
Matendo10:45"Nao waamini waliokuwa wametahiriwa waliokuwa wamekuja pamoja na Petro wakashangaa,kwasababu zawadi ya Bure ya roho takatifu ilikuwa IKIMIMINWA pia kwa watu wa mataifa" swali Luka1:41"Elisabeth aliposkia salamu za Maria,mtoto aliyekuwa tumboni mwake akaruka,naye Elisabeth AKAJAZWA roho takatifu". Naomba ujiulize mtu anaweza kumiminwa kwa watu wengine au mtu akajazwa kwa watu wengine? Roho takatifu ni nguvu za Mungu za utendaji na sio mtu.
Samahani mkuu
Unatumia biblia ipi, hiki kiswahili 🙌

Biblia ya kiswahili Ina vitu vingi inamiss,jitahidi kusoma version tofauti na kingereza pia utaoata maana Kwa upana zaidi Roho mtakatifu mwaminifu.....
 
Point yangu umenielewa?
Roho mtakatifu yeye amebeba nguvu za Mungu...
Ndo mama anatugawia...

Weka au soma matendo 1:8
Hata hiyo mistari uliyoweka soma vzr utaelewa nachomaanisha
Mkuu nimekuelewa vizuri sana,roho takatifu siyo mtu ni nguvu za Mungu za utendaji,kama ni mtu nimekupa vifungu vinavyoonyesha kuwa Huwa inamiminwa kwa watu kama zawadi toka kwa Mungu,je mtu anaweza kumiminwa? Na kama ni mtu unaweza kunitajia jina lake? Maana tunamjua Mungu anaitwa Yehova,mwana wake wa pekee anaitwa Yesu Kristo,enhee na roho mtakatifu anaitwa nani?
 
Back
Top Bottom