Executivesister
JF-Expert Member
- Aug 7, 2012
- 514
- 594
Ni hatari kweli kweli kwa wasioamini ya kuwa Mungu yupo.Sijaomba maombi, nimeuliza swali.
Unaonekana unaamini tu bila kuelewa hata ya msingi kabisa. Hili ni jambo la hatari.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni hatari kweli kweli kwa wasioamini ya kuwa Mungu yupo.Sijaomba maombi, nimeuliza swali.
Unaonekana unaamini tu bila kuelewa hata ya msingi kabisa. Hili ni jambo la hatari.
Hujajibu swali langu.Ni hatari kweli kweli kwa wasioamini ya kuwa Mungu yupo.
Mungu yupo ; Vithibitisho, ni Uumbaji wake, Matendo yake, Wateule wake, Ukuu wake, Sheria zake, Elimu yake, Siri zake, Upendo wake, Rehema zake, Nguvu zake, n.kKabla ya kwenda mbali, thibitisha kwamba mungu yupo.
Huwezi kusema uthibitisho wa kuwapo kwa mungu ni uumbaji wake kirahisi hivyo ukamaliza habari.Mungu yupo ; Vithibitisho, ni Uumbaji wake, Matendo yake, Wateule wake, Ukuu wake, Sheria zake, Elimu yake, Siri zake, Upendo wake, Rehema zake, Nguvu zake, n.k
Ni imani endelevu pekee ndio inaweza kukufanya uelewe Mungu kuwa Mungu wa kweli yupo. Na pia ni imani potofu inaweza kukufanya uamini kuwa wachawi, waganga wa kienyeji n.k vinasaidia.Utajuaje unachofikiri umeona kabla hakijaonekana kipo na si ndoto tu?
Hujajibu swali uliloulizwa, kama umejibu swali, si nililouliza.Ni imani endelevu pekee ndio inaweza kukufanya uelewe Mungu kuwa Mungu wa kweli yupo. Na pia ni imani potofu inaweza kukufanya uamini kuwa wachawi, waganga wa kienyeji n.k vinasaidia.
Imani endelevu ni zawadi kutoka kwa Mungu. Imani potofu ni zawadi kutoka kwa shetani .
Ndugu, kuna tofauti kubwa sana kati ya kujua na kuelewa. Nimekuelezea hapo juu vizuri kwamba Knowledge (kujua) just puffs up, but Understanding ( Uelewa) builds up.Huwezi kusema uthibitisho wa kuwapo kwa mungu ni uumbaji wake kirahisi hivyo ukamaliza habari.
That is both lazy and circular.
Unajuaje kwamba huo uumbaji ni wa mungu?
Nikisoma Vitabu Vya Dini Hasa Biblia... Mungu wa Kuanzia Kitabu Cha Mwanzo Au Vitabu Vya Kale Ni Tofauti Sana kitabia na Mungu wa Agano Jipya.
Tabia za KiMungu Alizokuwa nazo Katika agano la Kale Nikilinganisha Na Agano jipya naona Tofauti Kubwa Sana
Mfano AGANO LA KALE
Mungu Alikuwa ni Wa Hasira Sana na Anayependa Sana Waumini wake Wafuate Sheria ... Kulikuwa na Sheria Za Kitakatifu Mfano Kujiosha Mwili... mavazi.. Kuhudumia Sehemu ya Kuabudia kwa usafi wa hali ya juu... kuvukisha Ubani... kujitawaza... n.k n.k
Sasa Nitapokuja Kusoma Agano jipya Mungu anakuwa Amebadilika Sana Hasa Katika Kuabudiwa.. .. Yale Mambo ya kale aliyotaka hayapo tena.. Je Mungu amebadilika Hataki Tena Ubani... Zawadi za kuteketezwa Alizosema zinamvutia?
Je Kuna Ubaya Gani Kutoa Sadaka Za hivyo.. kuna Ubaya Gani Kurudia Kule kwa Kale.. Kujisafisha Uendapo Kuabudu..... Kuwa Msafi Au kujitawaza kama kale...
Nikisoma Vitabu Vya Dini Hasa Biblia... Mungu wa Kuanzia Kitabu Cha Mwanzo Au Vitabu Vya Kale Ni Tofauti Sana kitabia na Mungu wa Agano Jipya.
Tabia za KiMungu Alizokuwa nazo Katika agano la Kale Nikilinganisha Na Agano jipya naona Tofauti Kubwa Sana
Mfano AGANO LA KALE
Mungu Alikuwa ni Wa Hasira Sana na Anayependa Sana Waumini wake Wafuate Sheria ... Kulikuwa na Sheria Za Kitakatifu Mfano Kujiosha Mwili... mavazi.. Kuhudumia Sehemu ya Kuabudia kwa usafi wa hali ya juu... kuvukisha Ubani... kujitawaza... n.k n.k
Sasa Nitapokuja Kusoma Agano jipya Mungu anakuwa Amebadilika Sana Hasa Katika Kuabudiwa.. .. Yale Mambo ya kale aliyotaka hayapo tena.. Je Mungu amebadilika Hataki Tena Ubani... Zawadi za kuteketezwa Alizosema zinamvutia?
Je Kuna Ubaya Gani Kutoa Sadaka Za hivyo.. kuna Ubaya Gani Kurudia Kule kwa Kale.. Kujisafisha Uendapo Kuabudu..... Kuwa Msafi Au kujitawaza kama kale...
Unyenyekevu ulioupata kwa huyo mungu wako ni kutukana na ku condescend wenzako kwa kuwaita vipofu na magovi?Ndugu, kuna tofauti kubwa sana kati ya kujua na kuelewa. Nimekuelezea hapo juu vizuri kwamba Knowledge (kujua) just puffs up, but Understanding ( Uelewa) builds up.
Namaanisha, hata nikikuandikia hapa siri za Mungu na ukuu wake wote na hauna imani endelevu , hautaelewa chochote. Sababu ni kwamba macho yako yanakuwa hayana tofauti na MTU mwenye govi au kipofu.
Kwahiyo basi, kwa Uelewa wangu, nakuona ni MTU ambae hujatahiriwa, mbishi na huna unyenyekevu mbele za Mungu. I have nothing to do with you . Ila siku ikifika, kwa mapenzi ya Mungu na kwa kupitia Yesu Kristo, utayaona yote Haya ninayokuandikia sasa, utajitambua na Mungu atakupa uwezo wa kutambua siri za watu wengine.
Asante.
Uelewa ndio unanifanya hivi. Nyie ni wajuaji. Mjuaji na Muelewa ni vitu viwili tofauti. Uelewa ni zawadi pekee kutoka kwa Mungu , it's for noble people, not ignoble;Hujajibu swali uliloulizwa, kama umejibu swali, si nililouliza.
Kitu gani kinakufanya ufikiri imani yako ni sahihi na mungu yupo?
Imani yako ni endelevu kivipi wakati idea ya kuwepo mungu inajipinga yenyewe?
Hujathibitisha kwamba mungu yupo na si hadithi ya kufikirika tu.Uelewa ndio unanifanya hivi. Nyie ni wajuaji. Mjuaji na Muelewa ni vitu viwili tofauti. Uelewa ni zawadi pekee kutoka kwa Mungu , it's for noble people, not ignoble;
Watu wengi wanajua vitu vingi lakini hawavielewi undani wake. Why? Kwasababu hawaishi kama Mungu apendavyo. Then wanakosa Uelewa na kukalia ujuaji, name callings, Uonevu, wizi, dharau , kiburi, matukano etc
Mungu gani ana promote kupigana kama Don King?Does God change His Mind?
Yes, he does, in the sense that he changes his
attitude when people change their behavior. For
example, when God sent a judgment message to
the people of ancient Israel, he said: “Perhaps
they will listen and each one will turn back from
his evil way, and I will change my mind
concerning the calamity that I intend to bring on
them because of their evil deeds.”— Jeremiah
26:3 .
Many Bible translations render this verse as
saying that God would “repent” over the intended
calamity, which could be understood to mean that
he had made a mistake. However, the original
Hebrew word can mean “change of mind or
intention.” One scholar wrote: “A change in man’s
conduct brings about a change in God’s
judgment.”
Of course, just because God can change his mind
does not mean that he must change it. Consider
some situations where the Bible says that God
has not changed his mind:
God did not allow Balak to make Him change
His mind and curse the nation of Israel.—
Numbers 23:18-20 .
Once King Saul of Israel became firmly set in
badness, God did not change his mind about
rejecting him as king.— 1 Samuel 15:28, 29 .
God will fulfill his promise to make his Son a
priest forever. God will not change His mind.—
Psalm 110:4 .
Doesn’t the Bible say that God
never changes?
Yes, the Bible records God as saying: “I am
Jehovah; I do not change.” ( Malachi 3:6 )
Similarly, the Bible says that God “does not vary
or change like the shifting shadows.” ( James 1:
17) This, however, does not contradict what the
Bible says about God changing his mind. God is
unchangeable in that his personality and
standards of love and justice never alter.
( Deuteronomy 32:4; 1 John 4:8 ) Still, he can give
different instructions to people at different times.
For instance, God gave opposite instructions to
King David for fighting two consecutive battles,
yet both methods succeeded.— 2 Samuel 5:18-25
Sasa nikanushe nini?we umekuja na kusema suala la mungu ni hadithi nami nikakwambia nawe kusema hakuna mungu ni hadithi. Na ndiyo maana huwa mnakuja na hoja za "hamtaki kuamini mnataka kujua" na "mbona huyo mungu haonekani?" kwa hoja kama hizi ni wazi kabisa hamkijui hicho mnacho kikanusha.Hakuna mjadala kwamba watu wapo.
Sijakataa kwamba ninachosema kimesemwa na watu.
What's your point?
Anayesema mungu yupo katika ulimwengu ambao hatujathibitisha kwamba mungu yupo, ana tatizo la kuthibitisha kwamba mungu yupo.
Anayesema mungu hayupo, ukimwambia maneno yake ni ya watu tu, hujamkanusha. Maana hajawahi kusema mungu yupo.
Unaposema maneno yangu ni ya watu tu, unakanusha nini?
Sijawahi kusema mungu yupo, sasa unaponiambia maneno yangu ni ya watu tu, unakanusha nini?
Tatizo unageza kanusho langu kwangu visivyo.
Mtu anayeamini mungu yupo ukimwambia maneno ya mungu yupo ni ya watu tu, na mungu hayupo, umemkanusha.
Mtu anayesema mungu hayupo, ukimwambia maneno yake ni ya watu tu, hujamkanusha. Inawezekana ukawa umeongezea nguvu hoja yake.
Kiufupi, maswali yako yote nimeyajibu kiufasaha; tatizo hujaona. Na wala hauko familiar na sauti ya Mungu.Unyenyekevu ulioupata kwa huyo mungu wako ni kutukana na ku condescend wenzako kwa kuwaita vipofu na magovi?
Kati yako wewe anayeamini usichoelewa, usichoweza kukielezea wala kukithibitisha na mimi ninayekuuliza maswali ambayo hujaweza kuyajibu, nani kipofu hapa?
Wewe ambaye umeshindwa kujibu maswali kuhusu mungu unayemuamini si kipofu?
Ukisema mimi kusema mungu hayupo ni hadithi, hujakanusha kwamba kusema mungu yupo ni hadithi.Sasa nikanushe nini?we umekuja na kusema suala la mungu ni hadithi nami nikakwambia nawe kusema hakuna mungu ni hadithi. Na ndiyo maana huwa mnakuja na hoja za "hamtaki kuamini mnataka kujua" na "mbona huyo mungu haonekani?" kwa hoja kama hizi ni wazi kabisa hamkijui hicho mnacho kikanusha.
Sasa sijui labda wewe ulitaka nifanyaje zaidi kwa hilo kanusho lako?
Mungu ninaye muelewa Mimi, He dwells in Secret places, sio kwenye public places kama huyo wa kwenu. He has His own language. He can speak plainly only to His Chosen people na in parables kwa watu kama nyie.Hujathibitisha kwamba mungu yupo na si hadithi ya kufikirika tu.
Kushindwa kwako kujibu maswali yangu hakuonyeshi kwamba unajua wala kuelewa lolote la msingi kuhusu huyo mungu unayemuamini.
Watu wanaambiwa wamuamini mungu ambaye hajitambui kama anaenda au anarudi.Zile hadithi za kwenye biblia zinaonyesha wale Mungu wako tofauti, mmoja mbabe mwingine mpole, ukiamua uende deep zaidi ndo utagundua ni stori tu kama zilivyo stori nyingine zozote zisizo na ukweli
Utamuelewaje mungu anayekaa sehemu za siri?Mungu ninaye muelewa Mimi, He dwells in Secret places, sio kwenye public places kama huyo wa kwenu. He has His own language. He can speak plainly only to His Chosen people na in parables kwa watu kama nyie.
Nimekujibu kila kitu na kukuthibitishia kila kitu; Una macho lakini hujaona, masikio lakini hujasikia.
I tell you the truth, Huwezi kuwa mzinzi au muovu na ukaweza kuielewa sauti ya Mungu.
Tatizo wamejengewa hofu,Watu wanaambiwa wamuamini mungu ambaye hajitambui kama anaenda au anarudi.
Na wao wanakubali na kumuamini.
Ujinga mtupu.
Kumuamini huyu mungu ni kama umejivua utu na kujipa u zombie fulani hivi ufanye mambo bila kufikiri.