Huyoo ni atheist huyo mtakesha nae aseeeHahaha umeisoma mada ya Theism?. if not hebu rudi kaisome ujue huyo unayeita Mungu yupo kwenye aina ngapi!.. Otherwise tafuta thread yangu Mungu, Dini na Imani soma some grips!, then your welcome to return with more arguments!.
Logic yako ina a non sequitur reasoning.Bado sijajua usichoelewa hapo ni nini unless uwe unataka ligi
Nasisitiza I can prove the presence of God via logic, but u can't prove otherwise by using logic
Point yako na ma atheist wenzake imejikita kwenye the so called contradiction kuhusu mambo yanayomuhusu Mungu
Lakini nikueleze, u are just a human being.... Huwezi kumuelewa Mungu, kwani haeleweki kwa akili ya kibinadamu. Huwezi kumuelewa creator wako.
Hii ni sawa na gari litake kujua kuhusu binadamu, ambaye ndiye aliyelitengeneza, it is impossible braza.
kwahiyo mkuu wwe unaona sawa kupitia hukumu na shida zilizojaa majuto kwaajili ya makosa aliyohi kuyatenda babu mzaa bibi yko !!? "" yaani kbisaa serikali ya Tanzania inakukamata leo na kukufikisha mahakamani kisha inakufungulia kesi na kukutuhumu kuwa una makosa kwa sabbu babu mzaa bibi yko aliwahi kubaka ama kuiba ng'ombe za watu ...mahakama inakuhukumu na unakwenda jela kutmikia kifungoKasome kitabu cha mwanzo utajua kwamba Mungu alituumbia hiyo 'dunia' isiyo na dhambi, isiyo na mateso, isiyo na shida lakini binadamu akatenda dhambi iliyofanya Mungu amuadhibu huyu binadamu ambapo leo anaishi hivi unavyomuona.
Hata hivyo Mungu hakumtupa kiumbe wake, akamleta Yesu Kristo, mwana wake wa pekee ili kila amuaminie apate Uzima milele na katika huo Uzima wa milele ndio tutarudi kwenye raha ya milele ambayo Adam na Eva walitusababishia tuikose
Lakini baada ya Yesu Kristo wa Nazareth kupaa mbinguni kwa namna Mungu Anavyotupenda akatuachia roho mtakatifu ili atuangalie.
Hivyo kusema Mungu hatujali ni kutojua neno la Mungu.
Namuhakikishia sitatumia bible/quran kumjibu lakini tutafika tu, ngoja asome kwanza nilichomwambia maana kumbe hajui Mungu kagawanyika ila anauliza Mungu ni nani!?.
Naona kuna watu wanadai kuwa imeshindikana kumthibitishia bwana Kiranga habari za uwepo wa Mungu hii sio kweli shida iliyopo ni utofauti wa imani Kiranga hana imani ile waliyonayo wale wanaoamini juu ya uwepo wa Mungu
Kiranga ili aamini kuwa kitu hiki kipo ni mpaka akione au akishike, akinuse nk kinyume na hapo haamini kama kitu hicho kipo kitu ambacho ni kigumu kufanyika kwa Mungu ili tumthibitishie maana katika hili Mungu wetu anasema Hakuna mwanadamu yeyote atakayemuona akaishi
Kinyume na wale ambao tunaamini kuwa Mungu yupo kwa maana hahitajiki mpk tumguse au tumuone ndipo tuamini laa maana imani kwa kadri ya maana yake nitanukuu kutoka
EBR. :11:1
Basi imani ni kuwa na hakika ya mambo yatarajiwayo, ni bayana ya mambo yasiyoonekana.
Kwa hiyo tunaamini yupo japo hatujawahi kumuona maana hiyo ndio imani inavyotaka.
Lakini pili sisi tunamthibitisha Mungu yupo kupitia Neno lake yaani maandiko matakatifu kupitia humu Mungu amejifunua sana na habari zilizoelezwa humu zinathibitika kisayansi na hata kihistoria kuwa ni kweli yalitokea mfano tawala za zamani kuanzia za Wamisri, Babeli, Uamedi na Uajemi, Ugiriki nk lkn pia habari za gharika na ishara yake ya Upinde wa Mvua ambalo ni agano ambalo Mungu aliweka kuwa hataigharikisha dunia kwa maji tena haya yote yanathibitisha kuwa Mungu yupo
Lakini Kiranga kwenye hili pia haamini anadai hata biblia nayo ni contradictions
Katika hali hii huwezi kutegemea kumthibitishia kuwa Mungu yupo maana haya mambo yapo kiroho na kiimani pia. Wapo watu waliokuwa kama Kiranga tunaowasoma katka biblia ambao hawakuamini juu ya uwepo wa Mungu mfano ni Farao huyu Musa alipoenda kumuomba awaruhusu wana Waisraeli waende kumuabudu Mungu wao jangwani alimuuliza huyo Mungu ni yupi? Kwa maana nyingine hakumjua huyo Mungu wala kutambua uwepo wake na Mungu alijithibitisha mwenyewe. Mwingine ni mfalme Nebukadneza wa Babeli huyu akijawa kiburi lkn alishushwa na kufanywa kama mnyama na alipelekwa kondeni akawa kama mnyama akala nyasi miaka saba Mungu akimfunza na alipofika ktk sura ya nne ya Daniel alimkiri Mungu na uweza wake
Kwa hiyo Kiranga sio wa kwanza kupinga uwepo wa Mungu wapo wengi ila kwa muda Mungu atajithibitisha kwake na huenda siku moja akakiri kuwa kweli Mungu yupo
1st class philosophers wenyewe wale classical ones walishindwa kujibu hayo makwesheni kila mmoja alibaki na akiaminicho yeye...they didn't come into conclusion iwe nyie !!!!MKUU mpka muda huu mmeshindwa kutoa ithibati ya uwepo wa MUNGU wenu "" MUNGU Mwenye upendo "" MUNGU mwenye huruma..Mungu Mwenye uweza wa yote ...ajabu nikwamba Mungu Mwenye uweza wa yote na Mwenye huruma tunaambiwa kuw ameanda moto kwaajili ya kuwachoma watu anaojinadi kuwa anawapenda logic yake kubwa ikiwa nikwasabbu hao watu niwatenda maovu ...swali linakuja kwako upya kama Mungu nimuweza wa yote alishindwa nini kuiumba dunia bila uwepo wa maovu "alishindwa nini kuwafnya watu wote kuwa niwatenda mema ili kuifnya dunia Iwe mahala salama pakuishi pasipo uwepo wa machafuko ...na kama alikuwa anaweza kufnya hivyo kisha hakufnya kwa makusudi inamaaana Mungu huyo sio kwli kwamba ana upendo maana kama angekuwa nao asingeumba viumbe ambavyo ameshindwa kuviweka ktika dunia isiyo na dhambi kwaajili ya uweza wake wote kisha kwa makusudi anakwenda kuvichoma ...
huo upendo wake uko wapi hapo "" hivi ina ingia akilini kweli ??
mungu huyu anastaajabisha mnooo
Kwani shule zimeshafungwa?Mleta mada tako lako moja limevimba,lingine limeumuka
kwahiyo Mungu yupo !??1st class philosophers wenyewe wale classical ones walishindwa kujibu hayo makwesheni kila mmoja alibaki na akiaminicho yeye...they didn't come into conclusion iwe nyie !!!!
Cc Smart911
Mtakesha hapo make tayari wewe ni theist naye atheist... Two Opposite ideas viewsNamuhakikishia sitatumia bible/quran kumjibu lakini tutafika tu, ngoja asome kwanza nilichomwambia maana kumbe hajui Mungu kagawanyika ila anauliza Mungu ni nani!?.
Jibu ni simpleUmeandika
"Kiranga ili aamini kuwa kitu hiki kipo ni mpaka akione au akishike, akinuse nk kinyume na hapo haamini kama kitu hicho kipo kitu ambacho ni kigumu kufanyika kwa Mungu ili tumthibitishie maana katika hili Mungu wetu anasema Hakuna mwanadamu yeyote atakayemuona akaishi "
Mpaka hapo umeshakosea.
Nakubali square root ya 2 ni ndogo kuliko 2.
Lakini sijawahi kuiona, kuinusa,kuishika,kuisikia wala kuilamba.
Nakuhakikishia hivi siku moja wewe utakuwa shuhuda namba moja ya kwamba Mungu yupo na ndie aliyeziumba mbingu na nchi.Kusema unaweza hata kusema wewe haupo wakati upo.
Unaweza kusema vilivyo viwe visivyo.
Hilo halina shida wala mjadala.
Lenye mjadala ni uthibitisho.
Upeo wa Mungu sio sawa na wa kibinadamu.MKUU mpka muda huu mmeshindwa kutoa ithibati ya uwepo wa MUNGU wenu "" MUNGU Mwenye upendo "" MUNGU mwenye huruma..Mungu Mwenye uweza wa yote ...ajabu nikwamba Mungu Mwenye uweza wa yote na Mwenye huruma tunaambiwa kuw ameanda moto kwaajili ya kuwachoma watu anaojinadi kuwa anawapenda logic yake kubwa ikiwa nikwasabbu hao watu niwatenda maovu ...swali linakuja kwako upya kama Mungu nimuweza wa yote alishindwa nini kuiumba dunia bila uwepo wa maovu "alishindwa nini kuwafnya watu wote kuwa niwatenda mema ili kuifnya dunia Iwe mahala salama pakuishi pasipo uwepo wa machafuko ...na kama alikuwa anaweza kufnya hivyo kisha hakufnya kwa makusudi inamaaana Mungu huyo sio kwli kwamba ana upendo maana kama angekuwa nao asingeumba viumbe ambavyo ameshindwa kuviweka ktika dunia isiyo na dhambi kwaajili ya uweza wake wote kisha kwa makusudi anakwenda kuvichoma ...
huo upendo wake uko wapi hapo "" hivi ina ingia akilini kweli ??
mungu huyu anastaajabisha mnooo
Kiranga Kwa kikwetu ni shetani!
No, situmii logic natumia imani.Hata wewe umetumia logic kuandika hivyo.
Kama unajua au hujui, ukweli ndio huo.
HAHAAAAUmeandika
"Kiranga ili aamini kuwa kitu hiki kipo ni mpaka akione au akishike, akinuse nk kinyume na hapo haamini kama kitu hicho kipo kitu ambacho ni kigumu kufanyika kwa Mungu ili tumthibitishie maana katika hili Mungu wetu anasema Hakuna mwanadamu yeyote atakayemuona akaishi "
Mpaka hapo umeshakosea.
Nakubali square root ya 2 ni ndogo kuliko 2.
Lakini sijawahi kuiona, kuinusa,kuishika,kuisikia wala kuilamba.
Naamini kuwa Mungu yupo kama vile wewe unavyoamini hayupo.There is an idea of a God.That does not mean there is a God.
God is a character in a fiction, like Willy Gamba and 007 James Bond.
Sisi tunaoamini kuwa Mungu yupo tunatumia imani.Unapoelezea uwepo wa Mungu halafu ukaiquote Biblia tambua Waislamu hawatakuwa upande wako!.. unazani kwanini?, hawaamini katika uwepo wa utatu mtakatifu, hawaamini katika yesu kuwa Mungu na kwa point kama hizo watu kama kina kiranga wanatumia divide-rule kuweza attack point zenu!..
safi sana ...sas kama jibu nihilo unaanzaje kumpiga mbuzi wako mwenyewe kisa tu amekula mahindi uliyokuwa na mpango wakwenda kuyasaga...??kwanni umpige wakati unajua kuwa upeo wake na wako haufanani ...mbona hana upeo wakujua kuwa yle mahindi yanamahitaji mengine zaidi yakujuwa kuwa nichakula chake ...sasa Hutu Mungu kama anajua kuwa binaadamu hatoweza kumuelewa kwakuwa anaupeo mdogo ..Anataka kumchoma moto iliiweje !??Upeo wa Mungu sio sawa na wa kibinadamu.