Je! Mungu ni yule yule?

Je! Mungu ni yule yule?

Hahaha umeisoma mada ya Theism?. if not hebu rudi kaisome ujue huyo unayeita Mungu yupo kwenye aina ngapi!.. Otherwise tafuta thread yangu Mungu, Dini na Imani soma some grips!, then your welcome to return with more arguments!.
Huyoo ni atheist huyo mtakesha nae aseee



Cc Smart911
 
Bado sijajua usichoelewa hapo ni nini unless uwe unataka ligi

Nasisitiza I can prove the presence of God via logic, but u can't prove otherwise by using logic

Point yako na ma atheist wenzake imejikita kwenye the so called contradiction kuhusu mambo yanayomuhusu Mungu

Lakini nikueleze, u are just a human being.... Huwezi kumuelewa Mungu, kwani haeleweki kwa akili ya kibinadamu. Huwezi kumuelewa creator wako.

Hii ni sawa na gari litake kujua kuhusu binadamu, ambaye ndiye aliyelitengeneza, it is impossible braza.
Logic yako ina a non sequitur reasoning.

Non sequitur (logic) - Wikipedia
 
Kasome kitabu cha mwanzo utajua kwamba Mungu alituumbia hiyo 'dunia' isiyo na dhambi, isiyo na mateso, isiyo na shida lakini binadamu akatenda dhambi iliyofanya Mungu amuadhibu huyu binadamu ambapo leo anaishi hivi unavyomuona.

Hata hivyo Mungu hakumtupa kiumbe wake, akamleta Yesu Kristo, mwana wake wa pekee ili kila amuaminie apate Uzima milele na katika huo Uzima wa milele ndio tutarudi kwenye raha ya milele ambayo Adam na Eva walitusababishia tuikose

Lakini baada ya Yesu Kristo wa Nazareth kupaa mbinguni kwa namna Mungu Anavyotupenda akatuachia roho mtakatifu ili atuangalie.

Hivyo kusema Mungu hatujali ni kutojua neno la Mungu.
kwahiyo mkuu wwe unaona sawa kupitia hukumu na shida zilizojaa majuto kwaajili ya makosa aliyohi kuyatenda babu mzaa bibi yko !!? "" yaani kbisaa serikali ya Tanzania inakukamata leo na kukufikisha mahakamani kisha inakufungulia kesi na kukutuhumu kuwa una makosa kwa sabbu babu mzaa bibi yko aliwahi kubaka ama kuiba ng'ombe za watu ...mahakama inakuhukumu na unakwenda jela kutmikia kifungo

na ikitokea umekufa ukiwa huko jela analetwa mwanao kukitumikia kifungo chako ulichorithi kesi ya babu mzaa bibi yko "" yaani unaona nisawa kabisaaa wala hauhoji kuwa MUNGU huyu mpenda haki mbona anakuonea """ Kam MUNGU HUYU NI MUWEZA WA YOTE KWANINI ASINGEWAUMBA BINAADAMU WOOOOTE WALIOKUFA NA WALIOPO NA KILA MMOJA ANGEJARIBU KUMPATIA HUO MTIHANI ALIOWAPA HAO ADAMU NA HAWA ILI IKITOKEA MTU AKASHINDWA AJIJUE MWENYEW NA HUKUMU YAKE KULIKO KUWAINGIZA WATU KWENYE MATATIZO YASIYO WAHUSU....HUYU MUNGU WENU VIPII AISEEEE .....HALAFU KWANINI UWAUMBE WATU KISHA UANZE KUWAWEKEA MAZUNGIRA MAGUMU YAKUISHI KWANI WAO WALIKWAMBIA KUWA WANATKA KUJA DUNIANI ...SIYALIKUWA NIMAPENDEKEZO YAKE MWENYEWE ....MAANA KAMA HAO WATU KABLA YAKUUMBWA WANGEKUWA WAMETUMA MAOMBIA YAKUTAKA KUJA KUISHI HUKU SAWA WALIKUWA NA HAKI YA KUWEKEWA MASHART ..LAKINI YEYE NDIYE ALIYAWAHITAJI ..HALAFU YEY HUYO HUYO ANAWAWEKEA MOTO AWACHOME ...HAPO HAPO BADO KUNA MATSUNAMI ..VIMBUNGA VIKUBWA ..MAVOLCANO ..CJUI TETEMEKO ..MUNGU HUYU VIPI SIMNASEMA KUWA NIMUWEZA WA YOTE ..KWANINI ATUWEKE KWENYE MAISHA YA HOFU KIASI HIKI
!!?? kwanini asingetumia huo uweza wa yote katika kutuweka kwenye mazingira salama ....MUNGU MWENYE UPENDO AMEACHA BINTI WAWATU AKWILINA AMEPIGWA RISASI NA KUFA LAKINI HAJAZUIA HILO LISITOKEE ..MUNGU MWENYE UPENDO ANAACHA SYRIA WATU WANAUWANA KAM KUKU ..WAAFRICA WALIKUWA WANAKAMATWA NA KUGEUZWA WATUMWA KISHA WANAFNGWA MINYORORO NA KUPELEKWA UTUMWANI YEYE ANATAZAMA TU .....UPENDO WA HUYU MUNGU WENU UKO WAPI AISEEEEE


THIS IS NOT FEAR AISEEEEE
 
Naona kuna watu wanadai kuwa imeshindikana kumthibitishia bwana Kiranga habari za uwepo wa Mungu hii sio kweli shida iliyopo ni utofauti wa imani Kiranga hana imani ile waliyonayo wale wanaoamini juu ya uwepo wa Mungu

Kiranga ili aamini kuwa kitu hiki kipo ni mpaka akione au akishike, akinuse nk kinyume na hapo haamini kama kitu hicho kipo kitu ambacho ni kigumu kufanyika kwa Mungu ili tumthibitishie maana katika hili Mungu wetu anasema Hakuna mwanadamu yeyote atakayemuona akaishi

Kinyume na wale ambao tunaamini kuwa Mungu yupo kwa maana hahitajiki mpk tumguse au tumuone ndipo tuamini laa maana imani kwa kadri ya maana yake nitanukuu kutoka
EBR. :11:1
Basi imani ni kuwa na hakika ya mambo yatarajiwayo, ni bayana ya mambo yasiyoonekana.

Kwa hiyo tunaamini yupo japo hatujawahi kumuona maana hiyo ndio imani inavyotaka.

Lakini pili sisi tunamthibitisha Mungu yupo kupitia Neno lake yaani maandiko matakatifu kupitia humu Mungu amejifunua sana na habari zilizoelezwa humu zinathibitika kisayansi na hata kihistoria kuwa ni kweli yalitokea mfano tawala za zamani kuanzia za Wamisri, Babeli, Uamedi na Uajemi, Ugiriki nk lkn pia habari za gharika na ishara yake ya Upinde wa Mvua ambalo ni agano ambalo Mungu aliweka kuwa hataigharikisha dunia kwa maji tena haya yote yanathibitisha kuwa Mungu yupo

Lakini Kiranga kwenye hili pia haamini anadai hata biblia nayo ni contradictions

Katika hali hii huwezi kutegemea kumthibitishia kuwa Mungu yupo maana haya mambo yapo kiroho na kiimani pia. Wapo watu waliokuwa kama Kiranga tunaowasoma katka biblia ambao hawakuamini juu ya uwepo wa Mungu mfano ni Farao huyu Musa alipoenda kumuomba awaruhusu wana Waisraeli waende kumuabudu Mungu wao jangwani alimuuliza huyo Mungu ni yupi? Kwa maana nyingine hakumjua huyo Mungu wala kutambua uwepo wake na Mungu alijithibitisha mwenyewe. Mwingine ni mfalme Nebukadneza wa Babeli huyu akijawa kiburi lkn alishushwa na kufanywa kama mnyama na alipelekwa kondeni akawa kama mnyama akala nyasi miaka saba Mungu akimfunza na alipofika ktk sura ya nne ya Daniel alimkiri Mungu na uweza wake

Kwa hiyo Kiranga sio wa kwanza kupinga uwepo wa Mungu wapo wengi ila kwa muda Mungu atajithibitisha kwake na huenda siku moja akakiri kuwa kweli Mungu yupo


Umeandika

"Kiranga ili aamini kuwa kitu hiki kipo ni mpaka akione au akishike, akinuse nk kinyume na hapo haamini kama kitu hicho kipo kitu ambacho ni kigumu kufanyika kwa Mungu ili tumthibitishie maana katika hili Mungu wetu anasema Hakuna mwanadamu yeyote atakayemuona akaishi "

Mpaka hapo umeshakosea.

Nakubali square root ya 2 ni ndogo kuliko 2.

Lakini sijawahi kuiona, kuinusa,kuishika,kuisikia wala kuilamba.
 
MKUU mpka muda huu mmeshindwa kutoa ithibati ya uwepo wa MUNGU wenu "" MUNGU Mwenye upendo "" MUNGU mwenye huruma..Mungu Mwenye uweza wa yote ...ajabu nikwamba Mungu Mwenye uweza wa yote na Mwenye huruma tunaambiwa kuw ameanda moto kwaajili ya kuwachoma watu anaojinadi kuwa anawapenda logic yake kubwa ikiwa nikwasabbu hao watu niwatenda maovu ...swali linakuja kwako upya kama Mungu nimuweza wa yote alishindwa nini kuiumba dunia bila uwepo wa maovu "alishindwa nini kuwafnya watu wote kuwa niwatenda mema ili kuifnya dunia Iwe mahala salama pakuishi pasipo uwepo wa machafuko ...na kama alikuwa anaweza kufnya hivyo kisha hakufnya kwa makusudi inamaaana Mungu huyo sio kwli kwamba ana upendo maana kama angekuwa nao asingeumba viumbe ambavyo ameshindwa kuviweka ktika dunia isiyo na dhambi kwaajili ya uweza wake wote kisha kwa makusudi anakwenda kuvichoma ...
huo upendo wake uko wapi hapo "" hivi ina ingia akilini kweli ??

mungu huyu anastaajabisha mnooo
1st class philosophers wenyewe wale classical ones walishindwa kujibu hayo makwesheni kila mmoja alibaki na akiaminicho yeye...they didn't come into conclusion iwe nyie !!!!


Cc Smart911
 
1st class philosophers wenyewe wale classical ones walishindwa kujibu hayo makwesheni kila mmoja alibaki na akiaminicho yeye...they didn't come into conclusion iwe nyie !!!!


Cc Smart911
kwahiyo Mungu yupo !??
na ana upendo !? nimuweza wa yote pia sindio ...tuanzie hapo kwanza mkuu ..kabla cjakusakizia kwa alwatana au kiranga...hahaaa
 
Namuhakikishia sitatumia bible/quran kumjibu lakini tutafika tu, ngoja asome kwanza nilichomwambia maana kumbe hajui Mungu kagawanyika ila anauliza Mungu ni nani!?.
Mtakesha hapo make tayari wewe ni theist naye atheist... Two Opposite ideas views


Cc Smart911
 
Umeandika

"Kiranga ili aamini kuwa kitu hiki kipo ni mpaka akione au akishike, akinuse nk kinyume na hapo haamini kama kitu hicho kipo kitu ambacho ni kigumu kufanyika kwa Mungu ili tumthibitishie maana katika hili Mungu wetu anasema Hakuna mwanadamu yeyote atakayemuona akaishi "

Mpaka hapo umeshakosea.

Nakubali square root ya 2 ni ndogo kuliko 2.

Lakini sijawahi kuiona, kuinusa,kuishika,kuisikia wala kuilamba.
Jibu ni simple

Tayari unaijua maana umeshaiona 2 ukubwa wake nk kwa hiyo ni rahisi kuamini

Tofauti na Mungu ambaye hujawahi
 
Kusema unaweza hata kusema wewe haupo wakati upo.

Unaweza kusema vilivyo viwe visivyo.

Hilo halina shida wala mjadala.

Lenye mjadala ni uthibitisho.
Nakuhakikishia hivi siku moja wewe utakuwa shuhuda namba moja ya kwamba Mungu yupo na ndie aliyeziumba mbingu na nchi.
 
MKUU mpka muda huu mmeshindwa kutoa ithibati ya uwepo wa MUNGU wenu "" MUNGU Mwenye upendo "" MUNGU mwenye huruma..Mungu Mwenye uweza wa yote ...ajabu nikwamba Mungu Mwenye uweza wa yote na Mwenye huruma tunaambiwa kuw ameanda moto kwaajili ya kuwachoma watu anaojinadi kuwa anawapenda logic yake kubwa ikiwa nikwasabbu hao watu niwatenda maovu ...swali linakuja kwako upya kama Mungu nimuweza wa yote alishindwa nini kuiumba dunia bila uwepo wa maovu "alishindwa nini kuwafnya watu wote kuwa niwatenda mema ili kuifnya dunia Iwe mahala salama pakuishi pasipo uwepo wa machafuko ...na kama alikuwa anaweza kufnya hivyo kisha hakufnya kwa makusudi inamaaana Mungu huyo sio kwli kwamba ana upendo maana kama angekuwa nao asingeumba viumbe ambavyo ameshindwa kuviweka ktika dunia isiyo na dhambi kwaajili ya uweza wake wote kisha kwa makusudi anakwenda kuvichoma ...
huo upendo wake uko wapi hapo "" hivi ina ingia akilini kweli ??

mungu huyu anastaajabisha mnooo
Upeo wa Mungu sio sawa na wa kibinadamu.
 
Umeandika

"Kiranga ili aamini kuwa kitu hiki kipo ni mpaka akione au akishike, akinuse nk kinyume na hapo haamini kama kitu hicho kipo kitu ambacho ni kigumu kufanyika kwa Mungu ili tumthibitishie maana katika hili Mungu wetu anasema Hakuna mwanadamu yeyote atakayemuona akaishi "

Mpaka hapo umeshakosea.

Nakubali square root ya 2 ni ndogo kuliko 2.

Lakini sijawahi kuiona, kuinusa,kuishika,kuisikia wala kuilamba.
HAHAAAA
 
Unapoelezea uwepo wa Mungu halafu ukaiquote Biblia tambua Waislamu hawatakuwa upande wako!.. unazani kwanini?, hawaamini katika uwepo wa utatu mtakatifu, hawaamini katika yesu kuwa Mungu na kwa point kama hizo watu kama kina kiranga wanatumia divide-rule kuweza attack point zenu!..
Sisi tunaoamini kuwa Mungu yupo tunatumia imani.
 
Upeo wa Mungu sio sawa na wa kibinadamu.
safi sana ...sas kama jibu nihilo unaanzaje kumpiga mbuzi wako mwenyewe kisa tu amekula mahindi uliyokuwa na mpango wakwenda kuyasaga...??kwanni umpige wakati unajua kuwa upeo wake na wako haufanani ...mbona hana upeo wakujua kuwa yle mahindi yanamahitaji mengine zaidi yakujuwa kuwa nichakula chake ...sasa Hutu Mungu kama anajua kuwa binaadamu hatoweza kumuelewa kwakuwa anaupeo mdogo ..Anataka kumchoma moto iliiweje !??
huoni kuwa niuonevu huo ??
 
Back
Top Bottom