Je, Mungu wa Wakatoliki amebadilika au Wakatoliki wamepata Mungu mwingine?


Mkuu hakuna mahali kahalalisha,ila kasema kanisa lisiwakunjie mikono manake kanisa lowapokee liwafunze waishi maisha ya utakatifu.

Kumbuka Yesu alikula na makahaba,wezi nk.
 

Unauhakika mkuu,halafu pamoja na maneno yote mbona kanisa linakuwa kila siku na ndio kanisa lenye nguvu ulimwenguni?
 
Maria hawezi kuwaokoa nafsi zao
Wala hawezi kuwaombea wasamehewe
Mariamu ilimbidi afunge na kuomba kwa machozi ili aiokoe nafsi yake mpaka siku ya pentekost
Hakina wwakukuombea wewe madhabi yako usamehewe ila wewe mwenyewe ukatubu kwa mungu.

Alafu wanasahau kuwa mariamu hakutoa chembe ya yai kwenye utengenezaji wa mimba ya yesu
Ila alitumika kuikuza mimba kama chombo
Hakukuwa na damu yake kwenye mwil wa kristo
Na ndomana yesu hajawah kumuita mariamu mama.
 
Unauhakika mkuu,halafu pamoja na maneno yote mbona kanisa linakuwa kila siku na ndio kanisa lenye nguvu ulimwenguni?
Kukua kwa kanisa sio idadi brooo
Amkaa
Yesu alikuwa na wafuasi wengi mnoo wakafika wafuasi 70 anaotembea nao kila sehem
Ila kanisa lake lilipozidi kukua akawa na watu 12
Soma biblia mungu hajawai kufanya kazi na kundi kubwa
Sikuzote nikikundi kidogo tu cha watu.
Akiwa na watu wengu anaongea kwa amafumbo
Akiwa na kikundu chake anawaeleza wazi wazi
Alafu anakaa nao anawapa mambo ya kimbinguni

Kukua sio wingi wa sadaka wala watu
 
Kuna nyuzi nyingi za kushambulia kanisa katoliki, hata hivyo mti wenye matunda ndio unaotupiwa mawe.
Labda kweli mti wenu wa Ukatoliki unaweza kuwa na matunda, tena mengi sana.

Ila swali la msingi, ni matunda ya namna gani hayo?

πŸ‘‰^mti mwovu huzaa matunda mabaya^ - Mathayo 7:17.
 
Thank you Lord Jesus kwa kufumbua watu macho sasa wanaona, ila ubishi tu wa kibinadam. Ila ukweli sasa uko wazi.
Amina
Inabidi wajue kila kitu ili siku ya hukumu tukose chakujitetea
Humu tumeeleza kila kitu waze
Japo sio vyote
Ni mtu akaze shingo yake ili aelekee shimoni mwenyewe
Ukwel upo wazi
 
Umetoa wapi hii
 
LICHA YA YOTE MUNGU ANGALI ANANAFASI YA KUOKOA . AYA ULIYOYASOMA YATAFAKARI MUOMBE NA MUNGU AKUONYESHE PICHA HALISI. PAULO ALIPINGA SANA NENO HALISI NAKUSHIKILIA MAFUNDISHO YA KANISA LAKE MPAKA ALIPOKUTANA NA BWANA YESU MWENYWE. MAADAM YALIYOZUNGUMZWA NI NENO LA BIBLIA WW YATAFAKARI KWA MAKINI. BIBLIA INASEMA KAMA VILE MUNGU ALIVYOWAFUMBA MACHO WAYAHUDI WAKAMKATAA YESU WALIEMSUBIRI MIAKA YOTE ,,,ILI TU NEEMA IWAACHE NA SISI TUPATE NAFASI YA KUOKOLEWA... BASI HIVYO HIVYO NA SISI TUTAMKATAA TENA YESU TUNAEMWAMINI KWA KUBISHA NENO LAKE ILI NEEMA IWARUDIE WAYAHUDI WAPATE KUOKOLOWA NA KUMTAMBUA YESU WALIEMSULUBISHA...... WAKAT HUO MAKANISA YATAKUWEPOKUWEPO TUU KAMA VILE WAYAHUDI WALIVYOSASA BILA MUNGU.... TAFAKARI
 
Jomba Acha janja janja unapotosha jamii kwa waminisha vitu Huna hata ushaidi
 
Vp kuhusu kashfa ya mapadiri kuwanyanyasa kingono watoto wadogo?’
Huo sio ushoga
Ninafikiri unapaswa utueleze na au kututhibitishia msimamo rasmi wa Kanisa Katoliki kama linaunga mkono unyanyasaji wa kingono kwa yeyote, siyo watoto pekee.
 
Kwani uwezi kumcha Mungu wako bila ya kuwa na dhehebu tumia akili ....
πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡
nitajie mtume au mtakatifu yoyote wa kweli aliye kwenye maandiko aliyekuwa na dhehebu au aliye anzisha dhehebu
Nimekupa mfano hapo wa Yohana Mbatizaji. Huyu, kama hujui, alikuwa nabii. Tena Kristu alimwita kuwa ni nabii wa juu kabisa. Luka 7:28.

Mfano mwingine ni Mafarisayo Yusufu wa Arimathaya (mjumbe wa Sanhedrini, Mathayo 27:57; Marko 15:43) na Nikodemo (Yohana 3:1, 2).
 
Ninafikiri unapaswa utueleze na au kututhibitishia msimamo rasmi wa Kanisa Katoliki kama linaunga mkono unyanyasaji wa kingono kwa yeyote, siyo watoto pekee.
Hao mapadri wamechukuliwa hatua gani?!
 
Ni wapagani waabudu sanamu waliojificha kwenye kivuli cha ukristo.
 
Yohana hakuwa na dhehebu
Soma Mathayo 2:23.

Dhehebu ni kikundi cha watu wenye mfumo wao mahususi wa imani na mienendo, hasa ndani ya au tofauti na jamii kubwa ya kidini.

Na hakuwa na kanisa
Bila kuwa na kanisa, hivi alikuwa akiwahubiri akina nani?

Wakati wa kuanza kwa Ukristo, makanisa yalikuwa majumba ya watu. Filemoni 1:2; 1 Wakorintho 16:19; Warumi 16:4.

Kanisa ni mwili wa Kristu; uko kila mahali penye watu wampendao, hata kama hakuna jengo, kunaweza kuwepo kanisa la Kristu.

Alikuwa anahubiri nakuwapinga viongozi wa dini na madhehebu
Yohana alikuwa akiwapinga viongozi wa dini na viongozi wa madhehebu, waliokuwa hawafuati misingi sahihi ya dini.

Dini ni mfumo wa imani. Madhehebu yapo kwa sababu mfumo huo wa imani unatofautiana baina ya waumini wa dini moja.

Kwenye dini ya Ukristo, kwa mfano, kuna madhehebu ya Ukatoliki, Anglikana, Walokole, nk.

Uislamu una madhebu kama Washia na Wasuni.

Huwezi kupinga dini au dhehebu, then ukasema huna dhehebu au dini. Kwa sababu mtazamo au imani inayokuongoza kuzipinga zingine, hiyo ndiyo dini yako mwenyewe.
Hajawah kuingia kwenye makanisa yao
Alihubiri mitaani na mtoni
Siyo lazima uingie kanisani au kwenye sinagogi, ndipo uwe na dini au dhehebu. Tafadhali jielimishe kidogo kuhusu maana ya kanisa, dini, dhehebu, na imani.
 
Na sasa hivi wameshaanza kujadili maswala mapenzi ya jinsia moja?!
Does it make sense?
 
Ukatoliki ni tajiri duniani leo kwa sababu ya ulaghai kama huo huo wa makanisa mengi leo.

Kuna mataifa na falme zililazimika kupeleka kodi RC ili ziweze kudumu. Nchi na falme zilizokataa zilipinduliwa na viongozi wake kuuawa.

Utajiri wa Vatikani ni wizi na upokaji mtupu. Hapo hatujazungumzia uuzaji wa vyeti vya misamaha na vitubio na mbinu nyingi za kipagani ili kukomba na kuhodhi pesa zote kutoka kwa waumini wao.

Na ndicho kinachoendelea hadi leo kwenye mfumo Katoliki. Pesa za waumini zinapokwa kwa kila mbinu iwezekanayo.

Kwa hiyo, haya makanisa (madhehebu) mengine yalijifunza unyang'anyi kutoka Ukatoliki, kwa kutumia silaha ya uongo na ulaghai.
 
Kanisa lilianza siku ya pentekoste
Ila dhehebu la kwanza lilianza rumi miaka 300 baadae
Mfalme Daudi, anayetajwa kwenye Biblia kwamba aliupendeza moyo wa Mungu, alikuwa mpagani? Hakuwa na kanisa?

Wana wa Israeli? Manabii wa zamani?

Kanisa la kwanza duniani ni lile la kwenye Bustani ya Edeni.

Mahali popote penye watu wanaomwabudu Mungu katika Roho na Kweli, hilo ndilo kanisa la Mungu.

Musa aliambiwa na Mungu nyikani avue viatu vyake kwa sababu alikuwa mahali patakatifu.

Kila alipo Mungu na watu wanaomwabudu ni kanisa la Mungu hilo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…