goswe
JF-Expert Member
- Apr 28, 2018
- 4,432
- 5,036
Yani weweKweli imani ni ugonjwa wa akili?kanisa hili lenye wafuasi wengi ulimwenguni na kila siku wanaongezeka leo linaenda kufa[emoji28]. Mkuu umedanganywa sana hata uhalisia huuoni,unapambana na adui bandia adui halisi sio ukatoliki ni wale wanaokataa uungu wa kristo hao ndio adui na wapinga kristo.
Hivi unazani kanisa kuwa na watu wengi ndo mungu yupo nalo?
Na je unadhani uislam ni upinga kristi
Biblia inasema shetani yupo madhabahuni kabisani, akidanganya kiasi cha kuabudiwa kanisani.
Usizan uislam ndio upinga kristo
Yesu mwenye alisema watafanana sana kiasi kwamb itakuwa ngumu kujua ngano na magugu
Aliwaambia yaacheni yakue moaka wakati wa mavuno ndo mtajua ngano ni ipi na magugu ni yapi
Na ni wakati huu ambao rangi za udhehebu
Kama roman na mengine zinaonekana wazi.
Na biblia pia ilisema wakati wa mwisho watakusanya makundi makundi tayar kw ajil ya kuchomwa
Ila wakati huo ngano ipo ghalani tayari.