Je, Mungu wa Wakatoliki amebadilika au Wakatoliki wamepata Mungu mwingine?

Huo uongo unaouweka hapa,fahamu fika kuwa utakuja kuulizwa siku ya mwisho.Ni bora kufyata mkia kuliko kueneza uongo.

Sent from my V1901A using JamiiForums mobile app
 
Eti pope ni mungu mjinga sana ww
 
Mungu habadiliki
 
Ingekuwa ni akili kubwa kweli kama usemavyo, isingeshindwa kufafanua ili ieleweke kwa wale wanaodhaniwa ni akili ndogo.

Hapo tayari inajulikana akili ndogo ni yupi.

Hebu, Mr Akili Kubwa, fafanua mantiki ya kumwombea mtu aliyekufa.
uko sahihi, mwanafalsafa na mwanafizikia Albert Eisntein alisema, km huwezi kuelezea jambo kwa kijana wa miaka 6 akalielewa basi jambo hilo wewe mwenyewe hulielewi
 
Hawa wapagani wa Utaliano ndio walio pelekewa ukirito na paul baada ya paulo kwaua wafuasi wa yesu kwa kuwakata vichwa na kuwanyonga wapi biblia ilipo sema wanaume na wanawake wasioe wala kuolewa watashindwa kuhalalisha ushogo,walicho nacho hawa wapagani ni nguvu ya uchumi tu lakini dini hawana
 
Pole yako.Utakufa wewe na Kikanisa chako lkn sio Kanisa moja Takatifu Katoliki na la Mitume.

Sent from my V1901A using JamiiForums mobile app
mimi siongeli ushabiki kama simba na yanga!!! no,,mimi mwenyewe ni mkatoliki na nimefunga ndoa ya kanisani,,,lakini naongea ukweli,,,,ukiingia kanisani waumini wamepoa sana,,,hamna ata uwezo wa kutoa mapepo,,,padre kama una upako wa kutoa mapepo,haruhusiwi mpaka apate kibali toka kwa papa akilazimisha anafungiwa{kumbuka father nkwera na huduma yake pala river-side],,,ukienda kwenye sherehe zao wanakula pombe mpaka wanalewa!!!!,,,,,narudia tena mimi ni mkatoliki but remember"truth will make you free" na kuna mstari mmoja ndani ya bible unasema"wa2 wangu wanateketea kwa kukosa maarifa"...kama wewe ulivokosa maarifa,,,pia kuna mstari mwingine MUNGU anasema[sikumbuki ni wapi lakini ndani ya Biblia] MUNGU anawaambia viongozi wa dini"na nitapiga muhuri ndani ya miyoyo ya wa2 wangu,nao watanitambua mimi bila ya mafundisho yenu,nao wataacha kuja kwenye huduma zenu kwani mumezidi kupotosha wa2 wangu" na hata kwenye Q'ran tukufu pia kuna sura inaitwa AR-RUMI ikisema"romma must be defeated!!!!.....kwanza mkatoliki asipojiongeza kujisomea biblia anakuwa shallow sana,yaani anakuwa mwelewa mdogo sana wa neno la MUNGU kwani kuanzia tarehe moja ya mwaka mpya[january]mpka tarehe 31 ya mwezi december,,,,,,kuanzia jumatatu mpaka jumapili,wameshapangiwa masomo ya kusoma,they are not free thinker,,,,,,ndo manake siwezi kukushangaa kwa msimamo wako mkali kwani you know nothing ata all!!!
 
Kumbe Wana vyanzo vyengine ambavyo ni MAMBO YAO ??!
 
kuna watu akili zenu ni ndogo sana, mambo ya wakatoliki ukiwa na akaili ndogo huwezi kuyaelewa, baki huko kwenye kuuziwa bidahaa za upako
Akili ndogo ww unaebururw kuelekea USHOGANI?
Wakatolliki Wana nini zaidi ya kuwaf** watoto???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…