Je, Mungu wa Wakatoliki amebadilika au Wakatoliki wamepata Mungu mwingine?

Je, Mungu wa Wakatoliki amebadilika au Wakatoliki wamepata Mungu mwingine?

sisi tuko bize na imani yetu, nyie mko bize kuhangaika na imani yetu.
sisi hatuhangaiki na nyie, hatuwatukani na kila iitwapo leo tunawaombea.
tumepigwa mishale mingi na kila siku tunazidi kuwa imara.
" Furaha ya uinjilishaji"
" Jumuia ndogo ndogo, Roho moja na mwili mmoja katika kristo"
Unasema uko bize na imani yako wala hauhangaiki na sie, hapo hapo unasema unafanya uinjilishaji.

Umejisoma kweli?

Toka huko kuzimu wewe mfuasi wa kadinali. Achana na masuala ya ushirikina wa Ukatoliki. Soma Biblia ili ukweli ukuweke huru.

Hakuna Mkristu wa kweli ambaye atakuacheni gizani mwangamie. Tutakufuateni kila siku hadi injili ya kweli ipenye kwenye mioyo iliyojaa makufuru ya kipagani.

Mafarisayo walijiona wako kwenye imani na dini sahihi, lakini Yesu akasema wamo gizani.

Ukatoliki ni kama kipofu anayemwongoza kipofu mwenzie, mwisho wote wawili watatumbukia shimoni.
 
Mkuu ungechukua muda ukajifunza falsafa za RC usingeandika hiki ulichokiandika
1.Kanisa haliamini kuwa biblia ndo muongozo pekee wa kusimamia hilo kanisa, wana vyanzo vingine vya mambo mambo yao
2.Wanaamini pope ni mungu, yupo daraja la juu kuliko binadfamu, ni muakilishi wa Mungu hapa duniani
3.kanisa linaweza kufuta amri yoyote unayoijua kwenye biblia wakaweka ya kwao. mfano walifuta ile inayokataza kuchonga sanamu na wakagawanya ile ya kutamani ikawa mbili ili mradi kuzuga kuwa ni kumi
POPE NI MUNGU TOKA LINI JOMBI...WE WA FASI YA WAPI?
 
Walokole na wasabato mmeacha kuhubiri injili mnafanya kazi ya kuupinga ukatoliki.
Nyie Malaya,wezi,wafiraji na waabudu binadamu wenzenu kina Mwamposa na Hellen White mnajiona wasafi sana,nyie ni takataka mbele ya kanisa katoliki
Kanisa katoliki lipo,lilikuwepo na litakuwepo milele,mpaka Yesu atakaporudi
Vikanisa vyenu vitaendelea kuzaliwa na kufa kwa sababu vinatoa majibu ya muda mfupi kwa wafuasi wake wapumbavu,kanisa katoliki linatoa majibu ya kudumu kwa maisha ya binadamu.
Endeleeni kuabudu sanamu zetu hizo (kina Mwamposa,Geodarvie na Hellen white) TUACHENI WAKATOLIKI TUABUDU SANAMU ZETU,Nyingi siyo Mungu hamuwezi kutuhukumu.
 
Unasema uko bize na imani yako wala hauhangaiki na sie, hapo hapo unasema unafanya uinjilishaji.

Umejisoma kweli?

Toka huko kuzimu wewe mfuasi wa kadinali. Achana na masuala ya ushirikina wa Ukatoliki. Soma Biblia ili ukweli ukuweke huru.

Hakuna Mkristu wa kweli ambaye atakuacheni gizani mwangamie. Tutakufuateni kila siku hadi injili ya kweli ipenye kwenye mioyo iliyojaa makufuru ya kipagani.

Mafarisayo walijiona wako kwenye imani na dini sahihi, lakini Yesu akasema wamo gizani.

Ukatoliki ni kama kipofu anayemwongoza kipofu mwenzie, mwisho wote wawili watatumbukia shimoni.
Unasali wapi mkuu.
Mna Dali kwenye miradi ya watu mnaiita kanisa.
Pumbavu
 
Asili ya Ukatoki ni upinga Kristo
Mpinga kristo ndiyo aliyekuletea dini huku ushenzini,ndiyo aliyeitunza Biblia na kuipanga hivyo unavyotumia,ndiyo Alikufanya unasali jumapili,ndiyo aliyekufundisha utatu mtakatifu,ndiye aliyeifafanua Biblia kwa Lugha yako.
Unatumia sana za mpinga kristo.Wewe ni mfuasi wa mpinga kristo,hivyo wewe ni mpinga kristo.
 
Ukatoliki ni upagani kwan hamjajuaga tuuu mpaka leo
Haonsio wakristo
Maskini waumini hawajui lolote, wanaingiza shimoni wakat wote
Kuna ibada za mapapa waliokufa, zinatisha na mengine mengi.
Mungu hajawah kuwa na kanisa katoliki hata siku moja
Na yesu alisema pale wanapozan wapo na mm, mm ndo sipo nao.
Kama maria na yusufu, walidhan wapo nae kumbe walimuacha hekaluni

Kimbia katoliki ukoa nafsi yako.
Kama mungu hayupo humo ww unafanya nn.
Mungu hajawahi kuwa na kanisa Katoliki? Yupo na kanisa gani?
 
Kwe
ukatoliki unaelekea kufa,,,ni rahisi kwa mkatoliki kwenda kusali kwa walokole,,,lakini ningumu sana kwa mlokole kwenda kwenye ibada za wakatoliki,,,why????,kwa sababu ya masanamu yalipo kwa wakatoliki,,,sala za wakatoliki zimepoooza sana wakti sala za walokole ni za moto!!!,sala za wakatoliki ni za kukariri na zina boa,wakati sla za kilokole zimechangamka{wana rap kama eminem],,,,,mkatoliki akifa kama alikuwa haendi jumuia hazikwi tofauti na walaokole!!!!walokole wanam2mia sana roho mtakatifu tofauti na wakatoliki
Kweli Mia kwa Mia na wakatoliki hatujui maandiko yaani biblia.Watakuja kukupinga wafia dini.
 
mimi siongeli ushabiki kama simba na yanga!!! no,,mimi mwenyewe ni mkatoliki na nimefunga ndoa ya kanisani,,,lakini naongea ukweli,,,,ukiingia kanisani waumini wamepoa sana,,,hamna ata uwezo wa kutoa mapepo,,,padre kama una upako wa kutoa mapepo,haruhusiwi mpaka apate kibali toka kwa papa akilazimisha anafungiwa{kumbuka father nkwera na huduma yake pala river-side],,,ukienda kwenye sherehe zao wanakula pombe mpaka wanalewa!!!!,,,,,narudia tena mimi ni mkatoliki but remember"truth will make you free" na kuna mstari mmoja ndani ya bible unasema"wa2 wangu wanateketea kwa kukosa maarifa"...kama wewe ulivokosa maarifa,,,pia kuna mstari mwingine MUNGU anasema[sikumbuki ni wapi lakini ndani ya Biblia] MUNGU anawaambia viongozi wa dini"na nitapiga muhuri ndani ya miyoyo ya wa2 wangu,nao watanitambua mimi bila ya mafundisho yenu,nao wataacha kuja kwenye huduma zenu kwani mumezidi kupotosha wa2 wangu" na hata kwenye Q'ran tukufu pia kuna sura inaitwa AR-RUMI ikisema"romma must be defeated!!!!.....kwanza mkatoliki asipojiongeza kujisomea biblia anakuwa shallow sana,yaani anakuwa mwelewa mdogo sana wa neno la MUNGU kwani kuanzia tarehe moja ya mwaka mpya[january]mpka tarehe 31 ya mwezi december,,,,,,kuanzia jumatatu mpaka jumapili,wameshapangiwa masomo ya kusoma,they are not free thinker,,,,,,ndo manake siwezi kukushangaa kwa msimamo wako mkali kwani you know nothing ata all!!!
Wewe siyo mkatoliki,ni mpuuzi usije jua chochote kuhusu ukatoliki,aliyekuambia kanisani ni sehemu ya vurugu ni nani mpaka useme Katoliki kumepoa,aliyekuambia kila mtu anaweza kutoa mapepo ni nani? Alyekuambia Wakatoliki wanakatazwa kusoma Biblia ni nani?
Unaropoka kutafuta umaarufu kwa kutumia ukatoliki.
 
Mungu hajawahi kuwa na kanisa Katoliki? Yupo na kanisa gani?
Katoliki sio kanisa
Ni dhehebu
Lipo radhi liache biblia ila lishike kanuni walizojiwekea ambazo hazipo kwenye biblia na nyingi zinapingana na biblia wanayodai kuiamini.
Na kama ulikuwa hujui adui kubwa wa hili picha la yesu kupingwa makanisani ni roman na binti zake.
 
Wewe siyo mkatoliki,ni mpuuzi usije jua chochote kuhusu ukatoliki,aliyekuambia kanisani ni sehemu ya vurugu ni nani mpaka useme Katoliki kumepoa,aliyekuambia kila mtu anaweza kutoa mapepo ni nani? Alyekuambia Wakatoliki wanakatazwa kusoma Biblia ni nani?
Unaropoka kutafuta umaarufu kwa kutumia ukatoliki.
Kanisa katoliki tangu zamani ilikuwa biblia anasoma padri tuu ikapelekea Martin Luther kuwapinga na kuitafsiri biblia watu waijue
Wajue kuwa wanapigwa
Na mpaka sasa wananeno lakuhubiri mwaka mzima limeandikwa kwenye kitabu unatakiwa ufate kitabu
Sasa ww nenda kinyume nacho uone
 
Watu gani wanajua maandiko? Kufua maandiko ni nini? Kipimo gani kinaonesha huyu anajua maandiko na huyu hajui?
Kipimo ni kutokufata vyote vinavyopungana na neno
Mfano ibada za sanamu
Ndoa za jinsia moja
Mabatizo
Upadri
Padri kuwa mpatanishi kati ya mungu na binadamu, na wakati pazia lilipasua kupinga ili alipokufa bwana yesu
Kanisa kujihusisha sana na mamb ya dunia kuliko ya mungu.
Minada na biashara makanisani,
Litulgia
Namambo mengi mnoooo menginee
Biblia inasema wakat wa mwisho yesu amefukuzwa makanisani anagongwa mlango wa kanisa, atakaesikia sio amfungulie ila atoke amfuate nje.

Ss nyinyi mpo radhi kutetea kanuni zenu za imani kuliko biblia mnayo Dai kuiamini
 
Kanisa katoliki tangu zamani ilikuwa biblia anasoma padri tuu ikapelekea Martin Luther kuwapinga na kuitafsiri biblia watu waijue
Wajue kuwa wanapigwa
Na mpaka sasa wananeno lakuhubiri mwaka mzima limeandikwa kwenye kitabu unatakiwa ufate kitabu
Sasa ww nenda kinyume nacho uone
Ukienda kinyume nacho unafanywa nini?
Unaweza weka ushahidi kuwa Martin Luther alitafsiri Biblia?
Usipojibu haya maswali kwa I sahihi wewe ni mpumbavu usiyefaa kusikilizwa.
 
Biblia inasema Mungu ni yeye yule jana na leo na hata milele, yaani Mungu habadiliki wal;a habadilishi misimamo yake. Mwaka juzi papa alipoulizwa kama kanisa Katoliki linaweza kubariki ndoa ya jinsia moja, alijibu haiwezekani KWA SABABU MUNGU HAWEZI KUBARIKI DHAMBI:

ROME (AP) — The Vatican declared Monday that the Catholic Church won’t bless same-sex unions since God “cannot bless sin.”

The Vatican’s orthodoxy office, the Congregation for the Doctrine of the Faith, issued a formal response to a question about whether Catholic clergy have the authority to bless gay unions. The answer, contained in a two-page explanation published in seven languages and approved by Pope Francis, was “negative.”

Lakini mwaka huu alipoulizwa swali lile lile papa amesema ndoa za jinsia moja zinaweza kubarikiwa, na watu hao wanaruhusiwa kuwa baba na mama wa ubatizo!:

Catholic Church relaxes rules for transgenders​

Pope Francis recently suggested priests could bless same-sex unions on an individual basis.
The Vatican’s doctrinal office has clarified its stance on transgender believers, saying they may get baptized and play various roles within the Catholic faith so long as it does not risk “public scandal.”

In a letter responding to questions posed by a Brazilian bishop, the church’s Dicastery for the Doctrine of the Faith outlined its position toward transgender and other LGBT worshipers, affirming that they may receive the sacrament of baptism, serve as witnesses in wedding ceremonies and act as godparents to Catholic children.

Je, Mungu kabadili msimamo kuhusu dhambi ya ushoga maana papa alisema awali kuwa MUNGU HAWEZI KUBARIKI DHAMBI, au kanisa katoliki chini ya papa Fransis limepata mungu mwingine wa kichina ambaye yeye kwake kubariki dhambi ya ushoga siyo tatizo?

Kwa maoni yangu binafsi, kwa kuwa ninaamini kuwa Mungu hawezi kubadilika kwa mujibu wa Biblia (Ebr 13:8), basi italkuwa kanisa katoliki limeachana na Mungu wa Biblia na limejipatia mungu wa kichina anayekwenda na wakati hasa akizingatia haki za kidemokrasia kam,a zinavyosimamiwa na mataifa ya magharibi hasa Marekani (Democratic). Wadau mnasemaje? karibuni tudadavue!!
Ungeanza kushangaa pale wanapoabudu sanamu.
 
Ukienda kinyume nacho unafanywa nini?
Unaweza weka ushahidi kuwa Martin Luther alitafsiri Biblia?
Usipojibu haya maswali kwa I sahihi wewe ni mpumbavu usiyefaa kusikilizwa.
Kama hujui kuwa mtu wakwanza kuitafsiri biblia kutoka kirumi kwenda lugha nyingine(kijeruman) alikuwa ni luther
Aliposhtakiwa na kutaka kuuwawa akakimbilia kwa mfalme wa kwao ujerumani.
Akamuelezea mfalme akamtafsiria biblia
Akamuonyesha kuwa hoja zake 95 zilikuwa sahihi kulingana na maandiko.
Ndipo aliponusurika kuuwawa
Nisikurahisishie nenda katafute historia padri hatakuambia ayo.
Ww kaa kwenye bench usubiri kipabde cha mkate mwembamba unachoambiwa ni mwil wa kristo.

Wafia imani wote waliuwawa na kanisa gani? katoliki

Wakatubu wakawaita majina yao majina ya makanisa mpaka leo.
 
Ukienda kinyume nacho unafanywa nini?
Unaweza weka ushahidi kuwa Martin Luther alitafsiri Biblia?
Usipojibu haya maswali kwa I sahihi wewe ni mpumbavu usiyefaa kusikilizwa.
Oyo Yesu mnaedai kumuamini akija leo
Watu wa kwanza watakao mshtaki na kutaka kumuua ni kanisa katoliki

Biblia inasema yeye ni kahaba na amezaa binti wakufanana nae
Ndomana ata ayo makanisa yaliyojitoa kwa roman yanarudi tena kwa mama yao
Na kama ulkuwa hujui wanamejiandaa kuunda dini moja
Video zipo kibao viongozi wa madhehe mengine wakimbusu papa na mpaka waislam viongozi wao walienda kwenye mkutano huo

Sawasawa kabisa na biblia ilivyosema itakuwa
Na huo muunganiko wa ayo makanisa na huyo mnyama ndio ile alama ya mnyama ambayo ipo kwenye kofia ya papa hesab za kibinadam 666.
Sikuizi hawaivai baada yakuona aibu.

Utabisha kwa sababu padri wako hajakuambia ayoo. Ila jua wanajua ukwel na hawatakuambia
 
Ukienda kinyume nacho unafanywa nini?
Unaweza weka ushahidi kuwa Martin Luther alitafsiri Biblia?
Usipojibu haya maswali kwa I sahihi wewe ni mpumbavu usiyefaa kusikilizwa.
Haya yameandikiwa makanisa ya wakati wa mwisho kabisa kwenye biblia

Ufunuo wa Yohana 3:15-20
[15]Nayajua matendo yako, ya kuwa hu baridi wala hu moto; ingekuwa heri kama ungekuwa baridi au moto.

[16]Basi, kwa sababu una uvuguvugu, wala hu baridi wala moto, nitakutapika utoke katika kinywa changu.

[17]Kwa kuwa wasema, Mimi ni tajiri, nimejitajirisha, wala sina haja ya kitu; nawe hujui ya kuwa wewe u mnyonge, na mwenye mashaka, na maskini, na kipofu, na uchi.

[18]Nakupa shauri, ununue kwangu dhahabu iliyosafishwa kwa moto, upate kuwa tajiri, na mavazi meupe upate kuvaa, aibu ya uchi wako isionekane, na dawa ya macho ya kujipaka macho yako, upate kuona.

[19]Wote niwapendao mimi nawakemea, na kuwarudi; basi uwe na bidii, ukatubu.

[20]Tazama, nasimama mlangoni, nabisha; mtu akiisikia sauti yangu, na kuufungua mlango, nitaingia kwake, nami nitakula pamoja naye, na yeye pamoja nami.
 
Kipimo ni kutokufata vyote vinavyopungana na neno
Mfano ibada za sanamu
Ndoa za jinsia moja
Mabatizo
Upadri
Padri kuwa mpatanishi kati ya mungu na binadamu, na wakati pazia lilipasua kupinga ili alipokufa bwana yesu
Kanisa kujihusisha sana na mamb ya dunia kuliko ya mungu.
Minada na biashara makanisani,
Litulgia
Namambo mengi mnoooo menginee
Biblia inasema wakat wa mwisho yesu amefukuzwa makanisani anagongwa mlango wa kanisa, atakaesikia sio amfungulie ila atoke amfuate nje.

Ss nyinyi mpo radhi kutetea kanuni zenu za imani kuliko biblia mnayo Dai kuiamini
1. Nani anaabudu sanamu? Kuabudu manaake nini?
2.Ni lini kanisa Katoliki limeruhusu ndoa za jinsia moja
3.ubatizo manaake nini na lengo lake nini?
Yesu aliwaagiza wafuasi wake hivi: “Mkafanye wanafunzi . . . . mkiwabatiza katika jina la Baba na la Mwana na la roho takatifu, na kuwafundisha kushika mambo yote niliyowaamuru.” (Mathayo 28;19-20)
Kwanini mna lazima ha ubatizo uwe wa kuzamishana,ni wapi Yesu alisema ili mtu anayo we ni lazima azame majini?
4. Biblia inasemaje kuhusu padri kuwa mpatanishi wa Mungu na mwanadamu?
Mathayo 16;19
NAMI NITAKUPA WEWE FUNGUO ZA UFALME WA MBINGUNI; NA LOLOTE UTAKALOLIFUNGA DUNIANI, LITAKUWA LIMEFUNGWA MBINGUNI, NA LOLOTE UTAKALOLIFUNGUA DUNIANI, LITAKUWA LIMEFUNGULIWA MBINGUNI.”
Kosa letu ni nini hapo?
5. Mnada kanisani manaake nini na huo mnada huwa unahusu nini?
6 Litrujia manaake nini na kazi yake ni nini?
7. Kanuni ya imani ina shida gani?
Kanuni ya imani inasema Hivi.
Nasadiki kwa Mungu mmoja (wewe husadiki)
Baba mwenyezi ( unakubali kuwa Mungu ni baba mwenyezi)
Muumba wa mbingu na nchi/dunia (unabisha)
Na vitu vyote vinavyoonekana na visivyoonekana (unakubali?)
Na kwa Yesu kristo bwana wetu (unapinga)
Ngoja niishie hapa,niambie kanuni ya imani ina shida gani?
Huujui ukatoliki,umekaririshwa na wachungaji wako namna ya kuutukana ukatoliki.
 
Haya yameandikiwa makanisa ya wakati wa mwisho kabisa kwenye biblia

Ufunuo wa Yohana 3:15-20
[15]Nayajua matendo yako, ya kuwa hu baridi wala hu moto; ingekuwa heri kama ungekuwa baridi au moto.

[16]Basi, kwa sababu una uvuguvugu, wala hu baridi wala moto, nitakutapika utoke katika kinywa changu.

[17]Kwa kuwa wasema, Mimi ni tajiri, nimejitajirisha, wala sina haja ya kitu; nawe hujui ya kuwa wewe u mnyonge, na mwenye mashaka, na maskini, na kipofu, na uchi.

[18]Nakupa shauri, ununue kwangu dhahabu iliyosafishwa kwa moto, upate kuwa tajiri, na mavazi meupe upate kuvaa, aibu ya uchi wako isionekane, na dawa ya macho ya kujipaka macho yako, upate kuona.

[19]Wote niwapendao mimi nawakemea, na kuwarudi; basi uwe na bidii, ukatubu.

[20]Tazama, nasimama mlangoni, nabisha; mtu akiisikia sauti yangu, na kuufungua mlango, nitaingia kwake, nami nitakula pamoja naye, na yeye pamoja nami.
Jibu maswali usijifanye unaijua Biblia sana,ukienda kinyume na hayo unafanywa nini?
Ni lini kanisa lilizuia watu kusoma Biblia?
 
Back
Top Bottom