Je, Mungu wa Wakatoliki amebadilika au Wakatoliki wamepata Mungu mwingine?

Je, Mungu wa Wakatoliki amebadilika au Wakatoliki wamepata Mungu mwingine?

POPE NI MUNGU TOKA LINI JOMBI...WE WA FASI YA WAPI?
VICARIUS filli DEI

Papa wanamuita mbadala wa yesu hpaunini

Nailo nijina lake kbs

Ambali kibiblia
Ufunuo wa Yohana 13:18
[18]Hapa ndipo penye hekima. Yeye aliye na akili, na aihesabu hesabu ya mnyama huyo; maana ni hesabu ya kibinadamu. Na hesabu yake ni mia sita, sitini na sita.

Kasome na ufunuo 17
Ndo utaelewa kuwa kwann inaongelea mji ambao anakaa uyo kahaba umezungukwa na milima saba (vatican)
Uyo mwanamke anapokaa ni ufalme ndani ya ufalme (Vatican in rome)
Kwanini alilewa damu za watakatifu aliowaua
Kwanini biblia inasema ananguvu juu ya kila taifa na kila kabila nalugha (vatican)

Ufunuo wa Yohana 17:5-6
[5]Na katika kipaji cha uso wake alikuwa na jina limeandikwa, la siri, BABELI MKUU, MAMA WA MAKAHABA NA MACHUKIZO YA NCHI.

[6]Nikamwona yule mwanamke amelewa kwa damu ya watakatifu, na kwa damu ya mashahidi wa Yesu. Nami nilipomwona nikastaajabu ajabu kuu.

Na mangine mengiiiiiiiiiii
 
Kama hujui kuwa mtu wakwanza kuitafsiri biblia kutoka kirumi kwenda lugha nyingine(kijeruman) alikuwa ni luther
Aliposhtakiwa na kutaka kuuwawa akakimbilia kwa mfalme wa kwao ujerumani.
Akamuelezea mfalme akamtafsiria biblia
Akamuonyesha kuwa hoja zake 95 zilikuwa sahihi kulingana na maandiko.
Ndipo aliponusurika kuuwawa
Nisikurahisishie nenda katafute historia padri hatakuambia ayo.
Ww kaa kwenye bench usubiri kipabde cha mkate mwembamba unachoambiwa ni mwil wa kristo.

Wafia imani wote waliuwawa na kanisa gani? katoliki

Wakatubu wakawaita majina yao majina ya makanisa mpaka leo.
Mfia imani gani aliuawa na kanisa katoliki?
Weka ushahidi kuwa Martin Luther alitafsiri Biblia kwa kijerumani,kwa hiyo Biblia iliandikwa kwa kirumi Luther akaitafsiri kwenda kijerumani.
Unahisi akili yako inatosha kuendelea kujadili na wewe?
Tafsiri ya kwanza ya Maandiko katika zama za Kikristo ilikuwa katika lugha ya Kisiria karibu mwaka 170 BK , kama ilivyosemwa huko Damasko! Kisha kazi ya kutafsiri Biblia ilienea kutoka Siria katika karne zilizofuata hadi Armenia, Georgia, Samarkand na kwingineko.
 
Jibu maswali usijifanye unaijua Biblia sana,ukienda kinyume na hayo unafanywa nini?
Ni lini kanisa lilizuia watu kusoma Biblia?
Kasome historia ya kanisa lako kabla halijatubu
Wakati biblia ipo kanisan tu kwa mapadri
Mpk 1400 bk uo ujinga ulikuwepo
Nyuma yake zaidi hali ilikuwa mbaya zaidi
Katoliki lilikuwa linadanganya watu nakuwauzia vikadi wanasema ni kadi za msamaha wa dhambi
Tajiri anavijaza home anaenda kufanya ushenzi

Ukitaka kujua ayo tafuta hoja 95 za Martin Luther alizopingana na roma
Apo bado john Wesley na wengine wengi
 
Biblia inasema Mungu ni yeye yule jana na leo na hata milele, yaani Mungu habadiliki wal;a habadilishi misimamo yake. Mwaka juzi papa alipoulizwa kama kanisa Katoliki linaweza kubariki ndoa ya jinsia moja, alijibu haiwezekani KWA SABABU MUNGU HAWEZI KUBARIKI DHAMBI:

ROME (AP) — The Vatican declared Monday that the Catholic Church won’t bless same-sex unions since God “cannot bless sin.”

The Vatican’s orthodoxy office, the Congregation for the Doctrine of the Faith, issued a formal response to a question about whether Catholic clergy have the authority to bless gay unions. The answer, contained in a two-page explanation published in seven languages and approved by Pope Francis, was “negative.”

Lakini mwaka huu alipoulizwa swali lile lile papa amesema ndoa za jinsia moja zinaweza kubarikiwa, na watu hao wanaruhusiwa kuwa baba na mama wa ubatizo!:

Catholic Church relaxes rules for transgenders​

Pope Francis recently suggested priests could bless same-sex unions on an individual basis.
The Vatican’s doctrinal office has clarified its stance on transgender believers, saying they may get baptized and play various roles within the Catholic faith so long as it does not risk “public scandal.”

In a letter responding to questions posed by a Brazilian bishop, the church’s Dicastery for the Doctrine of the Faith outlined its position toward transgender and other LGBT worshipers, affirming that they may receive the sacrament of baptism, serve as witnesses in wedding ceremonies and act as godparents to Catholic children.

Je, Mungu kabadili msimamo kuhusu dhambi ya ushoga maana papa alisema awali kuwa MUNGU HAWEZI KUBARIKI DHAMBI, au kanisa katoliki chini ya papa Fransis limepata mungu mwingine wa kichina ambaye yeye kwake kubariki dhambi ya ushoga siyo tatizo?

Kwa maoni yangu binafsi, kwa kuwa ninaamini kuwa Mungu hawezi kubadilika kwa mujibu wa Biblia (Ebr 13:8), basi italkuwa kanisa katoliki limeachana na Mungu wa Biblia na limejipatia mungu wa kichina anayekwenda na wakati hasa akizingatia haki za kidemokrasia kam,a zinavyosimamiwa na mataifa ya magharibi hasa Marekani (Democratic). Wadau mnasemaje? karibuni tudadavue!!
Ukristo sio imani sahihi
 
Mfia imani gani aliuawa na kanisa katoliki?
Weka ushahidi kuwa Martin Luther alitafsiri Biblia kwa kijerumani,kwa hiyo Biblia iliandikwa kwa kirumi Luther akaitafsiri kwenda kijerumani.
Unahisi akili yako inatosha kuendelea kujadili na wewe?
Tafsiri ya kwanza ya Maandiko katika zama za Kikristo ilikuwa katika lugha ya Kisiria karibu mwaka 170 BK , kama ilivyosemwa huko Damasko! Kisha kazi ya kutafsiri Biblia ilienea kutoka Siria katika karne zilizofuata hadi Armenia, Georgia, Samarkand na kwingineko.
Kutoka kirumi kwenda lugha nyingine
Na io ni ulaya
Achana na lugha za mashariki ya kati na uko jua kuwa biblia bado haikuwa imeunganishwa vitabu vyote

Elewa
Yan ww upo radhi kufa na tai ya roman
Ata yesu akikuhubiria hutamuamini
Alaf jua watu wakwanza kabisa ambao yesu angepingana nao wakati huu ni katoliki.
 
ukatoliki unaelekea kufa,,,ni rahisi kwa mkatoliki kwenda kusali kwa walokole,,,lakini ningumu sana kwa mlokole kwenda kwenye ibada za wakatoliki,,,why????,kwa sababu ya masanamu yalipo kwa wakatoliki,,,sala za wakatoliki zimepoooza sana wakti sala za walokole ni za moto!!!,sala za wakatoliki ni za kukariri na zina boa,wakati sla za kilokole zimechangamka{wana rap kama eminem],,,,,mkatoliki akifa kama alikuwa haendi jumuia hazikwi tofauti na walaokole!!!!walokole wanam2mia sana roho mtakatifu tofauti na wakatoliki
Ukatoliki unaenda kufa?????
 
Kutoka kirumi kwenda lugha nyingine
Na io ni ulaya
Achana na lugha za mashariki ya kati na uko jua kuwa biblia bado haikuwa imeunganishwa vitabu vyote

Elewa
Yan ww upo radhi kufa na tai ya roman
Ata yesu akikuhubiria hutamuamini
Alaf jua watu wakwanza kabisa ambao yesu angepingana nao wakati huu ni katoliki.
Hakuna Biblia iliyoandikwa kwa kirumi,Biblia iliandikwa Kiebrania,Kiyunani na Kigiriki,
Ikatafsiriwa kwenda Kilatini,baadaye Kifaransa na Lugha nyingine
Hiyo Biblia ya Kirumi umeitoa wapi?
 
Ukatoliki unaenda kufa?????
Ukatoliki ulishakufa zamani
Kiufupi haujawah kuwa hai
Tangu kuanzishwa kwake
Mpaka lilipogawanyika
Na ata sasa ndo lipo kwenye kilele cha upaganu wake


Inasikitisha wameitoa nafasi ya roho mtakatifu wakamuweka maria
Wanamuita mama wa mungu
Wakati yesi hajawah kumuita mariam mama
Alimuita ewe mwanamke sikuzote
 
Kasome historia ya kanisa lako kabla halijatubu
Wakati biblia ipo kanisan tu kwa mapadri
Mpk 1400 bk uo ujinga ulikuwepo
Nyuma yake zaidi hali ilikuwa mbaya zaidi
Katoliki lilikuwa linadanganya watu nakuwauzia vikadi wanasema ni kadi za msamaha wa dhambi
Tajiri anavijaza home anaenda kufanya ushenzi

Ukitaka kujua ayo tafuta hoja 95 za Martin Luther alizopingana na roma
Apo bado john Wesley na wengine wengi
Unazungumzia historia ya kanisa kabla halijatubu,very stupid,Mimi nazungumzia kanisa ninalosali mimi.
Kanisa moja takatifu katoliki na la mitume
 
Ukatoliki ulishakufa zamani
Kiufupi haujawah kuwa hai
Tangu kuanzishwa kwake
Mpaka lilipogawanyika
Na ata sasa ndo lipo kwenye kilele cha upaganu wake


Inasikitisha wameitoa nafasi ya roho mtakatifu wakamuweka maria
Wanamuita mama wa mungu
Wakati yesi hajawah kumuita mariam mama
Alimuita ewe mwanamke sikuzote
Yesu alimuita Maria ewe mwanamke?
Hebu tupe fungu.
Kweli wasabato mnahitaji ubatizo kwa Mara ya pili,nyie ndyo wapinga kristo wa kweli
 
INASIKITISHA SANA KUONA WAKRISTU WENZETU WAKITUCHUKIA KWA KIASI KIKUBWA NA NAMNA HII
HAKIKA INASIKITISHA MNO

ILIBIDI TUJENGE NYUMBA MOJA ILA HII CHUKI MLIYO NAYO WAKRISTU WENZETU SIO TU INAONDOA IMANI, MATUMAINI NA MAPENDO BALI INAKARIBISHA ROHO YA UMAUTI KUPITIA MAPANDIKIZI YA CHUKI JUU YETU WAKATOLIKI


INAUMA SANA
 
Ukatoliki ulishakufa zamani
Kiufupi haujawah kuwa hai
Tangu kuanzishwa kwake
Mpaka lilipogawanyika
Na ata sasa ndo lipo kwenye kilele cha upaganu wake


Inasikitisha wameitoa nafasi ya roho mtakatifu wakamuweka maria
Wanamuita mama wa mungu
Wakati yesi hajawah kumuita mariam mama
Alimuita ewe mwanamke sikuzote

Yohana 19:26-27

Neno: Bibilia Takatifu

26 Yesu alipomwona mama yake na yule mwanafunzi aliyempenda wamesimama karibu, alimwambia mama yake, “Mama, huyo ni mwanao!” 27 Kisha akamwambia yule mwanafunzi, “Na huyo ni mama yako.” Tangu wakati huo yule mwanafunzi akamchukua mama yake Yesu nyumbani kwake.
Pumbavu we msabato.
 
Ukatoliki ulishakufa zamani
Kiufupi haujawah kuwa hai
Tangu kuanzishwa kwake
Mpaka lilipogawanyika
Na ata sasa ndo lipo kwenye kilele cha upaganu wake


Inasikitisha wameitoa nafasi ya roho mtakatifu wakamuweka maria
Wanamuita mama wa mungu
Wakati yesi hajawah kumuita mariam mama
Alimuita ewe mwanamke sikuzote
Na ndiyo maana tukisema nyie wasabato sio wakristu sijui kwanini hamuelewi!

Humuamini mama yake Yesu ila unamuamini ELLEN GOULD WHITE, nimesoma vitabu vingi sana vuenu wasabato mmejaziqa chuki tu na huyo mama juu ya kanisa la Mungu...

Unayo nafasi ya kurekebisha roho yako na kuifanya iwe dhabihu Safi bila chuki wala mawaa

Itikadi zenu hazina tofauti na waislamu, mnakera sana nyie kikundi cha wasabato
 
Na wewe baki huko ambako sasa ndoa za jinsia moja ruksa!!
Kwani alikuambia anataka kuhama? Wasabato bana…sijui lini mtaacha kuwashwa washwa na mambo ya wakatoliki!
Mbona sisi hatutamani dini yenu?
Mnakaririshwa humo kwenye Makambi then hao mbio mbio kuukosoa ukatoliki.
 
1. Nani anaabudu sanamu? Kuabudu manaake nini?
2.Ni lini kanisa Katoliki limeruhusu ndoa za jinsia moja
3.ubatizo manaake nini na lengo lake nini?
Yesu aliwaagiza wafuasi wake hivi: “Mkafanye wanafunzi . . . . mkiwabatiza katika jina la Baba na la Mwana na la roho takatifu, na kuwafundisha kushika mambo yote niliyowaamuru.” (Mathayo 28;19-20)
Kwanini mna lazima ha ubatizo uwe wa kuzamishana,ni wapi Yesu alisema ili mtu anayo we ni lazima azame majini?
4. Biblia inasemaje kuhusu padri kuwa mpatanishi wa Mungu na mwanadamu?
Mathayo 16;19
NAMI NITAKUPA WEWE FUNGUO ZA UFALME WA MBINGUNI; NA LOLOTE UTAKALOLIFUNGA DUNIANI, LITAKUWA LIMEFUNGWA MBINGUNI, NA LOLOTE UTAKALOLIFUNGUA DUNIANI, LITAKUWA LIMEFUNGULIWA MBINGUNI.”
Kosa letu ni nini hapo?
5. Mnada kanisani manaake nini na huo mnada huwa unahusu nini?
6 Litrujia manaake nini na kazi yake ni nini?
7. Kanuni ya imani ina shida gani?
Kanuni ya imani inasema Hivi.
Nasadiki kwa Mungu mmoja (wewe husadiki)
Baba mwenyezi ( unakubali kuwa Mungu ni baba mwenyezi)
Muumba wa mbingu na nchi/dunia (unabisha)
Na vitu vyote vinavyoonekana na visivyoonekana (unakubali?)
Na kwa Yesu kristo bwana wetu (unapinga)
Ngoja niishie hapa,niambie kanuni ya imani ina shida gani?
Huujui ukatoliki,umekaririshwa na wachungaji wako namna ya kuutukana ukatoliki.
Ubatizo ni baptize
Neno lakiyunani lenye maana ya kuzamisha
Unataka na vifungu uamini

Wakolosai 2:12
[12]Mkazikwa pamoja naye katika ubatizo; na katika huo mkafufuliwa pamoja naye, kwa kuziamini nguvu za Mungu aliyemfufua katika wafu.

Ubatizo wa kunyunyiza ulianzia wap? Rumi walioka aibu kumzamisha mfalme wa rumi alipoamini. Wengine wakasema lazima akazamishwe wengne wakasema uyu ni mfalme tumnyunyizie tu si ni maji yale yale
Kuzamisha inaashiria kufa na kufufuka kwa yesu

Mtu wangemwagia udogo tu alaf wangemwambia tushakuzika sio.

Mnada ni mnada
Unabadili vitu kuwa pesa io haiitaji degree yesu aliwakuta wameleta mbuzi njiwa na kila biashara wanabadili ziwe pesa
Ubatizo hakuna mtu kwenye biblia alibatizwa hvyo kiroman kw jina la baba la mwana la la roho tafuta biblia nzima
Ila mitume waliambiwa msifanye lolote mpaka roho atapokuja na kuwafunulia
Alipowafunulia unajua walibatizaje wtu.
Kwajina la bwana yesu
Baba sio jina wala mwana ila ni sifa za mtu mmoja
Io ni ishu ingine ndefu

Sanamu inajulikana kubusu sanam ya maria na mtoto yesu na kujichora alama za msalaba

Ndoa za jinsia moja io ipo wazi siiongelei
 
1. Nani anaabudu sanamu? Kuabudu manaake nini?
2.Ni lini kanisa Katoliki limeruhusu ndoa za jinsia moja
3.ubatizo manaake nini na lengo lake nini?
Yesu aliwaagiza wafuasi wake hivi: “Mkafanye wanafunzi . . . . mkiwabatiza katika jina la Baba na la Mwana na la roho takatifu, na kuwafundisha kushika mambo yote niliyowaamuru.” (Mathayo 28;19-20)
Kwanini mna lazima ha ubatizo uwe wa kuzamishana,ni wapi Yesu alisema ili mtu anayo we ni lazima azame majini?
4. Biblia inasemaje kuhusu padri kuwa mpatanishi wa Mungu na mwanadamu?
Mathayo 16;19
NAMI NITAKUPA WEWE FUNGUO ZA UFALME WA MBINGUNI; NA LOLOTE UTAKALOLIFUNGA DUNIANI, LITAKUWA LIMEFUNGWA MBINGUNI, NA LOLOTE UTAKALOLIFUNGUA DUNIANI, LITAKUWA LIMEFUNGULIWA MBINGUNI.”
Kosa letu ni nini hapo?
5. Mnada kanisani manaake nini na huo mnada huwa unahusu nini?
6 Litrujia manaake nini na kazi yake ni nini?
7. Kanuni ya imani ina shida gani?
Kanuni ya imani inasema Hivi.
Nasadiki kwa Mungu mmoja (wewe husadiki)
Baba mwenyezi ( unakubali kuwa Mungu ni baba mwenyezi)
Muumba wa mbingu na nchi/dunia (unabisha)
Na vitu vyote vinavyoonekana na visivyoonekana (unakubali?)
Na kwa Yesu kristo bwana wetu (unapinga)
Ngoja niishie hapa,niambie kanuni ya imani ina shida gani?
Huujui ukatoliki,umekaririshwa na wachungaji wako namna ya kuutukana ukatoliki.
Ubatizo ni baptize
Neno lakiyunani lenye maana ya kuzamisha
Unataka na vifungu uamini

Wakolosai 2:12
[12]Mkazikwa pamoja naye katika ubatizo; na katika huo mkafufuliwa pamoja naye, kwa kuziamini nguvu za Mungu aliyemfufua katika wafu.

Ubatizo wa kunyunyiza ulianzia wap? Rumi walioka aibu kumzamisha mfalme wa rumi alipoamini. Wengine wakasema lazima akazamishwe wengne wakasema uyu ni mfalme tumnyunyizie tu si ni maji yale yale
Kuzamisha inaashiria kufa na kufufuka kwa yesu

Mtu wangemwagia udogo tu alaf wangemwambia tushakuzika sio.

Mnada ni mnada
Unabadili vitu kuwa pesa io haiitaji degree yesu aliwakuta wameleta mbuzi njiwa na kila biashara wanabadili ziwe pesa
Ubatizo hakuna mtu kwenye biblia alibatizwa hvyo kiroman kw jina la baba la mwana la la roho tafuta biblia nzima
Ila mitume waliambiwa msifanye lolote mpaka roho atapokuja na kuwafunulia
Alipowafunulia unajua walibatizaje wtu.
Kwajina la bwana yesu
Baba sio jina wala mwana ila ni sifa za mtu mmoja
Io ni ishu ingine ndefu

Sanamu inajulikana kubusu sanam ya maria na mtoto yesu na kujichora alama za msalaba

Ndoa za jinsia moja io ipo wazi siiongelei
 

Yohana 19:26-27​

Neno: Bibilia Takatifu​

26 Yesu alipomwona mama yake na yule mwanafunzi aliyempenda wamesimama karibu, alimwambia mama yake, “Mama, huyo ni mwanao!” 27 Kisha akamwambia yule mwanafunzi, “Na huyo ni mama yako.” Tangu wakati huo yule mwanafunzi akamchukua mama yake Yesu nyumbani kwake.
Pumbavu we msabato.
Ndugu achana nao, muasi siku zote huwa na CHUKI kubwa kwa aliyemuasi kuliko hata adui wa aliyemuasi

Unaona hoja kuu hapa ni nini!!? Ni kuanguka kwa kanisa KATOLIKI, ndiyo tamanio lao hawajui kuwa kuanzishwa kwa makanisa yao ni mpango wa shetani kunyong'onyeza huduma na injili, wanatamani kanisa liangamie
ACHANA NAO Huu uzi tuuachie hapa
 
H
Kitendo tu cha Kanisa Katoliki kujadili hivyo suala la ushoga, hilo tayari ni tatizo kubwa sana.

Ni kana kwamba tayari amesharuhusu, sema tu bado upepo mbaya wa uharibifu haujavuma vizuri kunako ili kuikokota mashua hadi ng'ambo kwenye sherehe za harusi hiyo ya kishetani.

Haya ndiyo matokeo ya mfumo unaodai kwamba wenyewe una mapokeo na mafundisho ya kanisa, na wala siyo Biblia pekee, na papa akiwa mungu wao asiyekosea, huku wafu wao wakiabudiwa kama miungu ya akiba.

Kristu alishawaonya hao kwamba kumwabudu kwao ni bure wala hakufai, kwa sababu wanayofundisha ni maagizo ya kibinadamu tu.~ Mathayo 15:9.

Warumi 1
20 Tangu Mungu alipoumba ulimwengu, asili ya Mungu asiyeonekana kwa macho, yaani uwezo wake wa milele na Uungu wake, umedhihirika wazi wazi kutokana na vitu alivyoviumba. Kwa hiyo watu hawana kisingizio.

21 Ingawa walimjua Mungu, hawakumpa heshima na utukufu anaostahili wala kumshukuru. Badala yake, fikira zao zimekuwa batili na akili zao zilizopumbaa zikatiwa giza. 22 Huku wakijidai kuwa ni werevu, wakawa wajinga. 23 Wakauacha utukufu wa Mungu aishiye milele wakageukia sanamu zinazofanana na mwanadamu ambaye hufa, na ndege na wanyama na viumbe vitambaavyo.

24 Kwa hiyo, Mungu aliwaacha waendelee kufuata tamaa mbaya za mioyo yao na kutenda matendo ya unajisi nakufanyiana mambo ya aibu katika miili yao. 25 Hii ni kwa sababu walikataa ukweli kuhusu Mungu wakaamua kuamini uongo; wakaabudu na kutumikia kiumbe badala ya Muumba ahimidiwaye milele! Amina.
Hakuina mahali nimeona wakatoliki wanamuamini papa .
 
Back
Top Bottom