goswe
JF-Expert Member
- Apr 28, 2018
- 4,432
- 5,036
VICARIUS filli DEIPOPE NI MUNGU TOKA LINI JOMBI...WE WA FASI YA WAPI?
Papa wanamuita mbadala wa yesu hpaunini
Nailo nijina lake kbs
Ambali kibiblia
Ufunuo wa Yohana 13:18
[18]Hapa ndipo penye hekima. Yeye aliye na akili, na aihesabu hesabu ya mnyama huyo; maana ni hesabu ya kibinadamu. Na hesabu yake ni mia sita, sitini na sita.
Kasome na ufunuo 17
Ndo utaelewa kuwa kwann inaongelea mji ambao anakaa uyo kahaba umezungukwa na milima saba (vatican)
Uyo mwanamke anapokaa ni ufalme ndani ya ufalme (Vatican in rome)
Kwanini alilewa damu za watakatifu aliowaua
Kwanini biblia inasema ananguvu juu ya kila taifa na kila kabila nalugha (vatican)
Ufunuo wa Yohana 17:5-6
[5]Na katika kipaji cha uso wake alikuwa na jina limeandikwa, la siri, BABELI MKUU, MAMA WA MAKAHABA NA MACHUKIZO YA NCHI.
[6]Nikamwona yule mwanamke amelewa kwa damu ya watakatifu, na kwa damu ya mashahidi wa Yesu. Nami nilipomwona nikastaajabu ajabu kuu.
Na mangine mengiiiiiiiiiii