Je, Mungu wa Wakatoliki amebadilika au Wakatoliki wamepata Mungu mwingine?

Je, Mungu wa Wakatoliki amebadilika au Wakatoliki wamepata Mungu mwingine?

Oyo Yesu mnaedai kumuamini akija leo
Watu wa kwanza watakao mshtaki na kutaka kumuua ni kanisa katoliki

Biblia inasema yeye ni kahaba na amezaa binti wakufanana nae
Ndomana ata ayo makanisa yaliyojitoa kwa roman yanarudi tena kwa mama yao
Na kama ulkuwa hujui wanamejiandaa kuunda dini moja
Video zipo kibao viongozi wa madhehe mengine wakimbusu papa na mpaka waislam viongozi wao walienda kwenye mkutano huo

Sawasawa kabisa na biblia ilivyosema itakuwa
Na huo muunganiko wa ayo makanisa na huyo mnyama ndio ile alama ya mnyama ambayo ipo kwenye kofia ya papa hesab za kibinadam 666.
Sikuizi hawaivai baada yakuona aibu.

Utabisha kwa sababu padri wako hajakuambia ayoo. Ila jua wanajua ukwel na hawatakuambia

Mkuu ni vyema na inapendeza kama dunia tukiwa na dini moja itapendeza sana kuliko huu upuuzi na takataka za dini zinznzoendlea duniani kwa sasa.
 
VICARIUS filli DEI

Papa wanamuita mbadala wa yesu hpaunini

Nailo nijina lake kbs

Ambali kibiblia
Ufunuo wa Yohana 13:18
[18]Hapa ndipo penye hekima. Yeye aliye na akili, na aihesabu hesabu ya mnyama huyo; maana ni hesabu ya kibinadamu. Na hesabu yake ni mia sita, sitini na sita.

Kasome na ufunuo 17
Ndo utaelewa kuwa kwann inaongelea mji ambao anakaa uyo kahaba umezungukwa na milima saba (vatican)
Uyo mwanamke anapokaa ni ufalme ndani ya ufalme (Vatican in rome)
Kwanini alilewa damu za watakatifu aliowaua
Kwanini biblia inasema ananguvu juu ya kila taifa na kila kabila nalugha (vatican)

Ufunuo wa Yohana 17:5-6
[5]Na katika kipaji cha uso wake alikuwa na jina limeandikwa, la siri, BABELI MKUU, MAMA WA MAKAHABA NA MACHUKIZO YA NCHI.

[6]Nikamwona yule mwanamke amelewa kwa damu ya watakatifu, na kwa damu ya mashahidi wa Yesu. Nami nilipomwona nikastaajabu ajabu kuu.

Na mangine mengiiiiiiiiiii

Umelishwa matango pori sana ndugu hadi huruma. Hiyo vicarius fidei ni uongo na uzushi wa hali ya juu tumia akili,kwa nini U ilazimishwe kuwa V?
 
Asiye na dhambi apinge hayo ya Catholic kwa Nguvu zake zote
 
Kutoka kirumi kwenda lugha nyingine
Na io ni ulaya
Achana na lugha za mashariki ya kati na uko jua kuwa biblia bado haikuwa imeunganishwa vitabu vyote

Elewa
Yan ww upo radhi kufa na tai ya roman
Ata yesu akikuhubiria hutamuamini
Alaf jua watu wakwanza kabisa ambao yesu angepingana nao wakati huu ni katoliki.

Najua wewe ni msabato ila tambua adui wa kwanza wa ukristo sio ukatoliki hata kama mafundisho yake hayajategemea biblia 100%, najua hata huko usabatoni mna misingi na kanuni za kanisa ila kuendesha kanisa.

Mpinga kristo ni wale wasio mtambua kristo katika imani zao na wanaosema kristo sio mwana wa Mungu.
 
Ukatoliki ulishakufa zamani
Kiufupi haujawah kuwa hai
Tangu kuanzishwa kwake
Mpaka lilipogawanyika
Na ata sasa ndo lipo kwenye kilele cha upaganu wake


Inasikitisha wameitoa nafasi ya roho mtakatifu wakamuweka maria
Wanamuita mama wa mungu
Wakati yesi hajawah kumuita mariam mama
Alimuita ewe mwanamke sikuzote

Kweli imani ni ugonjwa wa akili?kanisa hili lenye wafuasi wengi ulimwenguni na kila siku wanaongezeka leo linaenda kufa[emoji28]. Mkuu umedanganywa sana hata uhalisia huuoni,unapambana na adui bandia adui halisi sio ukatoliki ni wale wanaokataa uungu wa kristo hao ndio adui na wapinga kristo.
 
Wakaleta na sikukuu zao za kipagani kwenye ukristo.
Sikukuu ya mungu wao wa kale kabla ya ukristo waliokuwa wakiisherehea mwez wa kumina mbili.

Yesu hakuzaliwa uo mwezi

Wakaleta na miungu yao mitatu ya kipagani kwenye ukristo
Baba mwana na mama

Nimeona ibada wanabusu mifupa ya ma papa wa zamani waliokufa

Yesu alisema je nitakapokuja nitaikuta imani niliyowaachiaa
Alisikitika aliona mbali sana

Mkuu huoni kwamba walifanya jambo jema kutunza na kuweka kumbukumbu,huko usabatoni kumepoa hakuna hata sherehe wala sikukuu,
 
Io ni kanuni ya imani
Kuna kanuni za imani
Sheria zinazounda kanisa la roman
Umedanganywa kuwa io ndo kanuni ya imani ya kanisa
Zipo Sheria tena ni nyingi sana
Kaxitafute sheria izo

Mkuu kumbuka rumi ya ukatoliki ilikua ni dola sasa unasimamishaje dola bila kuwa na sheria na kanuni na miongozo,ambapo kwenye biblia haipo lazima ingetungwa ili kuendana na wakati pia kuilinda dola.

Hata safari ya wana waisrael zilitungwa sheria nyingi sana wengi mnaziita za musa ili kuhakikisha wanastick kwenye plan ya kufika kaanani,kwanini iwe kosa kwa kanisa kufanya hivyo ukizingatia ilikua ni dola chini ya kanisa. ?
 
Mkuu ungechukua muda ukajifunza falsafa za RC usingeandika hiki ulichokiandika

1. Kanisa haliamini kuwa biblia ndo muongozo pekee wa kusimamia hilo kanisa, wana vyanzo vingine vya mambo mambo yao

2. Wanaamini pope ni mungu, yupo daraja la juu kuliko binadamu, ni muakilishi wa Mungu hapa duniani

3. Kanisa linaweza kufuta amri yoyote unayoijua kwenye biblia wakaweka ya kwao. mfano walifuta ile inayokataza kuchonga sanamu na wakagawanya ile ya kutamani ikawa mbili ili mradi kuzuga kuwa ni kumi

Kwa hiyo msingi wa imani ya rc siyo biblia pekee. Bali na vyanzo vingine?
Kama ni hivyo waumini wao hususan ni wa bara la Afrika wajiandae na kujipanga.
 
Mkuu na wewe najua upo kwenye taasisi fulan ya dini ni vyema nanyi mkahodhi ardhi kwani mmeatazwa au wivu tu.
Sio wivu mkuu, ila kwenye mabaya sio vibaya kuambiana
Sasa kufunga ndoa kanisani ni jambo la kufurahia kweli
Najua wabongo tabia ya kukwepa ukweli tunayo sana na wengine mpaka kushabikia mabaya wapo wengi na mifano ni kama hii
Kemeeni kwenye mabaya
Mimi sichangii kisa Muislam hapana ila nimeona nichomekee tu
Kuna mifano kama waizi wa mali ya umma utaona comments wengi wakisema hata mimi nisingeziacha
Badala ya kukemea wizi

Kama nimekukwaza niwie radhi mkuu
 
Unafahamu historia ya unachokiamini?

Unafahamu Padre ndie alitoa tafsiri ya hiyo bibilia yako unayotumia toka kiebrania,Kiyunani na kigiriki na kufanya kisomeke kilatini na baadae lugha kama english na kiswahili

Unamfahamu Galilei Galileo ?Unajua alihubiri dunia duara wakati maandiko ya kanisa yanasema dunia kama meza

Jifunze historia ya unayoyaamini ,Ukiyajua utakuwa mpagani au utaingia uislam

Na ukiujua uislam utarudi ukrusto

Kuna mambo mengi nyuma ya pazia kwenye imani hizi

Hakika ni uongo mwingi sana,ndio mana mimi nimeamua nirudi kwenye vilingoe huko makanisani ni sehemu ya kusocialize tu.
 
Ukatoliki unaelekea kufa, ni rahisi kwa mkatoliki kwenda kusali kwa walokole, lakini ningumu sana kwa mlokole kwenda kwenye ibada za wakatoliki, why? Kwa sababu ya masanamu yalipo kwa wakatoliki, sala za wakatoliki zimepoooza sana wakti sala za walokole ni za moto! sala za wakatoliki ni za kukariri na zina boa, wakati sala za kilokole zimechangamka{wana rap kama eminem], mkatoliki akifa kama alikuwa haendi jumuia hazikwi tofauti na walaokole! Walokole wanamtumia sana roho mtakatifu tofauti na wakatoliki
😂 😂 Wana rap kama nani??
 
Daah
 

Attachments

  • Screenshot_20231109_175648_Instagram.jpg
    Screenshot_20231109_175648_Instagram.jpg
    62 KB · Views: 3
Ukatoliki unaelekea kufa, ni rahisi kwa mkatoliki kwenda kusali kwa walokole, lakini ningumu sana kwa mlokole kwenda kwenye ibada za wakatoliki, why? Kwa sababu ya masanamu yalipo kwa wakatoliki, sala za wakatoliki zimepoooza sana wakti sala za walokole ni za moto! sala za wakatoliki ni za kukariri na zina boa, wakati sala za kilokole zimechangamka{wana rap kama eminem], mkatoliki akifa kama alikuwa haendi jumuia hazikwi tofauti na walaokole! Walokole wanamtumia sana roho mtakatifu tofauti na wakatoliki
Amka ndotoni usije ukajikojolea. Walishasema hivyo miaka 2000 iliyopita tena kanisa lilipigwa vita na kina hitler na badala yake kanisa linazidi kuimarika 😀
 
Ila hizi kauli za huyu papa sa hivi zinaweka kanisa njia panda wewe kama ni kukataa ukata au kama ni kukubali ukubali tatizo hyu kiongozi amekuwa Neutral mno kiasi cha kuwaacha waumini njia panda kuhusu suala la LGBTQ yani inaboa sana hta tu kumwona😏😏
 
Wa Ijumaa na Jumapili wote hawaabudu Mungu bali mungu
 
Nimeona Papa Mtakatifu akiwakubali wanaobadili jinsia.

Imebaki tu kusema Siri za kwenye Bible. Ngoja niishie hapa.
 
Ukatoliki unaelekea kufa, ni rahisi kwa mkatoliki kwenda kusali kwa walokole, lakini ningumu sana kwa mlokole kwenda kwenye ibada za wakatoliki, why? Kwa sababu ya masanamu yalipo kwa wakatoliki, sala za wakatoliki zimepoooza sana wakti sala za walokole ni za moto! sala za wakatoliki ni za kukariri na zina boa, wakati sala za kilokole zimechangamka{wana rap kama eminem], mkatoliki akifa kama alikuwa haendi jumuia hazikwi tofauti na walaokole! Walokole wanamtumia sana roho mtakatifu tofauti na wakatoliki
Kwanini Yesu aliwafundisha mitume wake sala ya kusalimia ambayo ni BABA YETU au na yeye alitaka wanafunzi wake wakariri?
 
Back
Top Bottom