Je, Mungu wa Wakatoliki amebadilika au Wakatoliki wamepata Mungu mwingine?

Je, Mungu wa Wakatoliki amebadilika au Wakatoliki wamepata Mungu mwingine?

Biblia inasema Mungu ni yeye yule jana na leo na hata milele, yaani Mungu habadiliki wala habadilishi misimamo yake. Mwaka juzi papa alipoulizwa kama kanisa Katoliki linaweza kubariki ndoa ya jinsia moja, alijibu haiwezekani KWA SABABU MUNGU HAWEZI KUBARIKI DHAMBI:

ROME (AP) — The Vatican declared Monday that the Catholic Church won’t bless same-sex unions since God “cannot bless sin.”

The Vatican’s orthodoxy office, the Congregation for the Doctrine of the Faith, issued a formal response to a question about whether Catholic clergy have the authority to bless gay unions. The answer, contained in a two-page explanation published in seven languages and approved by Pope Francis, was “negative.”

Lakini mwaka huu alipoulizwa swali lile lile papa amesema ndoa za jinsia moja zinaweza kubarikiwa, na watu hao wanaruhusiwa kuwa baba na mama wa ubatizo!:

Catholic Church relaxes rules for transgenders​

Pope Francis recently suggested priests could bless same-sex unions on an individual basis.
The Vatican’s doctrinal office has clarified its stance on transgender believers, saying they may get baptized and play various roles within the Catholic faith so long as it does not risk “public scandal.”

In a letter responding to questions posed by a Brazilian bishop, the church’s Dicastery for the Doctrine of the Faith outlined its position toward transgender and other LGBT worshipers, affirming that they may receive the sacrament of baptism, serve as witnesses in wedding ceremonies and act as godparents to Catholic children.

Je, Mungu kabadili msimamo kuhusu dhambi ya ushoga maana papa alisema awali kuwa MUNGU HAWEZI KUBARIKI DHAMBI, au kanisa katoliki chini ya papa Fransis limepata mungu mwingine wa kichina ambaye yeye kwake kubariki dhambi ya ushoga siyo tatizo?

Kwa maoni yangu binafsi, kwa kuwa ninaamini kuwa Mungu hawezi kubadilika kwa mujibu wa Biblia (Ebr 13:8), basi italkuwa kanisa katoliki limeachana na Mungu wa Biblia na limejipatia mungu wa kichina anayekwenda na wakati hasa akizingatia haki za kidemokrasia kam,a zinavyosimamiwa na mataifa ya magharibi hasa Marekani (Democratic). Wadau mnasemaje? karibuni tudadavue!!
Kwa hiyo, wewe ukiona Mungu wa Wakatoliki amebadilika na Wakatoliki wanakuwa wanaona amebadilika? Zamani tulikuwa tukitumia vibatari, baadaye taa za mafuta ya taa na baadaye tochi za netri. Whochi serves the purpose? Wakatoliki hubatiza watu wanaoamini na kiishi maisha ya injili (ya ujumbe ulioletwa na Bwana Yesu). Mtu yeyote anayeliaminisha kanisa kuwa anatenda na kuishi hivyo, yuko entitled kubatizwa.
 
Bro nashangaa wanamuita mpaka leo bikira na wakati alipozaa tu bikira yake iliishia apo
Yeye sio bikra tena
Ni mtakatifi wa mungu.
Ila wao ni mungu mama
Nachosikitika zaidi ni pale ambapo wamemgeuza awe mungu wao wa kumwabudu, wakati Yesu hakufanya hivyo.

^Mtu mmoja akamwambia, Tazama, mama Yako na ndugu Zako wamesimama nje, wanataka kusema nawe.^

Akajibu: Mama Yangu ni nani? Ni yule atakayefanya mapenzi ya Baba Yangu aliye Mbinguni. Mathayo 12:47-50.
 
Sijanukuu habari hii toka mtandaoni bali kwenye vyombo rasmi vya habari vilivyokuwa vikimwuliza maswali papa Francis!!
Mzee vyombo vya hbr huwa vinazusha Mambo,na kwa bahati mbaya hujui kuwa Kanisa Katoliki linawindwa sana,Wabaya wa Kanisa Katoliki hutumia mbinu mbalimbali kulichafua.Ndio Maana Sisi Wakatoliki hatupapaliki,tunajua Ukweli wa Mambo.

Sent from my V1901A using JamiiForums mobile app
 
mimi siongeli ushabiki kama simba na yanga!!! no,,mimi mwenyewe ni mkatoliki na nimefunga ndoa ya kanisani,,,lakini naongea ukweli,,,,ukiingia kanisani waumini wamepoa sana,,,hamna ata uwezo wa kutoa mapepo,,,padre kama una upako wa kutoa mapepo,haruhusiwi mpaka apate kibali toka kwa papa akilazimisha anafungiwa{kumbuka father nkwera na huduma yake pala river-side],,,ukienda kwenye sherehe zao wanakula pombe mpaka wanalewa!!!!,,,,,narudia tena mimi ni mkatoliki but remember"truth will make you free" na kuna mstari mmoja ndani ya bible unasema"wa2 wangu wanateketea kwa kukosa maarifa"...kama wewe ulivokosa maarifa,,,pia kuna mstari mwingine MUNGU anasema[sikumbuki ni wapi lakini ndani ya Biblia] MUNGU anawaambia viongozi wa dini"na nitapiga muhuri ndani ya miyoyo ya wa2 wangu,nao watanitambua mimi bila ya mafundisho yenu,nao wataacha kuja kwenye huduma zenu kwani mumezidi kupotosha wa2 wangu" na hata kwenye Q'ran tukufu pia kuna sura inaitwa AR-RUMI ikisema"romma must be defeated!!!!.....kwanza mkatoliki asipojiongeza kujisomea biblia anakuwa shallow sana,yaani anakuwa mwelewa mdogo sana wa neno la MUNGU kwani kuanzia tarehe moja ya mwaka mpya[january]mpka tarehe 31 ya mwezi december,,,,,,kuanzia jumatatu mpaka jumapili,wameshapangiwa masomo ya kusoma,they are not free thinker,,,,,,ndo manake siwezi kukushangaa kwa msimamo wako mkali kwani you know nothing ata all!!!
Kumbe Tatizo sio Kanisa Katoliki,tatizo ni wewe mwenyewe.Ishu ya kuchangamka Kanisani nani alikukataza wewe kuchangamka?,Ishu ya Kutoa mapepo,Umeongopa(Umesema Uongo),Si Kweli Kwamba hadi kibali cha Papa,ni utaratibu uliopo kuwa ni Muhimu Askofu wa Jimbo kufahamu Padre mwenye karama hiyo;Suala la Fr.Nkwera wewe hulijui,Ukiwa na Karama halafu umejaa Kiburi na majivuno wewe hutufai.Kuhusu ujuzi wa Maandiko Matakatifu,naona wewe Ulikuwa mvivu wa kusoma Biblia hivyo usililaumu Kanisa Katoliki,Kanisa Katoliki limekuwa likiwahimiza Waumini wake kununua Biblia na kuzisoma ktk Familia zao,Jumuiya ndogondogo na ktk Semina na Mafungo mbalimbali Kanisani.Mwisho,wewe kufunga ndoa Katoliki haina Maana kuwa wewe ni MKATOLIKI,inawezekana ulikuja tu kufunga ndoa.Hiyo ni lugha tu ambayo wengi huitumia wanapotaka kulichafua Kanisa Katoliki.

Sent from my V1901A using JamiiForums mobile app
 
Mathayo 16:18
"Nami ninakuambia: Wewe ndiwe Petro, na juu ya mwamba huu nitalijenga kanisa langu, wala milango ya kuzimu haitalishinda."

Kristu amejenga Kanisa Katoliki juu ya mwamba. Hakuna nguvu za kuzimu zinazoweza kulishinda.

Kamwe halitaruhusu dhambi ya ushoga wala kuruhusu manyanyaso ya mashoga na wadhambi wengine.

Mungu huchukia dhambi, si wadhambi.
Amina

Sent from my V1901A using JamiiForums mobile app
 
Biblia inasema Mungu ni yeye yule jana na leo na hata milele, yaani Mungu habadiliki wala habadilishi misimamo yake. Mwaka juzi papa alipoulizwa kama kanisa Katoliki linaweza kubariki ndoa ya jinsia moja, alijibu haiwezekani KWA SABABU MUNGU HAWEZI KUBARIKI DHAMBI:

ROME (AP) — The Vatican declared Monday that the Catholic Church won’t bless same-sex unions since God “cannot bless sin.”

The Vatican’s orthodoxy office, the Congregation for the Doctrine of the Faith, issued a formal response to a question about whether Catholic clergy have the authority to bless gay unions. The answer, contained in a two-page explanation published in seven languages and approved by Pope Francis, was “negative.”

Lakini mwaka huu alipoulizwa swali lile lile papa amesema ndoa za jinsia moja zinaweza kubarikiwa, na watu hao wanaruhusiwa kuwa baba na mama wa ubatizo!:

Catholic Church relaxes rules for transgenders​

Pope Francis recently suggested priests could bless same-sex unions on an individual basis.
The Vatican’s doctrinal office has clarified its stance on transgender believers, saying they may get baptized and play various roles within the Catholic faith so long as it does not risk “public scandal.”

In a letter responding to questions posed by a Brazilian bishop, the church’s Dicastery for the Doctrine of the Faith outlined its position toward transgender and other LGBT worshipers, affirming that they may receive the sacrament of baptism, serve as witnesses in wedding ceremonies and act as godparents to Catholic children.

Je, Mungu kabadili msimamo kuhusu dhambi ya ushoga maana papa alisema awali kuwa MUNGU HAWEZI KUBARIKI DHAMBI, au kanisa katoliki chini ya papa Fransis limepata mungu mwingine wa kichina ambaye yeye kwake kubariki dhambi ya ushoga siyo tatizo?

Kwa maoni yangu binafsi, kwa kuwa ninaamini kuwa Mungu hawezi kubadilika kwa mujibu wa Biblia (Ebr 13:8), basi italkuwa kanisa katoliki limeachana na Mungu wa Biblia na limejipatia mungu wa kichina anayekwenda na wakati hasa akizingatia haki za kidemokrasia kam,a zinavyosimamiwa na mataifa ya magharibi hasa Marekani (Democratic). Wadau mnasemaje? karibuni tudadavue!!
Mungu hayupo, hizo ni siasa za watu tu.

Ndiyo maana mpaka leo hakuna mtu aliyeweza kuthibitisha Mungu yupo.

Na kama kuna mtu anabisha, athibitishe Mungu yupo.
 
Binadamu hawezi kuwa Mwamba, hicho kipengele ndo mnapopigiwa
Yesu ndo mwamba na siyo Petro.
Kanisa Katoliki la Roma linabishana kuwa Petro ni mwamba ambao Yesu alitaja na kisha linatumia ufafanuzi huo kama ushahidi kuwa ni kanisa moja la kweli. Lakini, kama tulivyoona, Petro kuwa mwamba siyo tafsiri pekee ya halali. Hata kama Petro ni mwamba katika Mathayo 16:18, haiwezi kumpa Kanisa Katoliki la Roma mamlaka yoyote. Hakuna mahali popote Maandiko yanasema Petro alikuwa Roma. Maandiko hayaelezei Petro kuwa na mamlaka juu ya mitume wengine au kuwa kiongozi mkuu wa kanisa la kwanza. Petro hakuwa papa wa kwanza. Asili ya Kanisa la Katoliki si msingi katika mafundisho ya Petro au mtume mwingine yeyote.
Mijitu km hii ndio inasababisha mvua zisinyeshe,sasa unapingana na Maandiko?

Sent from my V1901A using JamiiForums mobile app
 
[emoji116][emoji116][emoji116]


Nimekupa mfano hapo wa Yohana Mbatizaji. Huyu, kama hujui, alikuwa nabii. Tena Kristu alimwita kuwa ni nabii wa juu kabisa. Luka 7:28.

Mfano mwingine ni Mafarisayo Yusufu wa Arimathaya (mjumbe wa Sanhedrini, Mathayo 27:57; Marko 15:43) na Nikodemo (Yohana 3:1, 2).
Dini ya kiyahudi ndiyo dini gani hiyo.....inaelekea ujui tofauti ya madhehebu na dini ?
 
maandiko yapi mkuu, si uweke hapa tusome tujifunze tubadili msimamo
Injili ya Mathayo 16:18 inasemaje na wewe unasemaje?.


Mathayo 16
18 Nami nakuambia, Wewe ndiwe Petro, na juu ya mwamba huu nitalijenga kanisa langu; wala milango ya kuzimu haitalishinda.


Halafu mpuuzi na fala mmoja anasema eti Petro sio Mwamba?,Kwa hiyo unampinga Yesu?.Je,tuache kuyaamini Maandiko Matakatifu,tukuamini wewe?.

Sent from my V1901A using JamiiForums mobile app
 
Lugha yako ya matusi ni matokeo na uthibitisho wa sanamu unazoabudu. Ibada ya sanamu imeufanya moyo wako uwe mkavuuu na mtupuu.

Maana miungu na sanamu havikupi uhai wa roho, bali vinakufanya uwe mtumwa wa Shetani, na kuipoteza roho yako.

Ni ushahidi gani tunaohitaji zaidi ya huu kuhusu ubaya na hatari ya kuabudu sanamu?

Achana na sanamu ili Roho Mtakatifu akupe moyo wenye kauli njema ya Ukristo.
Wewe ni kichaa,period
 
Zambi ni zote na kazi ya kanisa ni kuendelea kukemea dhambi sio kuzibariki
Kanisa gani limebariki dhambi,Yesu alivyompokea yule kahaba na kula naye,alibariki ukahaba?
Acheni kuropoka nyie vilokole uchwara
 
Mkuu ungechukua muda ukajifunza falsafa za RC usingeandika hiki ulichokiandika

1. Kanisa haliamini kuwa biblia ndo muongozo pekee wa kusimamia hilo kanisa, wana vyanzo vingine vya mambo mambo yao

2. Wanaamini pope ni mungu, yupo daraja la juu kuliko binadamu, ni muakilishi wa Mungu hapa duniani

3. Kanisa linaweza kufuta amri yoyote unayoijua kwenye biblia wakaweka ya kwao. mfano walifuta ile inayokataza kuchonga sanamu na wakagawanya ile ya kutamani ikawa mbili ili mradi kuzuga kuwa ni kumi
Vyanzo vipi hivyo?
 
Ukatoliki unaelekea kufa, ni rahisi kwa mkatoliki kwenda kusali kwa walokole, lakini ningumu sana kwa mlokole kwenda kwenye ibada za wakatoliki, why? Kwa sababu ya masanamu yalipo kwa wakatoliki, sala za wakatoliki zimepoooza sana wakti sala za walokole ni za moto! sala za wakatoliki ni za kukariri na zina boa, wakati sala za kilokole zimechangamka{wana rap kama eminem], mkatoliki akifa kama alikuwa haendi jumuia hazikwi tofauti na walaokole! Walokole wanamtumia sana roho mtakatifu tofauti na wakatoliki
Kanisa Katoliki haliabudu Sanamu bali linaabudu katika kweli, lakini kwa vile unachukulia vitu juu juu huwezi kuelewa hili.
 
Back
Top Bottom