Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wengi wanavutaWakuu tujuzane kama mwanamke mvuta bangi anafaa kuoa. Tupo wanaume ambao baadhi yetu tumeshakutana na wanawake warembo lakini wanavuta bangi hali hiyo ikatusikitisha sana.
Je, mwanamke kama huyu ambaye ameshakuwa mtumiaji wa bangi anafaa kuoa? Je anaweza kuhudumia watoto wake kama wanawake wengine na kuishi kwenye familia kama mama wa nyumbani au ndo basi tena akishavuta bangi hafai kuoa mana ataleta usumbufu kwenye familia? Je wazazi, wifi na shemeji wakigundua kuwa mke ni mvuta bangi wanamchukuliaje mme wake?
Mana swali kubwa kwa sisi wanaume kama mke ni mvuta bangi mwanaume atakapofariki ghafla au kupatwa na tatizo upi usalama wa familia na mali zake kama anabaki huyu mwanamke mvuta bangi?
Muda mwingi mama Yuko na watoto, madhara n makubwa kuliko akivuta baba,Kwann kwa mwanamke picha ya ajabu kwa mwanaume isiwe picha ya ajabu
Kweli kiongozi nilifikiri ni wasumbufu kwenye familiaFunga arusi utapata experience huko huko, wewe unataka waolewe na nani?
Toka nizaliwe na miaka yangu 50 sijawahi shika bangi, au ona mwanamke anavuta.
Ni ajabu hata kusikia mtu anaweza kufikiri kuoa mvuta bangi, ni ajabu sana umeuliza, nilifikiri unatania, pole.
Safi sana.Mwanamke
Mlevi
Mvutaji hapaswi olewa
Hao unawazalisha na kuwatumia afu unawaacha
Ni ajabu kwako, mwanamke kuvuta bangi ni ulevi kama ulevi mwingine kama upendi unaongea naye aachane na kilevi hicho.Funga arusi utapata experience huko huko, wewe unataka waolewe na nani?
Toka nizaliwe na miaka yangu 50 sijawahi shika bangi, au ona mwanamke anavuta.
Ni ajabu hata kusikia mtu anaweza kufikiri kuoa mvuta bangi, ni ajabu sana umeuliza, nilifikiri unatania, pole.
Hizo ni masculinity culture ni sawasawa na mwanaume kupaka make upKwann kwa mwanamke picha ya ajabu kwa mwanaume isiwe picha ya ajabu
WATAJE saaaaasaBora bangi kuliko awe mlevi wa pombe.
Wengi tu wanavuta.
Ukitaka hao jichimbie chuga tuAsha ushoga wewe.Hiyo ni sawa na kupata Bata anayetaga yai la dhahabu,Yaani Mimi natafuta sana Demu mvuta ndumu.Nlishakuwa nae mmoja wayback,she was an angel,ila alienda zake uholanzi,I missed dat pus*y.
Bange na Pombe na Ugoro na Shisha zinapo singiziwa hua roho inaniuma sana.....😪mwanaume mvuta bangi anafaa kuoa?
Shikamoo dada yangu mzuri, hapa ndipo hua nakukubali kabisa...😂Sasa bangi ina ubaya gani jamani!!!