Je, naweza kuanza ujenzi nikiwa hivi?

Kwenye ujenzi kinachofanyika ni kuzamisha hela na sio kupata hela. hiyo milioni 3 kama ni nyumba kubwa ya familia hata msingi haumalizi. Kama umedhamiria kuachana na mambo mengine yote kwanza endelea ila uwe determined kuwa kila unachopata unatupia hapo.

Kintume na hapo kama lengo lako ni kuzalisha hela kafanye biashara, hicho kiwanja endeleza kidogo kidogo. anza kwa kutafuta ramani na taratibu za vibali. then mwaga mawe. Ukikimbilia ujenzi kichwa kichwa utalia.
 
Utaiuza Kwa faida. Yaani itakuwa ni kama umefanya biashara tu.
 
Mh ujenzi sio lele mama kaka nakushauri hyo pesa endelea kuikuza kuza maana hujui kwamba mkataba utaweza kuongeza au vip kuna maisha baada ya mkataba kuisha na hyo pesa kwa sasa usifanye biashara chonde chonde
Shukran!.. ata kama naamua kuanza kuanza ujenz sio kwa sasa.... pesa bado
 
Nyumba inakuwa asset pale tu itakapoisha ukaishi mwenyewe na kusaidia ku-save kiasi ambacho ungelipa kodi au kuleta rent kama umeipangisha, otherwise kwa ujenzi wa miaka yetu 5-10 ni liabillity kwa kipindi chote hicho....... On my views, kama muda, akili na utashi wa biashara vipo basi anza ku-invest kwa kuwekeza hiyo pesa izalishe, faida ndo uwe unaitia kwenye ujenzi!!.....
 
Mzee baba utakua unaish sana humu ndani #rich dad poor dad View attachment 2477294View attachment 2477295View attachment 2477296
Honestly, sijawahi kusoma hicho kitabu ila nilimnunulia dogo. Ni katika hali ya kawaida, ukinjenga nyumba una invest hela nyingi na mara nyingine return yake inachukua muda mrefu au usipate. So, kwa watu wazima wenye kutaka comfort, fine, ila kwa wewe kijana, pambana changamsha akili, fanya uwekezaji. Umefanya vyema kununua kiwanja, tena ukijenga jenga nyumba ya biashara na wewe ukae humo humo.
 
Poa poa mkuu
 
Kwenye icho kitabu muandish!... anaandika nyumba ni liability!.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…