dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,901
- 58,103
kikokotozi cha TRA umekiona lakini ?
anza ujenzi,
anza ujenzi,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mambo yakikwama hata hiyo nyumba atauza. Kazi anayofanya ni ya mkataba, ipo siku anaweza kukosa hiyo ajira.Jenga kwanza, anayekuambia ufungue biashara hakupendi au hajui maisha.
Maisha ni nyumba mkuu, mambo yote yakikwama unarudi home.
Kujenga inawezekana hata kama utaanza na laki tatu kikubwa uwe na flow nzuri ya income tuMiaka yangu 26 ( me)..
1. Kiwanja ninacho 1
2. Bank nina mil 3
3. Tayari nimeshatoka nyumbani kitambo ( najitemegea)
3. Nimeajiriwa kwnye N.G.O ( afya) kwa mkataba wa miaka 3.
?? Je naweza kuchokoza ujenzi kwa sasa kwenye icho kiwanja changu au niwaze biashara kwanza na vitega uchumi vingine..?
Majukumu
1. Sina mke
2. Sina mtoto
3. Nawaboost wazazi kusomesha mdogo wangu ndio ameanza mwaka wa 1..
4. Kuhonga kwa akili
5. Kuwaboost wana & ndugu pale ninapohitajika
Maisha ni nyumba kwa watu wenye mtazamo kama wako.Jenga kwanza, anayekuambia ufungue biashara hakupendi au hajui maisha.
Maisha ni nyumba mkuu, mambo yote yakikwama unarudi home.
Ushauri wa watu humu wengi ni vitu havina uhalisia wowote wa maisha ya MTANZANIA wa kawaida .... mara Nyumba ni liability,mara Wahindi hawana nyumba hivi vitu vyote ni bushshit unacho takiwa kufanya jiangalie wewe kama binafsi umeplan nini katika maisha yako baadae kuwa mfanyabiashara au kuwa muajiriwa nakusuhi usifate mkumbo tu maana kama unatoka family maskini ukianguka unaweza kuwa ndio moja kwa moja huna back up yoyote nyuma.Miaka yangu 26 ( me)..
1. Kiwanja ninacho 1
2. Bank nina mil 3
3. Tayari nimeshatoka nyumbani kitambo ( najitemegea)
3. Nimeajiriwa kwnye N.G.O ( afya) kwa mkataba wa miaka 3.
?? Je naweza kuchokoza ujenzi kwa sasa kwenye icho kiwanja changu au niwaze biashara kwanza na vitega uchumi vingine..?
Majukumu
1. Sina mke
2. Sina mtoto
3. Nawaboost wazazi kusomesha mdogo wangu ndio ameanza mwaka wa 1..
4. Kuhonga kwa akili
5. Kuwaboost wana & ndugu pale ninapohitajika
Kwahiyo ache kazi anayo fanya ? ambaye ndio msingi wa yote aliye kuwa navyo akaanze kufanya biashara au .Kwa milioni tatu mdogo wangu, toa milioni moja ingiza kwenye biashara. Usitoe mil 3 yote unaweza kuja kua kichaa. Pambana na hiyo biashara ikikua unaitanua hiyo hiyo. Hakikisha mtaji wako wa kwanza ni hiyo milioni moja. Kadri inavyozidi kujizungusha ile faida unaigawa unafanya mambo yako kidogo kidogo.
Kiufupi nnachotaka kukushauri usijengee stagnant money. Yaani ela ambayo inatoka tu haiingii wala haiingizi faida. Utajikuta umerundika matofali huna hela ya kula una nauli tu ya kuendea site kulinda matofali.
Kikubwa hongera kwa umri huo kuwaza jambo hilo.
Kila la kheri. Utaweza[emoji1360]
Vyumba viwili, choo na jiko halafu endelea kidogo kidogoAnza kujenga mdogo mdogo anza na msingi kikubwa tafuta fundi mwaminifu
Kwa akili yako we unadhani wafanya biashara wote mjini hawana kazi? Au kwamba wafanya kazi wote hawana biashara? Ni kichwa cha mtu. We kaa hapo tegemea mshahara wako kwa maisha haya. Sio lazima afanye biashara anayojiegesha hapo 24/7.Kwahiyo ache kazi anayo fanya ? ambaye ndio msingi wa yote aliye kuwa navyo akaanze kufanya biashara au .
Sent from my SM-S901B using JamiiForums mobile app
Usikope kuanzisha biashara usiyoijua su ambayo huna uzoefu nayo. Kopa kuendeleza biashara unayoielewa. Japo sijajua scenario yao ila biashara ina mambo mengi balaaBiashara anaijua...kuna jirani yangu mwaka jana wamechukua mkopo wa million 20 wakasema wanafanyia baishara .
Kufupisha story baada ya mwaka baishara imekufa wamebaki na gari. Mkopo wanaendelea kulipa wakiwa nyumba za kupanga.
Nimekuelewa sanaIkitokea ukakosa kazi ndio utajua kuwa nyumba ni upumbavu kabisa. Utakua unashinda humo na stress zote huku hata pesa ya kula shida, na mwisho kabisa unaweza fikiria kuiuza au kuikopea mkopo ufanye mishe yoyote. Na hapo ndio itakua mwisho wako
Tafuta biashara hata ya pesa ndogo, anzisha na komaa nayo. Siku ukipoteza kazi, hiyo biashara ndio itakua sehemu ya wewe kukuondolea stress ya kukaa tu bure.