Ushauri wa watu humu wengi ni vitu havina uhalisia wowote wa maisha ya MTANZANIA wa kawaida .... mara Nyumba ni liability,mara Wahindi hawana nyumba hivi vitu vyote ni bushshit unacho takiwa kufanya jiangalie wewe kama binafsi umeplan nini katika maisha yako baadae kuwa mfanyabiashara au kuwa muajiriwa nakusuhi usifate mkumbo tu maana kama unatoka family maskini ukianguka unaweza kuwa ndio moja kwa moja huna back up yoyote nyuma.
Umri ulio kuwa nao 26yrs old hardly unayo miaka 5 tu mbele utahitaji kuwa na family yako hapo ndio maisha halisi unakuja kuyaona.
Ushauri kama unakiwanja na una hela BANK na una kazi kwa sasa nenda kaanze kujenga taratibu wacha kabisa kufikiria biashara kwa sasa concentrate na kazi yako huu ni ushauri tu.
Sent from my SM-S901B using
JamiiForums mobile app