Je, naweza kuanza ujenzi nikiwa hivi?

Je, naweza kuanza ujenzi nikiwa hivi?

Ushauri wa watu humu wengi ni vitu havina uhalisia wowote wa maisha ya MTANZANIA wa kawaida .... mara Nyumba ni liability,mara Wahindi hawana nyumba hivi vitu vyote ni bushshit unacho takiwa kufanya jiangalie wewe kama binafsi umeplan nini katika maisha yako baadae kuwa mfanyabiashara au kuwa muajiriwa nakusuhi usifate mkumbo tu maana kama unatoka family maskini ukianguka unaweza kuwa ndio moja kwa moja huna back up yoyote nyuma.

Umri ulio kuwa nao 26yrs old hardly unayo miaka 5 tu mbele utahitaji kuwa na family yako hapo ndio maisha halisi unakuja kuyaona.

Ushauri kama unakiwanja na una hela BANK na una kazi kwa sasa nenda kaanze kujenga taratibu wacha kabisa kufikiria biashara kwa sasa concentrate na kazi yako huu ni ushauri tu.

Sent from my SM-S901B using JamiiForums mobile app
Shukran boss
 
Kwa milioni tatu mdogo wangu, toa milioni moja ingiza kwenye biashara. Usitoe mil 3 yote unaweza kuja kua kichaa. Pambana na hiyo biashara ikikua unaitanua hiyo hiyo. Hakikisha mtaji wako wa kwanza ni hiyo milioni moja. Kadri inavyozidi kujizungusha ile faida unaigawa unafanya mambo yako kidogo kidogo.

Kiufupi nnachotaka kukushauri usijengee stagnant money. Yaani ela ambayo inatoka tu haiingii wala haiingizi faida. Utajikuta umerundika matofali huna hela ya kula una nauli tu ya kuendea site kulinda matofali.

Kikubwa hongera kwa umri huo kuwaza jambo hilo.

Kila la kheri. Utaweza[emoji1360]
Nimekusoma kiongoz
 
Anza mapema bila kuangalia nyuma, mimi nilianza nikiwa na 20+ miaka 10 baadae nilikuja kuona faida yake, kwani kuna kipindi majukumu yameongezeka , ada za watoto,kusapoti ndugu zako na wa mke ni muhimu sana unapopata fursa ya ujenzi ufanye hivyo, huko mbeleni utaiboresha tu au kujenga nyingine
 
Anza mapema bila kuangalia nyuma, mimi nilianza nikiwa na 20+ miaka 10 baadae nilikuja kuona faida yake, kwani kuna kipindi majukumu yameongezeka , ada za watoto,kusapoti ndugu zako na wa mke ni muhimu sana unapopata fursa ya ujenzi ufanye hivyo, huko mbeleni utaiboresha tu au kujenga nyingine
Ahsante sana
 
Ndoto ya watanzania wengi sijui huwa ni kujenga? Hauna ndoto ya kuwa na vitu vikubwa mkuu? Kama kiwanja si tayari unacho?
 
Wahindi hawakai vichochoroni mbali na biashara zao ndo maana wamejazana NHC kwenye kodi ya 20k nyumba ni asset mzee
Unajua watu wengi humu wanakwenda kwa kusikia hawana wanalolijua sababu kasika kwa fulani na yeye anajifanya anajua.

Nimekuwa katika hizi nyumba NHC na nimesoma na hawa Wahindi wewe mswahili ukisema uwa copy life style yao umekwisha tena vibaya sn sababu ni jamii ambayo huwezi kujua mfumo wao maisha yao ni ngumu sn kujua kama unatoka huko Naanjilinji huwezi kujua hata kidogo.
Hawa watu wana make money kwenye hizo NYUMBA wanazo ishi .


Sent from my SM-S901B using JamiiForums mobile app
 
Maisha ni nyumba kwa watu wenye mtazamo kama wako.

Kama hana familia nyumba anajenga ya nini awekeze akuze mtaji.

Nyumba inawezekana kujenga hata kwa mwezi mmoja kama atakuwa na hela ya kutosha.
Biashara ni nyepesi kuiongelea,
 
Wengi wenu hamna experience ya ujenzi, mnafikiri ujenzi ni rahisi, kama hauna usimamizi ni kama unagawa hela zako kwa mafundi. Utaibiwa mpaka mchanga na kokoto site. The good idea, aanzishe biashara ata mkataba utakapoisha aikute biashara imesimama aendelee nayo. Ukijenga ukiwa hauna source nyingine ya income, ultimately utaiuza hiyo nyumba.
Biashar kama ipi ? Unampoteza mwenzako
Hakun nbiashar bongo umpe mtu akusimamie ikaendlea.usipoifanya mwenyewe jua unaend kutupa hela
We unafikr watumish na wafanyakaz hawana hela za biashara?? Wanazo sana ila biashara ipi umpe mtu au ndugu ukapona? Ukimpa tu na yeye anaanza kuiba atoke kupitia wewe.ndio matokeo mabodabod meng ya mkataba angalau wat wanaona wawekez huko hela izunguke kuliko kumpa mtu biashara anaenda kukutia hasara.
Hio hela piga mahesab ujenz nao mziki mnene bora uchkue boda ya mkataba
 
Back
Top Bottom