Je, naweza kutumia fungu la kumi kwa kununua mahitaji ya watoto yatima?

Je, naweza kutumia fungu la kumi kwa kununua mahitaji ya watoto yatima?

Sasa kwani papa hanugaiki na hilo fungu la kumi?acha ushabiki wa dini za kuambukizwa wewe ndiyo kaanzie uzi wako na papa wako mkajadiliane USHOGAJI na kuusapoti.

Mtu yeyote aliye chini ya papa kwa sasa anasapoti USHOGA hivyo ni shoga wa badae.

TUSIMAMIE UKWELI:-kiongozi wa familia akiidhinisha ushoga na wanafamilia wakakaa kimya si wamekubali ushoga, siyo mashoga?
 

Attachments

  • Screenshot_20231110-122641.png
    Screenshot_20231110-122641.png
    67.7 KB · Views: 1
Niwe mkweli kabisa, binafsi nilipata shida sana kwenye swala zima la wapi nipeleke zaka zangu(sehemu ya Fungu la kumi)? Niliteseka sana kwa hilo kwa kipindi kirefu sana, ikabidi nichembe maandiko kuanzia mambo ya walawi na historia ya zaka kwa ujumla, nikafanya utafiti usiokuwa na kikomo kwa makanisa yote tunapotoa zaka zetu!

Nilichoshangaa zaidi na kuelewa mahali tunapopeleka zaka zetu kwenye karne hii ya 21 sio sawa na ile karne kabda ya Yesu kuzaliwa dunia,
Namna na matumizi na difa za wapokeaji zimebadilika sana, na kabila la walawi halipo tena kipindi hiki,
Sasa shida ikawa lazima kutoa lkn swali unatolea wapi!?

Nikajifunza na kupata aman zaidi baada ya kusoma kwenye sheria za Torah za kiyahudi namna yq kutoa zaka kwa njia ya charity kwa wahitaji, kwa sasa natoa kwa watoto yatima, wajana, na wahitaji pamoja na wageni wenye uhitaji na nina aman na hilo sana, so zaka kwa kipindi hiki haipaswi kwenda makanisani hata kidogo, kwa maana hayana sifa za kuzipokea kwa namana yyte

Hata ukisoma kitabu cha agano jipya swala la zaka na matoleo ya kanisani hayajafungana kias hicho kama agano la kale, na hata asil ya makanisa ya sasa kinachotakiwa ni sadaka kwa ajil ya huduma na sio zaka maana hapaswi kula hiyo zaka mchungaji wako maana hana sifa za kuwa mlawi
 
Wewe mkuu ulitaka aseme zaka ndio uelewa maana ya kumpa Mungu vilivyo vyake Mungu,mkuu mbona uko na akili mgando,btw kama wewe huna hela ya zaka ya fungu la 10 au huna injili hiyo kaa tulia kuliko kupotosha muongozo wa maandiko.
Mimi na wewe nani anapotosha?
unajua hata mwongozo wa fungu unalosema?
Kati yako na Mimi nani ana akili ya Mgando...?

Kwa faida ya wengine nitasema maana ya hilo fungu...Na hilo halihusiani na zaka bali linahusiana na ulipaji wa kodi...

Mafarisayo hali wakijua kuhusu sheria za kidini wakati huo Hazikuruhusu kupeleka pesa kwa watu wasio wa kidini (kulipa kodi) wakamfata yesu wakijua kwamba majibu yake yangemchonganisha na serikali..lakini alikuwa ameshawajua...

na Kiufupi halihusiani na ZAKA HATA NUKTA..
Rudia kulisoma...

Marko 12:13-17

[13]Wakatuma kwake baadhi ya Mafarisayo na Maherodi, ili wamnase kwa maneno.

[14]Hata walipofika walimwambia, Mwalimu, twajua ya kuwa wewe u mtu wa kweli, wala hujali cheo cha mtu; kwa maana hutazami sura za watu; lakini katika kweli waifundisha njia ya Mungu. Je! Ni halali kumpa Kaisari kodi au siyo?

[15]Tumpe, tusimpe? Naye, akijua unafiki wao, akawaambia, Mbona mmenijaribu? Nileteeni dinari niione.

[16]Wakaileta. Akawaambia, Ni ya nani sanamu hii na anwani hii? Wakamwambia, Ni ya Kaisari.

[17]Yesu akajibu, akawaambia, Mpeni Kaisari yaliyo ya Kaisari, na yaliyo ya Mungu mpeni Mungu. Wakamstaajabia sana.
 
Mimi na wewe nani anapotosha?
unajua hata mwongozo wa fungu unalosema?
Kati yako na Mimi nani ana akili ya Mgando...?

Kwa faida ya wengine nitasema maana ya hilo fungu...Na hilo halihusiani na zaka bali linahusiana na ulipaji wa kodi...

Mafarisayo hali wakijua kuhusu sheria za kidini wakati huo Hazikuruhusu kupeleka pesa kwa watu wasio wa kidini (kulipa kodi) wakamfata yesu wakijua kwamba majibu yake yangemchonganisha na serikali..lakini alikuwa ameshawajua...

na Kiufupi halihusiani na ZAKA HATA NUKTA..
Rudia kulisoma...

Marko 12:13-17

[13]Wakatuma kwake baadhi ya Mafarisayo na Maherodi, ili wamnase kwa maneno.

[14]Hata walipofika walimwambia, Mwalimu, twajua ya kuwa wewe u mtu wa kweli, wala hujali cheo cha mtu; kwa maana hutazami sura za watu; lakini katika kweli waifundisha njia ya Mungu. Je! Ni halali kumpa Kaisari kodi au siyo?

[15]Tumpe, tusimpe? Naye, akijua unafiki wao, akawaambia, Mbona mmenijaribu? Nileteeni dinari niione.

[16]Wakaileta. Akawaambia, Ni ya nani sanamu hii na anwani hii? Wakamwambia, Ni ya Kaisari.

[17]Yesu akajibu, akawaambia, Mpeni Kaisari yaliyo ya Kaisari, na yaliyo ya Mungu mpeni Mungu. Wakamstaajabia sana.
Achana na story za maandiko ya biblia kwani watu walilipwa kwa kazi ya kuandika kitabu hiki ili kuangamiza mila na desturi zote za KIAFRIKA hasa IMANI ZA KIAFRIKA
 
Tenganisha Dini na Siasa nimekaa pale unijibu.
Fungu la 10 ni la Mungu, fungu la kumi sio sadaka. Peleka kwa Mungu mazabauni pake yani ktk makanisa ya hawa wahuni wanaoutuuzia mafuta ya mti wa mzairuni, mtu uliobarijiwa na Mungu ila wao hawayaiti mafuta ya mzaituni bali ya mamposa.
 
Unaifahama story ya anania na mkewe safira unajua kwa nini walikufa?
Mkuu !
Hiyo story naijua vizuri sana..
Ndo unataka kuitumia kama Justification ya Zaka?😅😅

Kama ndiyo utakuwa hauko serious..

Sasa Sikiliza nikusimulie hiyo story vizuri mwingine asije kunaswa na Maneno yako..

Baada ya Yesu kufa na kupaa ilibidi Injili itangazwe na mitume 11 waliobaki na wanafunzi wengine..

Mitume walibidi wachague mwanafunzi Mwingine wa kushika nafasi ya Yuda na wakaweka maagizo machache..

Kama ifuatavyo...
Ukiwa na mali kama shamba na viwanja au nguo au dhahabu au shaba unaiweka wakfu mali ile halafu unaiuza ukishauza ile pesa uliouza baada ya kuchagua vitu vya kumtolea Mungu unapeleka kwa mitume...

na hapo ndo tunamkuta Yusuph akiyeitwa Barnaba na Wanafunzi (Maana yake Mwana wa Faraja) [kwanini aliitwa hivyo kwa sababu yeye alijitolea kila kitu chake kwa ajili ya kueneza injili na kuwafariji waliobaki]

Matendo ya Mitume 4:32-37

[32]Na jamii ya watu walioamini walikuwa na moyo mmoja na roho moja; wala hapana mmoja aliyesema ya kuwa kitu cho chote alicho nacho ni mali yake mwenyewe; bali walikuwa na vitu vyote shirika.

[33]Na mitume wakatoa ushuhuda wa kufufuka kwake Yesu kwa nguvu nyingi, na neema nyingi ikawa juu yao wote.

[34]Wala hapakuwa na mtu mmoja miongoni mwao mwenye mahitaji; kwa sababu watu wote waliokuwa na viwanja au nyumba waliviuza, wakaileta thamani ya vitu vile vilivyouzwa,


[35]wakaiweka miguuni pa mitume; kila mtu akagawiwa kwa kadiri ya alivyohitaji.

[36]Na Yusufu, aliyeitwa na mitume Barnaba, (maana yake, Mwana wa faraja), Mlawi, asili yake ni mtu wa Kipro,

[37]alikuwa na shamba akaliuza, akaileta fedha, akaiweka miguuni pa mitume.

Kwanini nimerejea hiyo Hapo juu kwa sababu nicho kipindi cha anania na safira...
Sasa kosa la anania na safira alitenga kabisha shamba kwa ajili ya kuliuza hili thamani ya pesa ipelekwe kwa mitume ila yeye aliuza na alipouza badala ya kupeleka pesa ile yote kwa mitume akaimega tena ile pesa...
Na huo ndo msingi hata wa Swali la petro kwamba kilichokuwa Kwako hakikuwa mali yako?
Kwahyo alikuwa na uwezo wa kutokutoa mali hiyo kuliko kuitoa halafu kuuza na kuiba pesa ile na ilo ndo kosa kubwa la kudanganya...

Matendo ya Mitume 5:1-5,7-10

[1]Lakini mtu mmoja jina lake Anania, pamoja na Safira mkewe, aliuza mali,

[2]akazuia kwa siri sehemu ya thamani yake, mkewe naye akijua haya, akaleta fungu moja akaliweka miguuni pa mitume.

[3]Petro akasema, Anania, kwa nini Shetani amekujaza moyo wako kumwambia uongo Roho Mtakatifu, na kuzuia kwa siri sehemu ya thamani ya kiwanja?

[4]Kilipokuwa kwako, hakikuwa mali yako? Na kilipokuwa kimekwisha kuuzwa, thamani yake haikuwa katika uwezo wako? Ilikuwaje hata ukaweka neno hili moyoni mwako? Hukumwambia uongo mwanadamu, bali Mungu.

[5]Anania aliposikia maneno haya akaanguka, akafa. Hofu nyingi ikawapata watu wote walioyasikia haya.

[7]Hata muda wa saa tatu baadaye mkewe akaingia, naye hana habari ya hayo yaliyotokea.

[8]Petro akamjibu, Niambie, Mlikiuza kiwanja kwa thamani hiyo? Akasema, Ndiyo, kwa thamani hiyo.

[9]Petro akamwambia, Imekuwaje hata mkapatana kumjaribu Roho wa Bwana? Angalia, miguu yao waliomzika mumeo ipo mlangoni, nao watakuchukua nje wewe nawe.

[10]Mara akaanguka miguuni pake akafa; wale vijana wakaingia wakamkuta amekufa, wakamchukua nje, wakamzika pamoja na mumewe.



Soma biblia mkuu vizuri kabisa itakuweka Huru
 
Fungu la kumi ni fungu la Mungu, peleka madhabahuni unapoabudia.
Kitabu cha Yoeli Mungu anasema mnaniibia kwa kutotoa zaka, leteni zaka kamili ghalani Ili kiwepo chakula nyumbani mwangu.

Misaada kwa yatima hiyo ni sadaka.
Ni Malaki
 
Hii ilikuwa specific kwa walawi ksb kazi waliyopewa haikuwezesha wao kufanya kazi nyingine, hakuna maagizo kama hayo kwenye agano jipya.ila wachungaji wametumia fursa hiyo kulimbikiza mali. Agano jipya: hakuna sadaka za kuteketezwa, watu waliompokea kristo ni makuhani na Yesu ndiye kuhani mkuu, wachungaji wa sasa ni waajiriwa, wafanyabiashara, wanamiliki mali ikiwemo aridhi, hivyo ni Dhabi kubwa kumpelekea mchungaji mwenye fursa hizo zote ukaacha kuwapa yatima na wenye shida.
Safi sana hii comment waifanyie Lamination
 
tulia niwapige spana nyie wana wa walawi.
zaka yakweli niya kiislamu tuu wakiristo mnatoa ili mapadri nawachungaji wanunue v8

Sawa waache watoe kwani walikuja kuomba msaada kwako,nadhani ni wivu tu unakusumbua kuona wakristo wakijitoa kwa upendo kukuza taasisi zao kwa zaka na sadaka, huku taasisi zenu zikiwa katika hali mbaya ya kifedha na kusubiri michango ya matajiri wachache,hata misikiti yenu 90% ilijengwa na kumilikiwa na watu binafsi.

Waumini wakislam hawana moyo wa kujitoa katika zaka na sadaka kazi yao ni kusubiri misaada toka uarabuni ya tende na nyama ya ngamia kipindi cha ramadhani.
 
Niwe mkweli kabisa, binafsi nilipata shida sana kwenye swala zima la wapi nipeleke zaka zangu(sehemu ya Fungu la kumi)? Niliteseka sana kwa hilo kwa kipindi kirefu sana, ikabidi nichembe maandiko kuanzia mambo ya walawi na historia ya zaka kwa ujumla, nikafanya utafiti usiokuwa na kikomo kwa makanisa yote tunapotoa zaka zetu!

Nilichoshangaa zaidi na kuelewa mahali tunapopeleka zaka zetu kwenye karne hii ya 21 sio sawa na ile karne kabda ya Yesu kuzaliwa dunia,
Namna na matumizi na difa za wapokeaji zimebadilika sana, na kabila la walawi halipo tena kipindi hiki,
Sasa shida ikawa lazima kutoa lkn swali unatolea wapi!?

Nikajifunza na kupata aman zaidi baada ya kusoma kwenye sheria za Torah za kiyahudi namna yq kutoa zaka kwa njia ya charity kwa wahitaji, kwa sasa natoa kwa watoto yatima, wajana, na wahitaji pamoja na wageni wenye uhitaji na nina aman na hilo sana, so zaka kwa kipindi hiki haipaswi kwenda makanisani hata kidogo, kwa maana hayana sifa za kuzipokea kwa namana yyte

Hata ukisoma kitabu cha agano jipya swala la zaka na matoleo ya kanisani hayajafungana kias hicho kama agano la kale, na hata asil ya makanisa ya sasa kinachotakiwa ni sadaka kwa ajil ya huduma na sio zaka maana hapaswi kula hiyo zaka mchungaji wako maana hana sifa za kuwa mlawi

Kwahiyo kanisani hampeleki kitu ili utume na injili ufe si ndio?
 
Waelekeze mkuu waambie hata kina paulo,petro na wengine hawakuwahi kuwa makuhani na hawajawahi kuomba fungu la kumi imekuaje wao waombe
Exactly mkuu. Paulo na Petro wameandika mengi sana na mengi yameandikwa kuwahusu...na hakuna mahali popote pale walirekodiwa wakiagiza kupokea fungu la kumi..

Na hii ni kwa sababu Walikuwa wanajua kabisa kwamba hawakustahili hilo jambo la Zaka na halikuwahusu.

Hata Yesu mwenyewe hakuwahi kupokea fungu la kumi kwa sababu hakuwa kuhani na hakuwa wa kabila la Lawi.
 
Anania na safira walikufa sababu walimdanganya Mungu kwenye zaka...waliuza shamba alafu wakatoa zaka ambayo sio kamili mmoja alifia madhabahuni mwingine alifia mlangoni....Kwa wewe mkristo haijalishi uko dheheb gani kutotoa zaka ni kumwibia Mungu na bible inasema usiibe....mwenye masikio na asikie na ashupazaye shingo itavunjika
Acha Kupotosha wewe. Anania na Safira haikuwa ishu ya Zaka. Ilikuwa ni just sadaka ya kawaida na Ahadi/Nadhiri.

Hakuna mtume hata mmoja aliyewahi kupokea Zaka. Acheni kudanganyika.
 
Duuu mjadala mtamu kweli, mtazamo wangu Mimi Ni huu kulingana na kumbukumbu la torati 12:5-17 inaelekeza zaka itolewe mahali atakapopachagua Bwana, kwa mfano mlawi, yatima, mjane, mgeni na Malaki 3:10 inaelekeza ghalani au kwenye nyumba ya Mungu au kanisani. Sasa utajuaje upeleke wapi? Ni lazima umpe Mungu kwanza ( yani unaiombea kwanza) na Kisha umuulize Mungu uipeleke wapi kwa wakati huo! Mfano Ibrahimu aliwahi kumpa Melkizedeki mfalme wa Salemu funhu la kumi, je alijuaje kuwa ampe, jibu ni kuwa aliambiwa na Mungu.

Kimbembe sasa kinakuja hapa Mungu akikujibu utajua? Asipokujibu pia utajua? Ili utoe zaka kikamilifu ni lazima uwe unaukaribu mno na Mungu, Ahsante.
Malaki inasema Zaka ipelekwe kanisani? Hebu weka hilo andiko hapa. Mbona mnakuwa waongo hivyo?

Malaki anasema SPECIFICALLY zaka ipelekwe katika nyumba ya Mungu. Nyumba ya Mungu ni Hekalu la Yerusalemu... sio kanisa wala sinagogi.

Wakati ule kulikuwa na majengo ya kuabudu a.k.a Masinagogi na hayakuwa yakipokea zaka kwa sababu Mungu aliagiza Zaka IPELEKWE HEKALUNI. Na hekalu lilikuwa 1 tu, Yerusalemu ambayo ni nyumba ya Mungu.

Jifunzeni maandiko.
 
Kristo alimaanisha nini kusema mpeni Mungu vyake Mungu na mpeni Kaisari vyake kaisari,je wafuasi wa kristo wanajifunza nini katika hilo andiko. ?
Context ya hilo andiko ni ipi?

Kwani ukitoa sadaka ya kawaida hujampa Mungu? Ni mpaka umpe Zaka? Mbona mnalazomishia maandiko?

Hebu twende hapa:
Mungu amekuagiza wapi wewe utoe zaka?
Amekuagiza uipeleke wapi?
Amekuagiza zaka yako nani aipokee?
 
Kwahiyo kanisani kwenu hampeleki fungu la 10 wala sadaka?[emoji28][emoji28] kanisa lipi hilo.
Kanisa langu kama yalivyo makanisa mengi YANAKOSEA katika hilo.

Nimekuuliza maswali 3 tu kama unaweza kuyajibu yajibu.

1. Ni wapi Mungu amekuagiza wewe utoe fungu la kumi?
2. Amekuagiza ulipeleke wapi fungu la kumi?
3. Ameagiza nani apokee fungu lako la kumi?
 
Tofauti ya mchungaji na kuhani ni ipi?
Mchungaji anachunga kondoo. Sio zaidi ya hapo. Ni mchungi wa kondoo wa Yesu.

Kuhani ni KIUNGANIKO kati ya Mungu na wanadamu wakati ule ambapo Yesu alikuwa hajaja. Watu waliweza kumfikia Mungu kupitia Kuhani. Na kazi ya kuhani ilikuwa Kutoa sadaka za kuteketezwa...zile za kuchinja wanyama.

Na makuhani walikuwa ni kabila 1 tu.. Kabila la Lawi. Hakuna kabila lingine lolote liliruhusiwa kuwa kuhani.

Sasa, mchungaji wako yeye ni wa kabila la Lawi?
 
Back
Top Bottom