jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 20,419
- 39,217
Mimi zaka sitoi so sijui
Basi kaa kutulia acha kupotosha kwamaana ulishakengeuka.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi zaka sitoi so sijui
Si msikitini wala kanisani,
Japo nimemueleza fungu la kumi linapaswa kupelekwa wapi.
Bora apeleke pesa kwa wenye uhitaji, personal ni bora apeleke kwa wenye uhitaji kuliko kupeleka pesa kwa kitu kinachodai ni muweza wa yote halafu ananiomba pesa yangu.
Kama atashindwa kufanya hivyo nimempa ushauri ale mbuzi choma au kitimoto mpaka pesa iishe.
Ni fungu la kanisa au msikiti...
Sio anatoa kwa wajane alafu akifukuzwa kaz anaenda kutaka kuombewa churchUmenena vyema,hii ndio maana ya zaka.
Bado ujajibu swali.Kazi ilofanywa nao ndio inayofanywa sasa na tasisi za kidini hasa makanisa.
Bado ujajibu swali.
Umesema walawi walikuwa hawana ardhi na lilikuwa kabila la makuhani kama nitakua nakosea nirekebishe,hivyo wanakula madhabauni.
Kwanini uchukue mila na tamaduni za kwao uje kupachika kwangu mimi msandawe? Huoni kama unajaribu kuzi standardize hizo sheria kwenye universal level wakati zilikuwa zinahusu jamii fulani?
kwanini asipeleke pesa kwenye kituo cha watoto yatima zikaenda kuwasomesha tupunguze ujinga? Kwanini nikampe mtu ambaye ajakatazwa kuwa na ardhi ana nguvu zake kwa kisingizio cha walawi waliambiwa hivyo? Hao wachungaji hawana ardhi?
Ifike mahala tuache kutetea hivi vitu tusilazimishe kwamba lazima nitoe fungu la kumi.
Mbona hujibu maswali?Kazi zao ni sawa na zile za walawi hakuna tofauti.
Nimekubali kushindwa kwako.Utii ni bora kuliko dhabihu,wewe kama mkristo sheria inataka utoe fungu la 10 madhabahuni hili halina mjadala,hutaki acha hujalazimishwa,sadaka unaweza wapa wa hitaji kadri uwezavyo.
Pia tambua kwa sasa maisha yamebadilika sana hao wachungaji na maaskofu inabidi wajiongeze ili waweze kuishi mana hata sadaka na matoleo mnatoa kidogo na kwa manunguniko,ili hal mahitaji ya kanisa ni makubwa kuliko makusanyo.
Ninyi ndio mnashusha heshima ya jukwaa......shame on you.....bastardwana walawi kina papá fransisi shoga😁😁😁🤪🤪
Mbona hujibu maswali?
Embu fata mtiririko sahihi
“Kazi zao ni sawa na zile za walawi” walawi hawakuruhusiwa kuwa na ardhi? Kama ndio je hawa wanyakyusa na wao hawajaruhusiwa kuwa na ardhi?
Mbona maswali mepesi utaki kujibu?
Nimekuambia kwanini unachukua tamaduni za jamii fulani kuziweka kwenye level za universal huoni kama unajaribu kulazimisha vitu?
fransisi ni shoga mkuu.pole najua imekuuma
Asantefransisi ni shoga mkuu.pole najua imekuuma
Akili huna wewetulia niwapige spana nyie wana wa walawi.
zaka yakweli niya kiislamu tuu wakiristo mnatoa ili mapadri nawachungaji wanunue v8
Unapotoa Msaada lazima uhakikishe WATU wanafahamu na saa nyingine utalenga upate sifa hii huwa ina haribu sadaka maana inakuwa NI Msaada biblia inatuambia hupati kitu ,lakin kama sadaka unataka Unatakiwa utoe kimya kimya na hata mtu akikushukuru mwambie mshukuru mungu maana ndo kakupa ,kingine unapotoa sasa sadaka sikiliza moyo wako usiangalishida za mtu angalia moyo wako unakutuma WAPI,ndo maana yesu alisema nipe Mimi Kwanza maskini hawataisha duniani mpaka dunia inaisha,Je, fungu la kumi linaweza tolewa kwa wajane, yatima na wenye shida au ni lazima nikatoe kanisani?
Naomba hekima zenu juu ya hili.
Hii ilikuwa specific kwa walawi ksb kazi waliyopewa haikuwezesha wao kufanya kazi nyingine, hakuna maagizo kama hayo kwenye agano jipya.ila wachungaji wametumia fursa hiyo kulimbikiza mali. Agano jipya: hakuna sadaka za kuteketezwa, watu waliompokea kristo ni makuhani na Yesu ndiye kuhani mkuu, wachungaji wa sasa ni waajiriwa, wafanyabiashara, wanamiliki mali ikiwemo aridhi, hivyo ni Dhabi kubwa kumpelekea mchungaji mwenye fursa hizo zote ukaacha kuwapa yatima na wenye shida.Peleka kwa wenye uhitaji hakuna Sehemu kwenye biblia inasema upeleke kanisani..
Ila imesisitixa ni kwa ajili ya Wasiojiweza
Jamani msidanganye watu, hakuna Sheria ya fungua la kumi katika agano jipya,ila ni vema kutoa unachowiwa Ili huduma za kiroho ziendelee.Utii ni bora kuliko dhabihu,wewe kama mkristo sheria inataka utoe fungu la 10 madhabahuni hili halina mjadala,hutaki acha hujalazimishwa,sadaka unaweza wapa wa hitaji kadri uwezavyo.
Pia tambua kwa sasa maisha yamebadilika sana hao wachungaji na maaskofu inabidi wajiongeze ili waweze kuishi mana hata sadaka na matoleo mnatoa kidogo na kwa manunguniko,ili hal mahitaji ya kanisa ni makubwa kuliko makusanyo.
Acha wivu wewe.Fungu la Mungu au fungu la mchungaji? Hawa hawa manabii wetu wa siku hizi uwapelekee fedha halafu useme umepeleka kwa Mungu? Hawa hawa kina Gwajima na Mzee wa Upako au kina Mwamposa? Kina 'nabii'' Malisa?
Wewe hatuwezi kuendelea kujenga hoja yesu kristo amefata nini katika walawi wasioruhusiwa kuwa na ardhi na ni kabila la makuhani?Je unamini kwa sasa sisi tu waridhi wa ufalme si kwa kabisa ama rangi bali kwa utii na imani katika Yesu kristo?
Sasa kipi kinakupa shida kuamini kazi za walawi wa sasa ambao ni wachungaji na maaskofu?
Pia kristo alisema mmpe Mungu vilivyo vyake we unadhani alikua anasisitiza kitu gani?
Mkuu,Jamani msidanganye watu, hakuna Sheria ya fungua la kumi katika agano jipya,ila ni vema kutoa unachowiwa Ili huduma za kiroho ziendelee.