Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Walawi gani wafanyabiashara wanamiliki Hotel na wengine wanasiasa wabunge.Maandiko yanasema hivyo nakubali. Swali: wana wa walawi wa sasa ni sawa na wale wa zamani? Makuhani wa sasa ni sawa na wale wa zamani? Waangalizi wa hekalu wa sasa ni sawa na wale wa zamani? Hawa wa sasa mbona wanapewa urithi wa ardhi na ''wanatafuna'' kondoo huku wakijirekodi na simu?