Je, naweza kutumia fungu la kumi kwa kununua mahitaji ya watoto yatima?

Je, naweza kutumia fungu la kumi kwa kununua mahitaji ya watoto yatima?

Kuikamilisha maana yake TO PUT AN END OF. Kuweka NUKTA.. Biblia inasema Kristo ni MWISHO wa sheria. Wakristo hawapo chini ya Torati..

Pili, Kama mnafuata Torati kwa nini hamuifuati yote mnachagua tu fungi la kumi?

Tatu, wewe ni myahudi? Kabila lako ni lipi kati ya yale 12?

Mchungaji wako ni Kuhani? Ni kuhani wa kabila gani? Ni wapi Mungu amemuagiza mchungaji wako apokee zaka?

Mafundisho ya usiue,usiibe,usizini una ya tolea wapi kama sio kwenye torati?au wewe na kanisa lenu hamfuati sheria hizo kwakuwa ninyi si moja ya makabila 12 ya wana wa israel?
 
Hakuna sehemu yesu amezungumxia Zaka mkuu acha kuongopa...
Hivi huwa hamuoni Aibu kuongopa kwa ajiki ya maslahi yenu binafsi

Wewe mkuu ulitaka aseme zaka ndio uelewa maana ya kumpa Mungu vilivyo vyake Mungu,mkuu mbona uko na akili mgando,btw kama wewe huna hela ya zaka ya fungu la 10 au huna injili hiyo kaa tulia kuliko kupotosha muongozo wa maandiko.
 
Ni wapi uliwahi kuagizwa wewe hapo upeleke fungu la kumi kanisani?

Ni wapi mchungaji wako amewahi kuagizwa apogee fungu la kumi?

Kwahiyo kanisani kwenu hampeleki fungu la 10 wala sadaka?[emoji28][emoji28] kanisa lipi hilo.
 
Ukishataja tu kitabu cha yoeli ni kutukuza ujinga na upumbavu.

Hakuna fungu la kumi la mali uliyochuma bali ni UNYONYAJI kama unyonyaji mwingine walioanzisha wakoloni ili kujiongezea mwanya wa kuwanyonya WAAFRIKA.

BIBLIA ni kitabu cha mwongozo wa UKOLONI kilichosimamia kuwaibia WAAFRIKA.

Pesa/mali zilizopokelewa kama fungu la 10 zilitumika pia kuendeleza ukoloni kupitia makanisani na nyingine kupelekwa ulaya.

Swali langu ni kitaka kujua hao wachungaji na maaskofu wanaojilimbikizia mali wanazipata wapi na je wanatoa fungu la 10 lao wapi?

WAAFRIKA acheni ujinga toa kwa WAHITAJI wajane,maskini,wagojwa,wagane,machokolaa,wafungwa,wazee,nk utapata baraka sana

MUNGU hawezi kumpa MUHITAJI WAKE pesa/mali halafu amtoze kodi/riba ,HAKUNA kitu kama hicho kwani anatambua hali zao jawana kitu hivyo hawezi kuchukua chochote kutoka ktk alichowabari.

Naimani wewe ni mmoja wa vibaka mnaowaibia WAHITAJI kwa kigezo cha SADAKA,ZAKA na FUNGU la 10 acheni hiyo tabia na fanyeni kazi mjipatie riziki kihalali siyo kuwaibia wahitaji.

MUNGU wa kweli alishabariki kila kazi ya mikono yetu hivyo haitaji chochote kutoka kwetu zaidi ya sisi kumuomba na yeye kutupatia.

Watu weupe wamekuwa wakitoa misaada sana KWA WAHITAJI hasa kipindi cha majanga au magonjwa kuliko WAAFRIKA,kwanini wasitoe fungu la 10?

Ni wakati sasa fungu la 10,sadaka na zaka zirudi kwa WAHITAJI siyo kuingia kwenye matumbo ya wachungaji na maaskofu wanao jimilikisha mali za MASKINI kwa visingizio na familia zao.

Pole sana kama ni mkristo muongozo uko wazi,ila kama sio mkristo na si myahudi,kaa tulia we unadhanj injili inaenda tu kwa maneno bila pesa,unadhani bills za kanisa zinatoka wapi ujenzi wa majengo mazuri ya kanisa pesa hutoka wapi?
 
Acha uongo na uhuni,hayo ni maneno tu na hadithi za wahuni ili kukuremba wewe mwafrika mjinga usiyejitambua.

Hayo mahekalu yaliyokuwa AFRIKA yanalindwa yako wapi kwa sasa?kwanini ndiyo yanajengwa zaidi na WAAFRIKA kwa sasa si wamegundua utamu wake?

We uliaminishwa ujinga kupitia waasisi wa familia yako kaa na ujinga wenu siyo kuwaaminisha huo ujinga WAAFRIKA wa sasa.

Hayo mahekalu yalilindwa AFRIKA tu asia na ulaya hapana hayakuweko?

Mkuu hata kwenye vilinge mnaacha pesa,kuku,mtama n.k hakuna tofauti chupa mpya mvinyo uleule.
 
Sasa kwani papa hanugaiki na hilo fungu la kumi?acha ushabiki wa dini za kuambukizwa wewe ndiyo kaanzie uzi wako na papa wako mkajadiliane USHOGAJI na kuusapoti.

Mtu yeyote aliye chini ya papa kwa sasa anasapoti USHOGA hivyo ni shoga wa badae.

TUSIMAMIE UKWELI:-kiongozi wa familia akiidhinisha ushoga na wanafamilia wakakaa kimya si wamekubali ushoga, siyo mashoga?

Mkuu kanisani kwenu wote watakatifu hakuna mtenda dhambi hata mmoja?
 
Ni sawa kwani wa zamani walikuwa WAZUNGU na wa sasa ni WAAFRIKA.

Hakuna raia mzungu aliyetoa zaka kwa makuhani,manabii,nk hapo zamani bali walianziasha mfumo huu Afrika ili kuwaibia kupitia ZAKA na SADAKA.

Hadi leo hakuna mzungu anatoa fungu la 10 kanisani kama yupo basi ANAPOKEA kutoka kwa waafrikana ambao bado ni wajinga.

Bill gate na wenzake wanatoa misaada kwa WAHIYAJI siyo FUNGU LA 10 kwa matapeli wa KIAFRIKA.

Ulishaona matajiri au foundation kama Bill Gate au Mask wakitoa misaada i.e.sadaka,zaka,nk makanisani?kwani wao hawataki kwenda mbinguni?

Hii hoja yako mfu,ulitaka mpka mzungu atoe ndio nawe utoe yani ulitaka wakuwekee miamala yao ya fungu la 10 ndio uamini?hopless kabisa
 
Wapewe ardhi ipi hawa wajinga?wakoloni wamekuja Afrika wakapora ardhi yote na kujenga makanisa bafala ya viwanda vikubwa?

Hivi kuliwahi kutokea KUHANI MWAFRIKA au MUASIA?

Viwanda si mliviua kwa ufisadi na ujinga wenu,hivi hujui hii nchi ilikua ni shamba ina viwanda vikubwa vya usindikaji wa mazao ya kahawa,chai,pamba na mkonge na vyote vilianzishwa na wakoloni sasa viko wapi?usilaumu mkoloni kwa upuuzi wa ngozi nyeusi.
 
Fungu la 10 ni fungu la Imani,,hivyo ukitaka kuona mafanikio Kwa kusudio la fungu la 10 ni vyema ukaandaa chakula kilichotukuka hrf unawaalika watoto wadogo na wazee ambao hawajiwezi Kisha mnakula pamoja kwakuongozwa na sala kulingana na Iman zao,, Mzee wangu ukifanya hivyo hata Kila mwez kulingana na uwezo wako ipo siku utakuja kutoa ushuhuda hapa!

Huo sio utaratibu wa kibiblia kuhusu fungu la 10,huo ni utaratibu wenu binafsi ila sio muongozo.
 
yule kijana alimwambia yesu nifanye nini nipate kuurithi ufalme wa mbinguni? yesu akamwambia wazijua amri na kuzishika? Ndio! Ndipo akamwambia umepungukiwa na kimoja,kauze ulichonacho wagawie maskini ! Nahitimisha ivi hakuna sharti la kutoa fungu la kumi likawekewa na ahadi ya kuurithi ufalme wa mungu. nasubiri andiko lenye ahadi ya kwenda mbinguni...kwako studio

Kumbuka moja ya sheria alizo kili ni kutoa fungu la 10 kama zaka na ulikua muongozo kwa wana waisrael na halikua ombi ni sheria,

Yesu alitaka kumfundisha tajiri upendo kwa wengine na kuondoa ubinafsi wa kukumbatia mali zake peke yake ndio ama aliambiwa auze mali agawie masikini ili kumpatia dhana ya upendo kwa wengine wahitaji.
 
Kama kuna Deni ambalo Mungu ni lazima akulipe, tena una haki ya kudai pale ukifikwa na ya Dunia!

Basi ni kwenda kutia Misaada kwa Yatima, Wajane na wasio jiweza, iwe kwa Moyo mmoja, bila Makamera wala Matangazo!

Na ukianza kudai.... Hutumii nguvu nyingi....!

Unamwambia tu Mungu.... Basi naomba ukakumbuke Sadaka zangu nilizotoa kwa Yatima, Wajane na wasio jiweza.....! Mungu atalipa hilo deni.

Still bado fungu la kumi lipelekwe kanisani,ili kaxi ya injili isonge mbele,hao yatima na wajane wapate wokovu.
 
Kuna tofauti ya zaka na sadaka

Ndio zaka ni fungu la kumi la kipato chako,katika ujira wako au biashara zako au mali zako ni ile 1/10 hii inapelekwa kanisani.

Sadaka ni sehemu yoyote ilobaki hutolewa kwa kugusawa na upendo juu ya jambo fulani
 
Back
Top Bottom