Natural justice
Member
- Aug 15, 2021
- 30
- 47
Duuu mjadala mtamu kweli, mtazamo wangu Mimi Ni huu kulingana na kumbukumbu la torati 12:5-17 inaelekeza zaka itolewe mahali atakapopachagua Bwana, kwa mfano mlawi, yatima, mjane, mgeni na Malaki 3:10 inaelekeza ghalani au kwenye nyumba ya Mungu au kanisani. Sasa utajuaje upeleke wapi? Ni lazima umpe Mungu kwanza ( yani unaiombea kwanza) na Kisha umuulize Mungu uipeleke wapi kwa wakati huo! Mfano Ibrahimu aliwahi kumpa Melkizedeki mfalme wa Salemu funhu la kumi, je alijuaje kuwa ampe, jibu ni kuwa aliambiwa na Mungu.
Kimbembe sasa kinakuja hapa Mungu akikujibu utajua? Asipokujibu pia utajua? Ili utoe zaka kikamilifu ni lazima uwe unaukaribu mno na Mungu, Ahsante.
Kimbembe sasa kinakuja hapa Mungu akikujibu utajua? Asipokujibu pia utajua? Ili utoe zaka kikamilifu ni lazima uwe unaukaribu mno na Mungu, Ahsante.