NAMBA MOJA AJAYE NCHINI
JF-Expert Member
- Oct 29, 2019
- 9,863
- 20,806
Fanya kile roho was mungu anakushuhudia kufanya moyoni mwako!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mlawi sio mtumishi wa Mungu. Mlawi ni mlawi... mtu wa kabila la Lawi... aliyewekwa kwa ajili ya kazi ya hekaluni.Ndio unaweza kulingana na kumbkumb la torati 26:12..neno la Mungu linasema zaka anaweza kupewa 1. mlawi(mtumishi wa Mungu) 2.mgeni(mhitaji) 3.yatima 4.wajane
Kwani mchungaji nani?Ni wapi uliwahi kuagizwa wewe hapo upeleke fungu la kumi kanisani?
Ni wapi mchungaji wako amewahi kuagizwa apogee fungu la kumi?
Hakuna mahali Mungu ameagiza fungu la kumi liende kanisani. HAKUNA.KIBIBLIA fungu la kumi linatakiwa liende kanisani hakuna MBADALA ..hiyo inaitwa ZAKA (TITHES) maana yake ni kurudisha Kwa Mungu madhabahuni.....yatima ,masikini etc wanapelekewa sadaka..na makanisa mengi fungu la kumi ni Kwa ajili ya kulipa mishahara wachungaji ...wewe peleka kanisani umeshamaliza sehemu yako mbele za Mungu ...kama unadhani kanisa unalosali halistahili kupelekewa sadaka either ni la nabii fake etc basi unasali sehemu sio sahihi....Hifadhi vizuri ZAKA zako Kwa uaminifu tafuta kanisa sahii peleka...
Naona this time nasukumwa kutoa kwa yatimaFanya kile roho was mungu anakushuhudia kufanya moyoni mwako!!
Mchungaji ni mchungaji wa Kondoo wa Bwana. Sio Kuhani.Kwani mchungaji nani?
Kasome tena mkuu uelewe falsafa ya Fungu la Kumi...KIBIBLIA fungu la kumi linatakiwa liende kanisani hakuna MBADALA ..hiyo inaitwa ZAKA (TITHES) maana yake ni kurudisha Kwa Mungu madhabahuni.....yatima ,masikini etc wanapelekewa sadaka..na makanisa mengi fungu la kumi ni Kwa ajili ya kulipa mishahara wachungaji ...wewe peleka kanisani umeshamaliza sehemu yako mbele za Mungu ...kama unadhani kanisa unalosali halistahili kupelekewa sadaka either ni la nabii fake etc basi unasali sehemu sio sahihi....Hifadhi vizuri ZAKA zako Kwa uaminifu tafuta kanisa sahii peleka...
Una uhakika kuwa Mungu anapatikana kanisani?Fungu la kumi ni fungu la Mungu, peleka madhabahuni unapoabudia.
Kitabu cha Yoeli Mungu anasema mnaniibia kwa kutotoa zaka, leteni zaka kamili ghalani Ili kiwepo chakula nyumbani mwangu.
Misaada kwa yatima hiyo ni sadaka.
Hao hao mkuuFungu la Mungu au fungu la mchungaji? Hawa hawa manabii wetu wa siku hizi uwapelekee fedha halafu useme umepeleka kwa Mungu? Hawa hawa kina Gwajima na Mzee wa Upako au kina Mwamposa? Kina 'nabii'' Malisa?
Watu wanashindwa kujua Kuhani ni nani na kazi zake ni nini..Mchungaji ni mchungaji wa Kondoo wa Bwana. Sio Kuhani.
Any other question?
Hekalu liko wapi?Kwenye agano la kale fungu la kumi maelekezo yake linapaswa lipelekwe hekaluni hakuna maelekezo tofauti na hayo kama unayo leta kifungu cha andiko.
Mchungaji ni mchungaji wa Kondoo wa Bwana. Sio Kuhani.
Any other question?
Ukishataja tu kitabu cha yoeli ni kutukuza ujinga na upumbavu.Fungu la kumi ni fungu la Mungu, peleka madhabahuni unapoabudia.
Kitabu cha Yoeli Mungu anasema mnaniibia kwa kutotoa zaka, leteni zaka kamili ghalani Ili kiwepo chakula nyumbani mwangu.
Misaada kwa yatima hiyo ni sadaka.
Hawa watu ni wezi wamerithishwa unyonyaji kupitia biblia kwa style hii,wao fungu la 10 wanatoa wapi?kodi hawalipi kama siyo wizi ni nini?Hili ndilo linaloniumiza kichwa.