Je, naweza kutumia fungu la kumi kwa kununua mahitaji ya watoto yatima?

Je, naweza kutumia fungu la kumi kwa kununua mahitaji ya watoto yatima?

kwanini sasa wachungaji wao wanapokea tuu?

Bado mkuu hujaelewa tu ?au ulitakaje labda mana mana ya fungu la 10 kama zaka nimekutolea historia ilianzaje na kwa lengo gani na sasa inatumikaje na kwa lengo gani?
 
Heri amkumbukaye mnyonge ataokolewa siku ya tabu

Kabla hujatoa hiyo sadaka, je wahitaji wanaoishi karibu nawe wana hali gani? Je ni dhiki ya njaa au mavazi au malazi?


Usijetoa sadaka wee mwishoni ukaulizwa nilikuja kwako nikiwa na njaa wala hukunijali

Enenda sasa huku ukitafakari cha kufanya
 
Nipe andiko linalosema zaka ipelekwe kwa wahitaji?
Sijasema ipelekwe kwa wahitaji ila nimesema ninkwa ajili ya wasiojiweza...
Kwanza kabisa unatakiwa ujue kuwa zama ilikuwa ni kwa ajili ya walawi maaba wao walikuwa hawana urithi wala hawana mashamba...
Hapo nimesema hakuna andiko linalosema zaka zipelekwe kanisani...

Kumbukumbu la Torati 14:27-29

[27]na Mlawi aliye ndani ya malango yako usimwache, kwani hana fungu wala urithi pamoja nawe.

And the Levite that is within thy gates; thou shalt not forsake him; for he hath no part nor inheritance with thee.

[28]Kila mwaka wa tatu, mwisho wake, toa fungu la kumi lote la maongeo yako ya mwaka huo, uliweke ndani ya malango yako;

At the end of three years thou shalt bring forth all the tithe of thine increase the same year, and shalt lay it up within thy gates:

[29]na Mlawi kwa kuwa hana fungu wala urithi pamoja nawe, na mgeni, na yatima, na mjane aliyefiliwa na mumewe, walio ndani ya malango yako, na waje wale na kushiba; ili kwamba BWANA, Mungu wako, akubarikie katika kazi yote ya mkono wako uifanyayo.

And the Levite, (because he hath no part nor inheritance with thee,) and the stranger, and the fatherless, and the widow, which are within thy gates, shall come, and shall eat and be satisfied; that the LORD thy God may bless thee in all the work of thine hand which thou doest.
 
Heri amkumbukaye mnyonge ataokolewa siku ya tabu

Kabla hujatoa hiyo sadaka, je wahitaji wanaoishi karibu nawe wana hali gani? Je ni dhiki ya njaa au mavazi au malazi?


Usijetoa sadaka wee mwishoni ukaulizwa nilikuja kwako nikiwa na njaa wala hukunijali

Enenda sasa huku ukitafakari cha kufanya

Tunaongelea fungu la kumi wewe unalielewaje na muongozo wake ni upi usije kua unapotosha.
 
Sijasema ipelekwe kwa wahitaji ila nimesema ninkwa ajili ya wasiojiweza...
Kwanza kabisa unatakiwa ujue kuwa zama ilikuwa ni kwa ajili ya walawi maaba wao walikuwa hawana urithi wala hawana mashamba...
Hapo nimesema hakuna andiko linalosema zaka zipelekwe kanisani...

Kumbukumbu la Torati 14:27-29

[27]na Mlawi aliye ndani ya malango yako usimwache, kwani hana fungu wala urithi pamoja nawe.

And the Levite that is within thy gates; thou shalt not forsake him; for he hath no part nor inheritance with thee.

[28]Kila mwaka wa tatu, mwisho wake, toa fungu la kumi lote la maongeo yako ya mwaka huo, uliweke ndani ya malango yako;

At the end of three years thou shalt bring forth all the tithe of thine increase the same year, and shalt lay it up within thy gates:

[29]na Mlawi kwa kuwa hana fungu wala urithi pamoja nawe, na mgeni, na yatima, na mjane aliyefiliwa na mumewe, walio ndani ya malango yako, na waje wale na kushiba; ili kwamba BWANA, Mungu wako, akubarikie katika kazi yote ya mkono wako uifanyayo.

And the Levite, (because he hath no part nor inheritance with thee,) and the stranger, and the fatherless, and the widow, which are within thy gates, shall come, and shall eat and be satisfied; that the LORD thy God may bless thee in all the work of thine hand which thou doest.

Hili lilikua agizo la fungu la 10 kwa mwaka wa3,ndio angizo lilitolewa litumike vipi,swali ni je hili agizo ni kwa kila fungu la 10? Jibu ni hapana.

Malimbuko ya mwezi,wiki,siku au mwaka kwa fungu la 10 mwongozo wake ni upi?
 
Malaki 3:10
Leteni zaka kamili ghalani, ili kiwemo chakula katika nyumba yangu, mkanijaribu kwa njia hiyo, asema Bwana wa majeshi; mjue kama sitawafungulia madirisha ya mbinguni, na kuwamwagieni baraka, hata isiwepo nafasi ya kutosha, au la.
Mkuu kanisa ni ghala?
 
Hili lilikua agizo la fungu la 10 kwa mwaka wa3,ndio angizo lilitolewa litumike vipi,swali ni je hili agizo ni kwa kila fungu la 10? Jibu ni hapana.

Malimbuko ya mwezi,wiki,siku au mwaka kwa fungu la 10 mwongozo wake ni upi?
Malimbuko Ni tofauti na Zaka...
Mkuu nimezungumzia zaka l!
 
Sijasema ipelekwe kwa wahitaji ila nimesema ninkwa ajili ya wasiojiweza...
Kwanza kabisa unatakiwa ujue kuwa zama ilikuwa ni kwa ajili ya walawi maaba wao walikuwa hawana urithi wala hawana mashamba...
Hapo nimesema hakuna andiko linalosema zaka zipelekwe kanisani...

Kumbukumbu la Torati 14:27-29

[27]na Mlawi aliye ndani ya malango yako usimwache, kwani hana fungu wala urithi pamoja nawe.

And the Levite that is within thy gates; thou shalt not forsake him; for he hath no part nor inheritance with thee.

[28]Kila mwaka wa tatu, mwisho wake, toa fungu la kumi lote la maongeo yako ya mwaka huo, uliweke ndani ya malango yako;

At the end of three years thou shalt bring forth all the tithe of thine increase the same year, and shalt lay it up within thy gates:

[29]na Mlawi kwa kuwa hana fungu wala urithi pamoja nawe, na mgeni, na yatima, na mjane aliyefiliwa na mumewe, walio ndani ya malango yako, na waje wale na kushiba; ili kwamba BWANA, Mungu wako, akubarikie katika kazi yote ya mkono wako uifanyayo.

And the Levite, (because he hath no part nor inheritance with thee,) and the stranger, and the fatherless, and the widow, which are within thy gates, shall come, and shall eat and be satisfied; that the LORD thy God may bless thee in all the work of thine hand which thou doest.
Itoshe tu kusema Ahsante
 
Hili lilikua agizo la fungu la 10 kwa mwaka wa3,ndio angizo lilitolewa litumike vipi,swali ni je hili agizo ni kwa kila fungu la 10? Jibu ni hapana.

Malimbuko ya mwezi,wiki,siku au mwaka kwa fungu la 10 mwongozo wake ni upi?
Zaka ina sheria zake haipokelewi gu kiholela mkuu...
Na sheria ni kama nilizoweka
 
Maandiko yanasema hivyo nakubali. Swali: wana wa walawi wa sasa ni sawa na wale wa zamani? Makuhani wa sasa ni sawa na wale wa zamani? Waangalizi wa hekalu wa sasa ni sawa na wale wa zamani? Hawa wa sasa mbona wanapewa urithi wa ardhi na ''wanatafuna'' kondoo huku wakijirekodi na simu?
Hakuna waangalizi wa hekalu wa sasa kwa sababu Sasa hakuna hekalu.

Na hakuna wa kumpa hiko fungu la kumi kwa sababu hakuna makuhani wa kabila la lawi hapo kanisani kwako.

Hekalu likikuwa moja tu, Hekalu la Yerusalemu. Wana wa Israeli walikuwa wanapeleka fungu la kumi Hekaluni Yerusalemu... hawakuwa wanapeleka kwenye masinagogi kwa sababu Torati iwaamuru waipeleke hekaluni.

Katika agano jipya, hakuna hekalu la jengo.. hekalu ni mwili wako (hekalu la Roho Mtakatifu).

Jifunzeni Biblia acheni kudanganyika
 
Leteni zaka kamili Ili kiwemo chakula katika nyumba yangu....zaka ni ya Mungu peleka madhabahuni....wahitaj utawasaidia Kwa pesa tofaut na zaka
Kanisani kuna madhabahu? Unajua madhabahu ni nini? Umewahi kuona madhabahu wapi wewe?
 
Tatizo Kuna watumishi wengi sana wa uongo ambao wanapotosha kweli...ila madhabahu za kweli zipo mfano Lutheran church
Madhabahu sio kanisa. Madhabahu sio Altari (stage anayokaa mchungaji).

Madhabahu ni mahali ambapo sadaka ya kuteketezwa kwa kuchinjwa mnyama ilikuwa ikitolewa.

Kwenye makanisa yetu hakuna mahali popote pale kuna madhabahu.
 
Hakuna waangalizi wa hekalu wa sasa kwa sababu Sasa hakuna hekalu.

Na hakuna wa kumpa hiko fungu la kumi kwa sababu hakuna makuhani wa kabila la lawi hapo kanisani kwako.

Hekalu likikuwa moja tu, Hekalu la Yerusalemu. Wana wa Israeli walikuwa wanapeleka fungu la kumi Hekaluni Yerusalemu... hawakuwa wanapeleka kwenye masinagogi kwa sababu Torati iwaamuru waipeleke hekaluni.

Katika agano jipya, hakuna hekalu la jengo.. hekalu ni mwili wako (hekalu la Roho Mtakatifu).

Jifunzeni Biblia acheni kudanganyika
Basi ndiyo hivyo. Mwili wangu ndiyo hekalu na fungu la kumi nitalipeleka hekaluni.
 
Kwenye agano la kale fungu la kumi maelekezo yake linapaswa lipelekwe hekaluni hakuna maelekezo tofauti na hayo kama unayo leta kifungu cha andiko.
Exactly. Linatakiwa lipelekwe HEKALUNI... Na walikuwa wanapeleka Hekaluni Yerusalemu, sio kwenye masinagogi ya mitaani kwao.

Makanisa sio mahekalu... ni majengo ya kuabudia kama yalivyokuwa masinagogi wakati ule.

Hili jambo la kupeleka Zaka kanisani halina basis yoyote ya maandiko in any way kwa sababu hata hekalu la kutolea hiyo zaka halipo.
 
Basi ndiyo hivyo. Mwili wangu ndiyo hekalu na fungu la kumi nitalipeleka hekaluni.
Katika agano jipya lililofanyika kwa damu ya Yesu, Hakuna mahali popote Mungu amekuagiza wewe utoe fungu la kumi.

Fungu la kumi ni fundisho la Torati. Watu walio chini ya Kristo hawapo chini ya torati. Sasa wewe unatoka wapi na mambo ya fungu la kumi?
 
Hakuna waangalizi wa hekalu wa sasa kwa sababu Sasa hakuna hekalu.

Na hakuna wa kumpa hiko fungu la kumi kwa sababu hakuna makuhani wa kabila la lawi hapo kanisani kwako.

Hekalu likikuwa moja tu, Hekalu la Yerusalemu. Wana wa Israeli walikuwa wanapeleka fungu la kumi Hekaluni Yerusalemu... hawakuwa wanapeleka kwenye masinagogi kwa sababu Torati iwaamuru waipeleke hekaluni.

Katika agano jipya, hakuna hekalu la jengo.. hekalu ni mwili wako (hekalu la Roho Mtakatifu).

Jifunzeni Biblia acheni kudanganyika

Kwahizo fungu la 10 linapelekwa kwenye hekalu la mwilini au sio[emoji28]
 
Back
Top Bottom