jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 20,419
- 39,217
Exactly. Linatakiwa lipelekwe HEKALUNI... Na walikuwa wanapeleka Hekaluni Yerusalemu, sio kwenye masinagogi ya mitaani kwao.
Makanisa sio mahekalu... ni majengo ya kuabudia kama yalivyokuwa masinagogi wakati ule.
Hili jambo la kupeleka Zaka kanisani halina basis yoyote ya maandiko in any way kwa sababu hata hekalu la kutolea hiyo zaka halipo.
Kwanini ilikua inapelekwa hekaluni kwa malengo gani hasa ilitumikaje?