Je, naweza kutumia fungu la kumi kwa kununua mahitaji ya watoto yatima?

Je, naweza kutumia fungu la kumi kwa kununua mahitaji ya watoto yatima?

Kama huwelewi maandiko omba uelekezwe,fungu la 10 lilitolewa maalumu kwa wana walawi waliokua ni makuhani na waangalizi wa hekalu,ambao hata katika urithi wa ardhi hawakupewa,hivyo ili waishi na kuendelea kuhudumia hekalu fungu la 10 lilipelekwa hekaluni
Acha uongo na uhuni,hayo ni maneno tu na hadithi za wahuni ili kukuremba wewe mwafrika mjinga usiyejitambua.

Hayo mahekalu yaliyokuwa AFRIKA yanalindwa yako wapi kwa sasa?kwanini ndiyo yanajengwa zaidi na WAAFRIKA kwa sasa si wamegundua utamu wake?

We uliaminishwa ujinga kupitia waasisi wa familia yako kaa na ujinga wenu siyo kuwaaminisha huo ujinga WAAFRIKA wa sasa.

Hayo mahekalu yalilindwa AFRIKA tu asia na ulaya hapana hayakuweko?
 
Kama huwelewi maandiko omba uelekezwe,fungu la 10 lilitolewa maalumu kwa wana walawi waliokua ni makuhani na waangalizi wa hekalu,ambao hata katika urithi wa ardhi hawakupewa,hivyo ili waishi na kuendelea kuhudumia hekalu fungu la 10 lilipelekwa hekaluni
Soma hii eurocentric view achana na wakora bwana FUNGU LA 10 ni WIZI/UNYONYAJI.
2023_11_16_15.22.49_edit.jpg
2023_11_16_15.23.08_edit.jpg
2023_11_16_15.23.26_edit.jpg
2023_11_16_15.23.38_edit.jpg
 
Yani mfano wewe mwenyewe Huna gati,ila unaenda kumchangia mchungaji hela ya gari ili akafanye ufuaka vizuri
 
Kuhani ni priest kwa kiingereza. Ni kiongozi wa Kiroho ambaye alikuwa anafanyika KIUNGANIKO/MPATANISHI kati ya watu na Mungu.

Na kazi nyingine ya Kuhani ilikuwa kutoa Sadaka za Kuteketezwa/Sacrifices kwa Mungu.

Mchungaji wako SIO Kuhani. Ni mchungaji.
Waelekeze mkuu waambie hata kina paulo,petro na wengine hawakuwahi kuwa makuhani na hawajawahi kuomba fungu la kumi imekuaje wao waombe
 
Kuhani ni priest kwa kiingereza. Ni kiongozi wa Kiroho ambaye alikuwa anafanyika KIUNGANIKO/MPATANISHI kati ya watu na Mungu.

Na kazi nyingine ya Kuhani ilikuwa kutoa Sadaka za Kuteketezwa/Sacrifices kwa Mungu.

Mchungaji wako SIO Kuhani. Ni mchungaji.
Endelea kuishi humo
 
Tatizo Kuna watumishi wengi sana wa uongo ambao wanapotosha kweli...ila madhabahu za kweli zipo mfano Lutheran church
Lutheran church unaijua asili yake????
Hawa ni wajerumani waliopingana na waitaliano juu ya maslahi ya SADAKA/ZAKA wote ni wazungu wakoloni walele.

Kama waliweza kugombana kwaajili ya kututawala na kutupora mali wataacha kutupora ZAKA?
 
Mkuu ebu jaribu kuwa na adabu basi kama unona una chuki zako na papa kanzishe uzi huko hapa tujnajaribu kuelekezana msingi hasa wa fungu la 10.
Sasa kwani papa hanugaiki na hilo fungu la kumi?acha ushabiki wa dini za kuambukizwa wewe ndiyo kaanzie uzi wako na papa wako mkajadiliane USHOGAJI na kuusapoti.

Mtu yeyote aliye chini ya papa kwa sasa anasapoti USHOGA hivyo ni shoga wa badae.

TUSIMAMIE UKWELI:-kiongozi wa familia akiidhinisha ushoga na wanafamilia wakakaa kimya si wamekubali ushoga, siyo mashoga?
 
Mkuu kanisa ni g
Halipelekwi popote kwa sababu fundisho la Fungu la kumi ni fundisho la Torati.. na Wakristo hawapo chini ya torati.

In other words... Mungu hajatuagiza sisi tuliomfuata Yesu kutoa fungu la kumi... Fungu la Kumi sio fundisho la Kristo.

Kujaribu kulileta hili fundisho katika agano hili tunaloishi kwa sasa ni kulazimisha vitu ambavyo havipo.
 
Maandiko yanasema hivyo nakubali. Swali: wana wa walawi wa sasa ni sawa na wale wa zamani? Makuhani wa sasa ni sawa na wale wa zamani? Waangalizi wa hekalu wa sasa ni sawa na wale wa zamani? Hawa wa sasa mbona wanapewa urithi wa ardhi na ''wanatafuna'' kondoo huku wakijirekodi na simu?
Ni sawa kwani wa zamani walikuwa WAZUNGU na wa sasa ni WAAFRIKA.

Hakuna raia mzungu aliyetoa zaka kwa makuhani,manabii,nk hapo zamani bali walianziasha mfumo huu Afrika ili kuwaibia kupitia ZAKA na SADAKA.

Hadi leo hakuna mzungu anatoa fungu la 10 kanisani kama yupo basi ANAPOKEA kutoka kwa waafrikana ambao bado ni wajinga.

Bill gate na wenzake wanatoa misaada kwa WAHIYAJI siyo FUNGU LA 10 kwa matapeli wa KIAFRIKA.

Ulishaona matajiri au foundation kama Bill Gate au Mask wakitoa misaada i.e.sadaka,zaka,nk makanisani?kwani wao hawataki kwenda mbinguni?
 
Anania na safira walikufa sababu walimdanganya Mungu kwenye zaka...waliuza shamba alafu wakatoa zaka ambayo sio kamili mmoja alifia madhabahuni mwingine alifia mlangoni....Kwa wewe mkristo haijalishi uko dheheb gani kutotoa zaka ni kumwibia Mungu na bible inasema usiibe....mwenye masikio na asikie na ashupazaye shingo itavunjika
 
Kama huwelewi maandiko omba uelekezwe,fungu la 10 lilitolewa maalumu kwa wana walawi waliokua ni makuhani na waangalizi wa hekalu,ambao hata katika urithi wa ardhi hawakupewa,hivyo ili waishi na kuendelea kuhudumia hekalu fungu la 10 lilipelekwa hekaluni
Wapewe ardhi ipi hawa wajinga?wakoloni wamekuja Afrika wakapora ardhi yote na kujenga makanisa bafala ya viwanda vikubwa?

Hivi kuliwahi kutokea KUHANI MWAFRIKA au MUASIA?
 
Anania na safira walikufa sababu walimdanganya Mungu kwenye zaka...waliuza shamba alafu wakatoa zaka ambayo sio kamili mmoja alifia madhabahuni mwingine alifia mlangoni....Kwa wewe mkristo haijalishi uko dheheb gani kutotoa zaka ni kumwibia Mungu na bible inasema usiibe....mwenye masikio na asikie na ashupazaye shingo itavunjika
Hao anania na safira walikuwa ni WAAFRIKA?Je walifia Afrika?kuna muumini mzungu amewahi kutoa zaka katika uhai wako na ukiwa na akili timamu?
 
Anania na safira walikufa sababu walimdanganya Mungu kwenye zaka...waliuza shamba alafu wakatoa zaka ambayo sio kamili mmoja alifia madhabahuni mwingine alifia mlangoni....Kwa wewe mkristo haijalishi uko dheheb gani kutotoa zaka ni kumwibia Mungu na bible inasema usiibe....mwenye masikio na asikie na ashupazaye shingo itavunjika
Bible inasema hivyo kwa WAAFRIKA tu na siyo kwa wazungukama ulivyolishwa na waasisi wako waliopokea kutoka kwa wakoloni.
 
Anania na safira walikufa sababu walimdanganya Mungu kwenye zaka...waliuza shamba alafu wakatoa zaka ambayo sio kamili mmoja alifia madhabahuni mwingine alifia mlangoni....Kwa wewe mkristo haijalishi uko dheheb gani kutotoa zaka ni kumwibia Mungu na bible inasema usiibe....mwenye masikio na asikie na ashupazaye shingo itavunjika
Hakuna MWAFRIKA mkiristo bali ni vibaraka wa wakristo.

Wakristo ni umoja wa wanaoamini ktk ukoo wa kristo aliyekiwa mzungu na siy mwafrika.

Hakuna mzungu anayechangia ukoo na mwafrika hata siku moja.
 
Back
Top Bottom