Je, ni halali Daktari wa kiume kumchoma sindano ya tako mgonjwa wa kike?

Mkuu udaktari ni proffesion yenye miiko na maadili yake. Kwa dr sehemu za siri za jinsia iliyo tofauti ni sehemu tu ya kazi.


Imagine mgonjwa wa kike kaletwa icu anatakiwa apewe huduma kunusuru maisha ikiwamo kumchoma sindano na hakuna wa kumchoma isipokua dr wa kiume!

Huko mbele kuna male Gynecologist wa kutosha . Sasa assume Gynecologist wa kiume kazi yake ilivyo, licha hiyo ya kuchoma sindano tu.
 
Kitaaluma sijui

Ila kimaadili siyo sawa
Kwa maadili ya udaktari au utabibu ni sawa tu. Wanasomea na kushughulikia kutibu viungo vyote pasipo kubagua jinsi. Na kwa taarifa tu, wanaohusika kusomea na kutibu viungo vya uzazi (Gynecologists), wengi ni wanaume.
 
Haumwi huyo, mgonjwa hachagui Daktari, anyway hizo option ni kweli zipo na utasaidiwa kama huyo female nurse/Dr yupo, kama hayupo you are free to go
 
We unaongelea kuchoma sindano, he he h ehe e nenda labor ukaona wanawake wanavyochezwaa K zao na madaktari vijana wa kiume.
 
Watoto wangu wote wamezalishwa na madaktari wanaume
 
Hiyo ya ku-ask ni kwenye vitabu na baadhi ya hospitali chache sana.
Sehemu nyingi hata huo muda wa kuuliza haupo.
Kwanza hiyo shortage tuu utakubali mwenyewe.

Unakuta wodi nzima yupo Nurse mmoja wa kiume au shift nzima ni Daktari mmoja wa kiume.
Ukijifanya kuomba wa Kike. Wanakuacha umsubirie aje.
 
Komenti zako huwa ni murua kabisa
 
Taratibu za kisasa si sawa na zamani...

Kuna haja ya kuangalia mienendo..

Kiukweli ni hatari sana.
 
Kwakweli wake zenu inabidi wajiheshimu tu...

Ni hatari sana.
 
Mkuu wewe wa nchi gani,si bora hata kuchomwa sindano,manesi na madaktari wa kiume wanawazalisha na kuwachunguza wanapokuwa na dalili za magonjwa ya sehemu za siri.

Harafu unaumia nini,siku hizi mtoto wa miaka 17 sehemu sake za siri zimeshaonwa na zaidi ya wanaume 10, kuna jipya hapo!?

Niliwahi kumpeleka waifu wangu hospital baada ya ujauzito kuharibika,akawa amekutana na daktari wa magonjwa ya wanawake wa jinsi ya kiume,sikuwemo ndani lakini alipotokoka aliniambia daktari aliingiza vidole ukeni na kuanza kumchokonoa chokonoa.

Mimi wala sikuumiza kichwa changu.mkuu punguza wivu,huku kijijini zahanati au kituo cha afya unakuta hakuna nesi wa kike,kwahiyo wanawake wasipate tiba kisa matako yao yataonwa!?

Kama unaona madaktari wanafaidi basi na wewe kasomee udaktari

Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
 
Kumchoma ni cha mtoto; anamzalisha kabisa huko labour hata kama dadako au mkeo au mamako au mchepuko wako.
Mbunye anaishika kabisaaaa bila chenga. Ikanyika ataishona kwa ustadi mkubwa.
Hongera zenu doctors kwa upendo mkubwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…