Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😅😅😅😅 mbona Mandonga lakini.Umeona cute, wanafuatilia mno. Ona sasa kakutana na mwanamke Mandonga🤦
Nimecheka kwa sautiHakuna ndoa tena hapo.. Na hao wakwe viherehere hiyo ndio dawa yao
Ingekuwa kinyume chake kila siku angekuwa anawashauri wavumiliane tu hata yeye alichelewa kweli kuzaa [emoji3][emoji3]Ila mambo mengine yanakera jamani, kwani wazazi wakiacha kuhangaika na ndoa za watoto wao watapungukiwa nini? Vipi kama huyo bi dada ndo angekua mtoto ake angemuambia mkwe wake amuache mwanaye kisa hazai?
Na hapo ukute mwanaume ndo anashida.
Na wakiona wanachelewa Sana hutafuta muafaka wenyewe, Labda bwana awe hajatuliaNimejifunza kwa tukio la jana Mwanangu akija oa nawaacha na mambo yao kwa kweli
Kwa kuongezea TU mtanzania NI Mali ya jamhuri hivyo analindwa na jamuhuri kumpiga NI sawa umepiga serikaliSheria za nchi haziruhusu kupiga mtu(kushambulia)
Yeah,sureNa wakiona wanachelewa Sana hutafuta muafaka wenyewe, Labda bwana awe hajatulia
Sent from my Nokia 3.2 using JamiiForums mobile app
Kwani yeye anaitaka ndoa ya hovyo namna hiyo? NI kwamba kamaliza kazi anafungasha mwenyewe, jamaa Kama bado anampenda mkewe atamfuata kwa muda wake, kaa mbali na wana ndoa huwezi amini wanaweza kurudiana na wakaishi kwa FURAHA tu ila.mama mke ndio hakanyagi tena pale watamtumia pesa ya matumizi akitaka apokee hataki aache [emoji3][emoji3][emoji3]Hapo na ndoa imekufa. Umpige mama mbele yangu. Its over.
🤣🤣🤣 Nimecheka Kweli aiseeKwani yeye anaitaka ndoa ya hovyo namna hiyo? NI kwamba kamaliza kazi anafungasha mwenyewe, jamaa Kama bado anampenda mkewe atamfuata kwa muda wake, kaa mbali na wana ndoa huwezi amini wanaweza kurudiana na wakaishi kwa FURAHA tu ila.mama mke ndio hakanyagi tena pale watamtumia pesa ya matumizi akitaka apokee hataki aache [emoji3][emoji3][emoji3]
Sent from my Nokia 3.2 using JamiiForums mobile app
Nyie hamjakutana na mama wakwe pasua kichwa unaweza jisahau hata kama ni mama mkwe ukadhani mke mwenza🤣🤣🤣🤣🤸....wamama walichukia Kweli aisee....maana yule mama alikuwa na nundu paji la USO,Sijui alimpiga kichwa Cha USO...das😔
Mimi kipindi hicho nipo ndoani, mama mkwe aliniambia hata asingekuoa wewe bado angepata mwingine wa kumwoa. Means Mimi nisijifeel so special kuolewa na mwanae😥😏Nyie hamjakutana na mama wakwe pasua kichwa..unaweza jisahau hata kama ni mama mkwe ukadhani mke mwenza