Je, ni halali kwa askari wa usalama barabarani kuwatoza wananchi faini ya 30,000/= kwa kutokuwa na sticker za nenda kwa usalama?

Je, ni halali kwa askari wa usalama barabarani kuwatoza wananchi faini ya 30,000/= kwa kutokuwa na sticker za nenda kwa usalama?

Muwe mna wagonga wakifa faini ni 50k tu road accident haina kifungo jela... Hakuna faini ya 30k ukiwa huna sticker
 
😁 Kuna gari za kukagua hiyo Sticker... nasubiri siku traffic police aniulize swali la kijinga kama hilo.

Labda nikiwa naendesha Mkweche... kweli kweli.

The fact ni kwamba unaweza kuwa na Sticker lakini gari ilipatq changamoto baada ya ukaguzi. Sticker ni valid ila chombo kina dosari.

Vitu ambavyo sina ujanja na sina ktk gari kwa sasa ni Fire extinguisher, Reflector ile ya pembe 3 hapo wakinidaka wakauliza hivyo vitu sina.. nitatafuta.
 
Hata kama nina kila kitu bora nitoe elf tano kwa sababu kuu 3.

1. Siwezi ingia kwenye rariba yao ya kazi nitumie dk 10/15 tunajadiliana ilihali wao wapo kazini kwao hawana cha kupoteza na anayepoteza muda ni mimi.

2. Sheria inamruhusu kukukagua sio hapo tu, anaruhusiwa pia kupeleka gari kituoni iwapo anaona kuna tatizo, huwezi mshinda askari akiwa kwenye majukumu yake na ukifanikiwa siku utaimaliza kwenye hiyo shughuli.

3. Mwisho wa kubishana na askari huishia na faini tu, mara chache sana utatoka bila faini. Sasa kwanini nipoteze muda kupewa elfu thelathini? Si nampa chap elf tano tu mtanganyika mwenzangu huyu mwenye viatu vinavyotakiwa kubrashiwa tunatabasamu mambo yanaendelea.
Tumewalea hawa wadudu kwa ujinga wetu.
Tunajifanya kuokoa muda siku moja ili tuteseke sisi na vizazi vyetu.

Huwezi amini kwangu mimi hasa maeneo ninayopita kila mara asilimia 70 wamenielewa msimamo wangu na hawanisimamishi hovyo...akinidimamisha sio kudumbua labda atsomba ndg...leo niko vibaya nisaidie ya chai.
Sio kwamba najitutumua hapa ...hapana niko very serious na hili...niko tayari tusumbuane saa 1 leo kwa ukombozi wa siku zijazo.

Ni wajinga wachache ambao bado hawajanielewa katika barabara yangu ya kila siku.

Wananiita mtata..na nitakuwa mtata wa wajinga siku zote.
 
Tumewalea hawa wadudu kwa ujinga wetu.
Tunajifanya kuokoa muda siku moja ili tuteseke sisi na vizazi vyetu.
Wapo kisheria boss. Kama ni lawama ziende bungeni na serikalini.
Huwezi amini kwangu mimi hasa maeneo ninayopita kila mara asilimia 70 wamenielewa msimamo wangu na hawanisimamishi hovyo...akinidimamisha sio kudumbua labda atsomba ndg...leo niko vibaya nisaidie ya chai.
Sio kwamba najitutumua hapa ...hapana niko very serious na hili...niko tayari tusumbuane saa 1 leo kwa ukombozi wa siku zijazo.
Siwapendi Trafiki sababu wapo wengi mno barabarani na hatuna utaratibu maalum wa ukaguzi, hii inasababisha kukaguliwa hapa na kusimamishwa tena pale kwa ukaguzi siku hiyo hiyo ila tatizo halipo kwao lipo kwenye mfumo wetu unaowaruhusu wao kuwepo barabarani kwa huo mtindo.

Hakuna ukombozi wowote utakaouleta mkuu kwa kugombana na Trafiki lisaa lizima. Ukombozi unapatikana kwenye sheria zetu. Sasa yeye akienda kwenye sheria anakulima faini ukapambane nayo baada ya kugombana naye lisaa lizima.
Ni wajinga wachache ambao bado hawajanielewa katika barabara yangu ya kila siku.
Mkuu, Trafiki huwa wanabadilishwa maeneo baada ya kipindi halafu pia huwezi endesha gari mitaa ya kwenu tu lazima tu utatoka maeneo mengine ya wilaya au mkoa.
Wananiita mtata..na nitakuwa mtata wa wajinga siku zote.
 
Wapo kisheria boss. Kama ni lawama ziende bungeni na serikalini.

Siwapendi Trafiki sababu wapo wengi mno barabarani na hatuna utaratibu maalum wa ukaguzi, hii inasababisha kukaguliwa hapa na kusimamishwa tena pale kwa ukaguzi siku hiyo hiyo ila tatizo halipo kwao lipo kwenye mfumo wetu unaowaruhusu wao kuwepo barabarani kwa huo mtindo.

Hakuna ukombozi wowote utakaouleta mkuu kwa kugombana na Trafiki lisaa lizima. Ukombozi unapatikana kwenye sheria zetu. Sasa yeye akienda kwenye sheria anakulima faini ukapambane nayo baada ya kugombana naye lisaa lizima.

Mkuu, Trafiki huwa wanabadilishwa maeneo baada ya kipindi halafu pia huwezi endesha gari mitaa ya kwenu tu lazima tu utatoka maeneo mengine ya wilaya au mkoa.
Najua nisemalo mkuu.
Mfano mzuri barabara yangu ya kila siku nimezoeleka hivyo karibu mwaka mzima huwa sikaguliwi hovyo.
Pili...ni kweli lazima nisafiri, hata hivyo mimi ni mtu wa kusafiri sana kutokana na nature ya kazi yangu.

Huko huwa nina silaha nyingi za kupambana kama hivi:
1. Upole hii silaha ya kwanza.
Namsikiliza anachotaka, nami nachagua neno la kiungwana la kumjibu.
2. Kutumia sheria za barabarani.
Kwa mfano nimesahau leseni analazimisha anipige faini..hapa natumia sheria isemayo...nina haki ya kuleta leseni ndani ya saa 72.

3. Nikikutana na mbabe asiyesikilizs hapa nina silaha zangu....( hii huwa haishindwi....nikilazimika huwa nampandia juu, yaani kwa wakubwa zake ambapo kamwe hawezi kujinasua hasa ikiwa hayuko sahihi)

Mwisho...nikiwa na kosa huwa ninakubali kuwajibika lakini sio kuonewa
 
Najua nisemalo mkuu.
Mfano mzuri barabara yangu ya kila siku nimezoeleka hivyo karibu mwaka mzima huwa sikaguliwi hovyo.
Pili...ni kweli lazima nisafiri, hata hivyo mimi ni mtu wa kusafiri sana kutokana na nature ya kazi yangu.
Umeona mkuu, kama unasafiri hawakwepeki.
Huko huwa nina silaha nyingi za kupambana kama hivi:
1. Upole hii silaha ya kwanza.
Namsikiliza anachotaka, nami nachagua neno la kiungwana la kumjibu.
2. Kutumia sheria za barabarani.
Kwa mfano nimesahau leseni analazimisha anipige faini..hapa natumia sheria isemayo...nina haki ya kuleta leseni ndani ya saa 72.

3. Nikikutana na mbabe asiyesikilizs hapa nina silaha zangu....( hii huwa haishindwi....nikilazimika huwa nampandia juu, yaani kwa wakubwa zake ambapo kamwe hawezi kujinasua hasa ikiwa hayuko sahihi)

Mwisho...nikiwa na kosa huwa ninakubali kuwajibika lakini sio kuonewa
Upo sawa.
 
Hata kama nina kila kitu bora nitoe elf tano kwa sababu kuu 3.

1. Siwezi ingia kwenye rariba yao ya kazi nitumie dk 10/15 tunajadiliana ilihali wao wapo kazini kwao hawana cha kupoteza na anayepoteza muda ni mimi.

2. Sheria inamruhusu kukukagua sio hapo tu, anaruhusiwa pia kupeleka gari kituoni iwapo anaona kuna tatizo, huwezi mshinda askari akiwa kwenye majukumu yake na ukifanikiwa siku utaimaliza kwenye hiyo shughuli.

3. Mwisho wa kubishana na askari huishia na faini tu, mara chache sana utatoka bila faini. Sasa kwanini nipoteze muda kupewa elfu thelathini? Si nampa chap elf tano tu mtanganyika mwenzangu huyu mwenye viatu vinavyotakiwa kubrashiwa tunatabasamu mambo yanaendelea.
Mkuu uko kama Mimi,ni mwendo wa Tano elfu tu,trafiki anakagua Hela siyo gari,km uliweza kununua gari, wape trafiki elfu Tano acha ubahili
 
Mimi nilikutana na mkasa kama wako mkoani LINDI maana kila idara nilikuwa nimekamilika wakaja kunidaka kwenye sticker lkn mwisho wa picha nillipa Tu tena haikuwa na shida yeyote kwasababu nilitoa Tsh 5000 badala ya 3000.

Huyo jamaa amekuonea Tu Kwa kuandika kosa la faini, sometimes ukikutana nao hao jamaa jitahid kujishusha Tu mbele yake ili maisha yaende
Da nchi yangu na watu wake. Hivi hakuna tiba ya kumaliza huu ugonjwa badala yake unaelekeza atumie vidonge vya kuendeleza siku za kuishi ukikamuliwa kipato.
Tukajiandikishe kupiga kura wajamen
 
Kuna siku nilienda kununua hio sticker aisee VECO anajivuuuta mixer kusema hizo sticker hazipo ZIMEISHA ikabidi NIJIONGEZE kama mTanzania mzalendo mkono wangu ukazama mfukoni ndani kdg ndo akanipatia kumbuka hapo nishaliwaga vi buku 5 5 nyingi tu na mapoti mbalimbali pale road😀😀😀😀😀
Dah! Pole sana. Mimi natakiwa kulipa elfu 30 ya faini, na bado natakiwa tena kwenda kituo cha polisi kumlamba miguu VECO ili aniuzie hiyo sticker!!

Hii nchi inahitaji mabadiliko aisee.
 
Sawa wanakosea lakini mbona wakati wa mwanzo wa wiki ya nenda kwa usalama zilikua nyingi tu na zinapatikana kwa urahisi.
Kwa hiyo Comrade ingewezekana kweli wa wananchi wote wa nchi hii kuhudhuria hiyo wiki ya nenda kwa usalama, ili kupata hizo sticker? Nchi kubwa sana hii!

Sisi wengine tunaishi vijijini na tuna majukumu mengi. Hivyo siyo rahisi kusafiri kwenda mjini kuhudhuria hiyo wiki. Mimi nashauri askari waendelee kuwa nazo barabarani. Na kama nitasafiri na gari langu, alikague! Akiona lina sifa anipe hiyo sticker! Na siyo kuviziana na kupigana faini za kipuuzi.
 
Hapa umenikumbusha machungu niliyopitia wiki iliyopita. Nimetoka umbali wa takribani km 40 kwenda kituo cha Polisi kwa ajili ya kupewa hiyo sticker. Nilipofika nikaambiwa huyo Vehicle Inspector yupo na wanafunzi wa udereva. Nikamfuata kumuomba anisaidie niweze kupata hiyo sticker kwani nina safari ya kwenda kumuona mgonjwa. Nilijibiwa kuwa yupo na wanafunzi kuwa hawezi kunitolea control number kwa wakati huo hivyo nimsubirie hadi saa sita akimaliza. Kwa kuwa nilikuwa nasubiriwa nikasema hapa nikiendelea kusubiri itakuwa siyo sawa. Nikaondoka kwenda kwenye hiyo safari. Wakati narudi nikasimamishwa na askari wa usalama barabafani. Nikamueleaza vizuri tu kuwa sikuvunja sheria bali Vehicle alikuwa na majukumu mengine akashindwa kunihudumia. Basi nikaona hataki kunielewa baada ya mabishano ya muda mrefu akaniandikia faini. Nilipofika kwa Vehicle hata sikutaka kuongelea hilo suala kwa sababu nimeshaandikiwa na pengine ni dhumuni lilitakiwa kutimia. Namshukuru Mungu nimeshalipa hiyo faini japo iliniumiza kwa kweli naona nimeonewa kwa sababu nilifuata taratibu zote za kufikisha gari kukaguliwa kabla ya safari.
Ona sasa! Mambo gani haya!! Polisi wa nchi hii ni viumbe wenye roho mbaya sana. Halafu siyo waelewa hata kwenye mambo ya kawaida kabisa.
 
Faini za makosa barabarani kwa gari linaanza Tsh 30,000.
Na hata mimi pia nimepigwa faini hiyo hiyo kwa kukosa hiyo sticker! Je, kuna ulazima wa wamiliki wa magari kulazimishwa kuwa na hizo sticker na wakati ukija kwenye uhalisia hakuna ukaguzi wowote ule unaofanywa kwenye magari yetu? Huu si wizi wa mchana kabisa!
 
Kwa hiyo Comrade ingewezekana kweli wa wananchi wote wa nchi hii kuhudhuria hiyo wiki ya nenda kwa usalama, ili kupata hizo sticker? Nchi kubwa sana hii!

Sisi wengine tunaishi vijijini na tuna majukumu mengi. Hivyo siyo rahisi kusafiri kwenda mjini kuhudhuria hiyo wiki. Mimi nashauri askari waendelee kuwa nazo barabarani. Na kama nitasafiri na gari langu, alikague! Akiona lina sifa anipe hiyo sticker! Na siyo kuviziana na kupigana faini za kipuuzi.
Ni kweli ila kwa Nchi mfano Tanzania kila kitu ni fursa hapo washaifanya kua ni fursa kwao.
 
Sticker za nenda kwa usalama ni mradi wa wakubwa kupiga pesa ndefu sana.
Kuna msela Arusha huwa hakosi sticker kama 30,000 kwa mwaka mzima zipo tu na hukusanya 5,000 kwa kila sticker.
Anakwambia huo ni mradi wa namba wani wao nk.

Tate Mkuu umeanza kumiliki gari mwaka huu mkulungwa?
Mbona huu mradi ni wa miaka na miaka?

Kibaya zaidi hawakagui magari wanauza sticker kiholela tu.
Shida iliyopo, mimi nipo kijijini Comrade. Sasa nilipata safari ya kwenda Mkoa mwingine. Nikajiandaa kwa kila kitu. Kuanzia Bima, nk. Hayo mambo ya sticker ni mpaka uende kwa VECO ngazi ya kuanzia Wilaya huko! Jambo ambalo linatuwia vigumu kwa sisi watu wa pembezoni.
 
Back
Top Bottom