Je, ni ipi tofauti ya Mbowe, Kagame, Museveni, Nyerere na viongozi wa aina hiyo?

Nyerere Alikaa madarakani zaidi ya miaka 20, hakuna ishu ya maana aliofanya kwenye kuikomboa nchi na umasikini zaidi ya kupandikiza uoga kwa raia…
Hizi bangi nyingine zinazo wavuruga akili zitakuwa siyo za kawaida. Pengine kuna zaidi ya bangi zenyewe zinazo weza kuwaharibu akili kiasi hiki.

Ukija hapa na kusema unao "uhuru" wa kifikra; usisahau nilio nao mimi pia wa kujibu takataka kama hizi.
 
Yes, Kagame smart sana naona. Labda kwenye haki za binadamu na demokrasia amefeli.
 
Dr Megalodon,
WHO Regional Office, Ottawa, Canada
Duh!
Kumbe ni wewe, mwenye ile mada ya marehemu Faustine?
Naona uwepo wako huko majuu haukusaidii chochote katika kukuza uwezo wa fikra zako.
 
Mbowe kaongoza nchi gani weekend bwege?

Don’t compare baba ndubwi na viongozi wa nchi
 
Kwanini unasema Magufuli mpaka anakufa hakulitaja jina la Lissu?
Nakumbuka baadhi ya matukio
Na sio kwa ubishi bali jaribu kukumbuka tu
 
Umechelewa sana
Hapana nipo na time. I am 36 nipo kwenye prime age na muziki nimeshaupatia.

Kilichonichelewesha kutoboa before 25 yrs old ni Utumishi wa Umma
 
So "this is the bread of shame and we can't proud of that". Mmhhhh.....🤔🤔!
Canada ipi bro, tujuane majirani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…