Je, ni kitu gani ambacho hakina kasoro kabisa duniani?

Je, ni kitu gani ambacho hakina kasoro kabisa duniani?

Ndiyo kimeshindwa kufanya kazi yake kwa 100% efficiency hivyo.

Mara mtu anaumwa anapona.

Mara anapata bonge la ajali anapona.

Kingekuwa hakina kasoro kungekuwa hakuna mtu, wote tungekuwa tushakufa.

Kwa vile tupo, kina mapungufu, kinangojea tuzeeke tudhoofike ndiyo kinatuchukua wengine.

Mara unasikia kibibi kima miaka karibu 120 ndiyo kinakufa.

Hapo kifo kimezembea saana tu.

Tukiwa vijana wengi kinatushindwa.
[emoji3][emoji3][emoji3]

Sent from my CPH2219 using JamiiForums mobile app
 
Wewe ni mtu dhaifu sana,ndio maana mtu akikuchallenge unakimbilia kumuweka kwenye ignore list,hii ina maanisha kua hujiamini na huna self confidence,najua hii comment yangu hutaiona coz mimi ni mmoja wa uliowaweka kwenye igore list ila najua kua wale wote wanaokuabudu na wanaokubali kwa kila unalolisema watanisoma.
Cc Kiranga umepewa za uso huku na Mr "The Icebreaker" na ujumbe ukufikie.
 
You are very wrong rafiki.
Kumuelewa Kiranga inabidi na wewe upstairs pawe vizuri kidogo ila ukiwa empty set kama mimi hutamuelewa.

Kiranga sio wa kawaida sema tu namna anavyoongelea Mungu imefanya baadhi ya watu wachukulie negative kwa kila anachochangia.

Pia kinachofanya aonekane mbishi ni kwa sababu ya uelewe wake mkubwa katika mambo mengi ambayo wengi wetu tunafikiri tunayajua ila hatuyajui.

Trust me hii JF nzima watu wanaoweza kum challenge Kiranga sidhani kama wanafika 10.

Najifunza mengi kupitia Kiranga
Kijana asikudanganye mtu hakuna watu wajinga hapa duniani kuwazidi wakana Mungu na Wanafalsafa. Kwanza kujenga hoja hawajui pili waoga na wanakimbia maswali, tatu hakuna wanachokijua nje ya akili Yao. Sasa ukiangalia tu akili yenyewe kwa dhati yake Ina ukomo na Ina mapungufu, sasa vipi mtu anayetegemea akili tu peke yake kama kipimo cha kuujua ukweli na akawa na akili ?

Huyo unayemsema na wengine wengi wa mfano wao tumejadiliana nao sana humu ndani, mwisho wa siku wanakimbia wao na hoja hawana.
 
Wewe ni mtu dhaifu sana,ndio maana mtu akikuchallenge unakimbilia kumuweka kwenye ignore list,hii ina maanisha kua hujiamini na huna self confidence,najua hii comment yangu hutaiona coz mimi ni mmoja wa uliowaweka kwenye igore list ila najua kua wale wote wanaokuabudu na wanaokubali kwa kila unalolisema watanisoma.
Umeandika ya kweli kabisa, Mimi ni miongoni mwao ameniweka huko katika hiyo list.

Vijana wengi humu ndani wanapenda ushabiki, hasa yakija mambo yahusuyo Falsafa, Logic na Sayansi. Sasa wanahisi fani hizo tatu ni kila kitu. Wakati wapo mageiji wamezikosoa na hoja zipo.

Kingine vijana huwa hawasomi, mfano Kuna mmoja huwa anaufanya Kiranga, anaweka Contradiction anazo dai ni Contradiction, ukimuomba aonyeshe hizo contradiction au azijengaa hoja anakimbia anaishia kucopy na kupaste maneno mengi.

Ila mimi nilishamwambia popote nitakapo mkuta anaandika ujinga lazima nimchape tu, mpaka pale alipo amua kuni ignore hiyo ndiyo ilikuwa salama yake.
 
Sijaua kama umenielewa, achana na hayo mambo ya sijui ya kufa sujui kuharibika hatuongelie viumbe hai. Mimi nadharia zangu zime base kwenye physics ambapo ukisema thermodynamic hapa tunaongelea uhusiano ulipo kati ya heat, energy na work. Ukija upande wa quantum systems hii ina inaelezea tabia za matter na energy kwenye viwango vya atom na subatomic level (behavior of matter and energy at the atomic and subatomic level) sio mambo ya kufa na kuharibika


quantum systems can be isolated from the environment in a way that no energy is exchanged with the environment and no dissipation occurs, it's known as closed quantum system and they are considered to be the only systems that could have 100% efficiency.


skiza mkuu, labda tuseme kuna swich ya umeme inaweza kuwa OFF na ON, hii swich kwenye QS kwa wakati mmoja iyo swich inakua ipo ON na ipo OFF. Before the event ya ku predict. Ili kitu kiwe sanifu kwenye QS inabidi kiwe na hali zote mbili kwenye state kabla ya probability ya labda kipo ON ue OFF (Mambo ya Bayesian probability tutawapoteza watu)

Mkuu bado tupo kwenye stage ya tafiti, quantum computer bado sana. Ndo tupo kwenye stage za mwanzo processor za quantum computer

Sijajua mkuu labda hauna backgraound ya ya mambo ya pyhsics hasa advance
1.Gari si kiumbe hai, lakini nalo linaharibika (linaumwa) na linakufa. Linakunyw amafuta, linatoa uchafu.
So kufa si kwa viumbe hai tu.Ondoa neno kufa weka complete breakdown.

2. Hata mwili una matter, energy, atoms na unapoumwa na kufa ni matokeo ya kukongoroka. Ultimately hesabu zilezile za thermodynamics zinasababisha kifo cha viumbe hai.
Entropy increases with time, things break down and they finally reach complete breakdown, whether gari lisilo na uhai au mwili w amtu usio na uhai there is really no difference.The difference is superficial.

Unaelewa kwamba the second law of thermodynamics entail entropy and entropy is the only thing that distinguishes the arrow of time, the past and the future, and that anything that exists in time is subject to entropy and the second law of thermodynamics?

3. Kwenye quantum system narudia tena, anything that exists in time cannot be 100% efficient. Kwa sababu all time subjected system break down. The will need maintenance, and once you need maintenance you are not 100% efficient. 100% efficient means you don't need maintenance.

Pia, huwezi ku isolate quantum systems na enviroments kwa 100% efficiency wakati the very fabric of space time create and delete virtual particles all the time.Yani kuna vi particle huwa vinatokea out of empty space, vinakaa kwa muda mchache sana, halafu vinatoweka, all the time, anywhere you have space. So, how are you going to isolate your quantum system from these virual particles? Uta i isolate quantum system yako isiwe kwenye space?

4. Tetea tuhuma zako kwa hoja, usiseme tu sina background ya physics. Yani kusema hivyo kizembe bila kuonesha sababu tayari ushaonesha si mtu wa physics. Mtu wa physics anakwenda na data, anaonesha hapa umesema hivi na si sawa kwa sababu ya theory hii na hii na hivi na hivi. Wewe unaishia kusema tu.
Mimi nimeeleza entropy, second law of thermodynamics, quantum fluctuation etc.

Tetea hoja kwa msingi wa theories, laws, concept kama hivyo, usikimbilie kusema "huna background" tu. Hunijui.

Usipoelewa kwamba mwili wa mtu una atoms, na wenyewe unakwenda kwa kanuni z aquantum physics, unakwenda kwa kanuni za second law of thermodynamics, wewe ndiye unajionesha hujui physics.
 
Hakuna kasoro katika kuokoka, kuamin Yesu Kristo aliyemwokozi wako, kuliamin jina na damu take.

Ni kasoro sana kumwamin Kristo bila kuokaka.
Ni kasoro kumwamin Yesu Kristo bila kuliamin jina na damu yake.

Happy dominika kwa wote

[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Upungufu ni mtazamo wako ,wengine upungufu kwao ni neema na si mapungufu.

Kuna mdau amesema udongo/ardhi hauna mapungufu - Udongo upo wa aina nyingi kuna tifutifu ,mfinyazi ,kichanga etc kwa wengine waliopo kwenye udongo mfinyazi watakwambia una mapungufu kwasababu kipindi cha mvua ni majanga na pia hauwezi kupanda mihogo ila mtu wa sanaa za kutengeneza vyungu vya maua /majiko etc kwake si mapungufu bali ni neema , udongo wa kichanga kwa wenye sector ya ujenzi ni neema ila wachimba vyoo kwao ni mapungufu maana ukichimba vibaya unaweza kujizika mwenyewe.

Kweli mapungufu yanategemea na perception ya mtu
 
Mapungufu yanagunduliwa na binadamu
Na binadamu ana upungufu na upungufu wake tunafaham wengine wenye mapungufu.

Ili upungufu usiwepo hatuhitaji ku reason chochote hapo kutakua hamna mapungufu.

Mtu akiumwa acha afe, na mwili msiuzike mkiuzika mnarudi kwenye gurudumu la mapungufu😂

Kila kitu kibaki kama kilivyo, kutakua hamna existence bila mapungufu.

Kwasabab hata mahitaji basic ni sababu ya upungufu ndio tunayahitaji.
 
Cc Kiranga umepewa za uso huku na Mr "The Icebreaker" na ujumbe ukufikie.
Huyo ni troll anaugulia kuwa kwenye ignore list.

Kujibizana nami ni privilege, sio right.

Naweza kuiondoa muda wowote kwa mtu yeyote.

Mtu akishusha viwango vya mazungumzo na kunikosea heshima ya kawaida tu, namuweka ignore list bila kuona tabu.

Hususan nikiona troll analeta ugomvi na tunaenda kutukanana na kuchafua mazungumzo tu.

Augulie tu maumivu ya ku abuse privilege ya kujibizana nami.
 
Kaka una maswali mazito sana daaah, kongole kwako Kaka Chifu [emoji109]
Alikuwa hajaelewa.

Sikusema kasoro ni nothingness.

Nilisema nothingness ndiyo kisichoweza kuwa na kasoro.

Fuatilia muendelezo wa majibizano utaona muendeleo.
 
Natafuta kitu ambacho hakina kasoro hapa duniani, kitu kikamilifu kwa 100% kitu ambacho huwezi kukuta mawaa ndani yake.

Nimeangalia kama dini, zote zinamapungufu ndani yake.

Kama ni elimu zote zina mapungufu ndani yake, zimekosa majibu mengi.

Kama ni sera za vyama, sera za vuama vyote vimejaa mapungufu

Kama ni kazi za sanaa, zote zina kasoro.
Uumbaji
 
It is true, as you appose the Existence of God, that implies (in your imagination) God is a mere nothingness and so perfect.

Nothingness=perfection, God is perfect and can create every thing from the nothingness.
Atakupinga hapa, na ndipo huwa Watu humwona Kiranga ni wa kawaida sana maana kuna muda anajichanganya mwenyewe lakini hakubali kushindwa na kukiri kuwa kazidiwa hoja.

Anachonishangaza vitabu vya hao wanasayansi wake hadi dakika hii havijayakinisha ni nini haswa chanzo cha huu ulimwengu na maisha baada ya kifo huwa yakoje?

Lakini pamoja na mapungufu yao yote hao wanasayansi wake amekaza fuvu kuwaamini isipokuwa anakataa uwepo wa Mungu, kweli ubishi ni kipaji sawa na upumbavu tu [emoji1][emoji2960]
 
Back
Top Bottom