Je, ni kitu gani ambacho hakina kasoro kabisa duniani?

Je, ni kitu gani ambacho hakina kasoro kabisa duniani?

Katika uumbaji wa mungu vitu vyote alivyo umba yeye ndivyo vilipaswa viwe hivyo mleta Mada jibu analo kuwa hakuna kitu kilicho kamilika mzunguko wa maisha yetu unaunganisha kwa kutengemeana vitu, watu na wanyama NK..
 
Hivi kale kautamu ka orgasm wakati unataka kumwaga, kana kasoro ipi, wajuvi mnijuze.
 
Ndiyo kimeshindwa kufanya kazi yake kwa 100% efficiency hivyo.

Mara mtu anaumwa anapona.

Mara anapata bonge la ajali anapona.

Kingekuwa hakina kasoro kungekuwa hakuna mtu, wote tungekuwa tushakufa.

Kwa vile tupo, kina mapungufu, kinangojea tuzeeke tudhoofike ndiyo kinatuchukua wengine.

Mara unasikia kibibi kima miaka karibu 120 ndiyo kinakufa.

Hapo kifo kimezembea saana tu.

Tukiwa vijana wengi kinatushindwa.
Kifo kinakushindwaje wewe mavumbi tu?

Ebu tema mate chini ukiomba rehema na neema za Mungu zikuepushe kwa kufuru zako wewe mpofu wa akili
 
Mada nzuri sana.

Kwa upande wangu, Dunia Ina Kila aina ya Mapungufu kwa sababu ya Anguko la Adam na Hawa.
Kabla ya Anguko Dunia haikuwa na Mapungufu.

Kikubwa ni kumkiri Yesu kama Bwana na Mokozi wa Ulimwengu.

We amini tu hujachelewa.
Hautopongukiwa na chochote.
Kweli, Mungu pekee ndiye hana kasoro hata kwa 0.0001% sababu yeye ni yule yule, jana, leo na hata milele zote, amina.
 
Nimeperuseeee na kudadiiizzz hatimae nimefika ukurasa wa 13.

Usiku mwema.
 
Kifo kinakushindwaje wewe mavumbi tu?

Ebu tema mate chini ukiomba rehema na neema za Mungu zikuepushe kwa kufuru zako wewe mpofu wa akili
Kimenishindwa sasa hivi ndiyo maana nakujibu, kingeniweza sasa hivi nisingekujibu.

Au unafikiri nakujibu wakati nimekufa?
 
Natafuta kitu ambacho hakina kasoro hapa duniani, kitu kikamilifu kwa 100% kitu ambacho huwezi kukuta mawaa ndani yake.

Nimeangalia kama dini, zote zinamapungufu ndani yake.

Kama ni elimu zote zina mapungufu ndani yake, zimekosa majibu mengi.

Kama ni sera za vyama, sera za vuama vyote vimejaa mapungufu

Kama ni kazi za sanaa, zote zina kasoro.

Honestly, katika "dunia ya sasa" haman kitu ambambo kinafikia ufanisi wa 100%

Je, mapungufu yana upungufu katika upungufu wake? Kwa sababu mapungufu hayajakamilika?

Hivyo, je, kwa kuwa hayajakamilika katika kukamilika, yamekamilika katika upungufu wake?

Au, hayajakamilika hata kwenye upungufu, kwa kuwa yangekamilika kwenye upungufu yasingekuwapo na yasingejulikana kuwa ni mapungufu?

Ukifikiria sana utaona, kitu ambacho hakina mapungufu hakipo. Kipo, lakini, kuwapo kwake kuna maana hakipo.

Kitu hicho ni nothingness, nothingness ni kutokuwepo chochote, hata vacuum in space si nothingness, kwa sababu ina space. Nothingness yenyewe hata space haina. Haina space, haipo kwenye time. Haipo. Inafikirika tu.

Hiyo nothingness haipo. Kwa kuwa kuwapo kwake ni kutokuwapo.Ikiweza kuwapo nje ya hapo tu, inakuwa si nothingness tena.

Hiyo dhana ya nothingness, kinadharia, ndiyo haina makosa. Kwa sababu ina lowet entropy, hauwezi kupunguza entropy hapo. Huwezi kuharibu, ili uharibu, inabidi uitoe kwenye nothingness.

Hiyo nothingness ndiyo haina mapungufu.

Kitabu cha kusoma ni "Why Does The World Exist: An Existential Detective Story" cha Jim Holt.
Mkubwa, mpaka sijaua njia ya ku-prove nothingness kama in exist, ladha tuseme hata mathematics na physics haviwezi ku prove exists ya iyo "nothingness" pia inaweza ikawa sio 100% efficiency, what if "Kama "Haipo" - "Ipo".
labda kutetea hii hoja yako unipe mfano, lkn naona haina mashiko kusema inaweza kufikia 100% efficiency.


Kwenye thermodynamic ( Hamna kitu sipendi kama thermodynamic mathematics) pia, Kwenye mfumo wa Quantum System kuna nadharia mbili zinazo sanifu achievement ya 100% efficient.

1. Carnot Heat engine - hii model imesadifiwa kwenye misingi ya thermodynamic. bado ipo theoretically lkn ni moja ya kitu kinacho sadifiwa kufikua level za juu sana kwenye ufanisi (IKiwa implemented successful inafikia 100% efficiency)


2. Quantum system - moja ya system inayotarajiwa kuna ufanisi wa 100%. mfano "atom" mchanganuo wa tabia ya atom upo kwenye quantum mechanics ambapo atom in nnaweza ikawa kwenye hali mbili kwa wakati mmjoa (hapo hapo ni hasi, hapo hapo ni chanya) kumbuka Schrödinger's cat.

3. Kijajiza jazia hapo kwenye quantum system ni quantum computer. ni moja ya computer zitakazokua 100% efficiency kwenye ufanyaji kazi


Nimejaribu kutumia kiswahili napoweza ile wenzangu na mimi tuelewane. kazi ngumu sana
 
Unapomomonyoka unaenda wapi
Haijalishi unaenda wapi, point ni kwamba unamomonyoka.

Ukisoma jiolojia utajua udongo unavyobadilika na kuharibika, ndiyo maana tunahitaji mpoka mbolea.

Na unaharibika mpaka misitu inakuwa jangwa.

Zote kasoro hizo, ungekuwa hauna kasoro ungebaki ngangali tu.
 
Swali limekushika pabaya sana...[emoji1]

Sasa tukifa wote nani atashuhudia kuwa kifo kimeua wote ilihali sote tu Marehemu?

Uwe unakubali kushindwa wakati mwingine maana si lazima ujue kila kitu bali ujifunze kila kitu uwe na maarifa zaidi [emoji2]
Kwa hivyo tukifa wote tukakosa mtu wa kutushuhudia kuwa wote tumekufa maana yake ni nini sasa?

Maana yake hatujafa kwa sababu hakuna mtu wa kutushuhudia tumekufa?

Acha ujinga wewe.
 
If death was constantly perfect 100%, there would be no life.

The existence of life proves death is not perfect 100%.

We die every second (our cells die), but we don't die 100% every second.

So death struggles to kill us, until the day we finally die 100%, then it wins.

Since it struggles to kill us, all these years, it is not perfect 100%
The death is perfect per 100% because it is unpredictable due to our low thinking capacity to foresee it when it will happen (time), by which means and where?

Your reasons are not sufficiently enough to justify that the death is not perfect because it doesn't kill all of us Human beings hence there's no any one is gonna get a critical evidence on how the death has killed every person in this world without remaining of some Human beings to provide witness to others.

So the apparent reasons to criticize the death is not constantly perfect per 100% is out of your mindsets ability to clarify it effectively.
 
The perfect thing is immaterial and exits as a form or ideal of everything. Forms represent the perfection of what they represent such are the concepts like perfect sphere, triangle, square, etc. Perfection is only a concept and doesn’t exist anywhere except in the mind. It can only be imagined.
 
Energy is not perfect.

It is subject to entropy and the second law of thermodynamics.

It is subject to the expansion of the universe.

It is subject to quantum fluctuations.
Utility notion in Accountancy says that " if anything is continuously used at everyday is the way it reduces its natural energy and totally different when it can be compared by its energy before it was not started to do its work"

I can surely agree that the energy is not perfect at its effort existence.
 
Back
Top Bottom