Je, ni kitu gani ambacho hakina kasoro kabisa duniani?

Je, ni kitu gani ambacho hakina kasoro kabisa duniani?

Honestly, katika "dunia ya sasa" haman kitu ambambo kinafikia ufanisi wa 100%


Mkubwa, mpaka sijaua njia ya ku-prove nothingness kama in exist, ladha tuseme hata mathematics na physics haviwezi ku prove exists ya iyo "nothingness" pia inaweza ikawa sio 100% efficiency, what if "Kama "Haipo" - "Ipo".
labda kutetea hii hoja yako unipe mfano, lkn naona haina mashiko kusema inaweza kufikia 100% efficiency.


Kwenye thermodynamic ( Hamna kitu sipendi kama thermodynamic mathematics) pia, Kwenye mfumo wa Quantum System kuna nadharia mbili zinazo sanifu achievement ya 100% efficient.

1. Carnot Heat engine - hii model imesadifiwa kwenye misingi ya thermodynamic. bado ipo theoretically lkn ni moja ya kitu kinacho sadifiwa kufikua level za juu sana kwenye ufanisi (IKiwa implemented successful inafikia 100% efficiency)


2. Quantum system - moja ya system inayotarajiwa kuna ufanisi wa 100%. mfano "atom" mchanganuo wa tabia ya atom upo kwenye quantum mechanics ambapo atom in nnaweza ikawa kwenye hali mbili kwa wakati mmjoa (hapo hapo ni hasi, hapo hapo ni chanya) kumbuka Schrödinger's cat.

3. Kijajiza jazia hapo kwenye quantum system ni quantum computer. ni moja ya computer zitakazokua 100% efficiency kwenye ufanyaji kazi


Nimejaribu kutumia kiswahili napoweza ile wenzangu na mimi tuelewane. kazi ngumu sana
Hakuna kitu kinachokuwa subject ya time chenye 100% efficiency.

Kwa sababu, with time, everything breaks down.
100% efficiency maana yake kitu hakifi, hakiumwi, hakiharibiki.

Namba zako hapo juu.
1.Level ya juu sana kwenye ufanisi labda. 100% efficiency no. Tofautisha "most efficient" na 100% efficient.
2. Quantum systems are intrinsic probabilistic, so they can't have 100% efficiency.

3.Ukiangalia Quantum computers sasa hivi wanapata tabu sana kutengeneza kwa sababu ki movement kidogo tu kinaharibu computer.So you can't have that as an efficient system. Lakini hata uki solve practical problems, Qquantum computers zinaweza kuongeza efficiency sana, lakini hiyo haimaanishi zitakuwa na 100% efficiency.
Zinawez akufanya kazi ya miaka milioni moja ifanyike ndani ya masaa 24, but that is not 100% efficiency, kuna energy itapotea kama joto, kutakuwa na seek time, kuna speed of light barrier etc

Nothingness, kinadharia, inaweza kuwa na 100% efficiency.

Kwa sababu.

1. Haipo. Kwa kuwa haipo, haiwi subject kwa kitu chochote. Time, space, quantum fluctuations, the expansipn of the universe, energy fields etc. So, in theory, nothingness can have 100% efficiency at being nothingness.
2.The moment nothingness deviate from nothingness and no longer has 100% efficiency at being nothingness, it is no longer nothingness, that deviation disqualifies it from being nothingness.
3. Nothingness has the lowest possible entropy. The lower the entropy, the more order and perfection, so the lowest possible entropy = perfection, it can't get more perfect than that. You can't take anything from nothingness and make it less than nothingness.
 
Kasoro yake ni moja tu, hakina huruma. Hasa pale kifo kinapowachukua watoto waliozaliwa, hawana hata muda mrefu duniani. Hawajatimiza kusudi la maisha yao, kifo kinawabeba
Tatizo kifo chenyewe ni fumbo kwa kutojua roho ya Mtu huenda wapi akishakufa, laiti tungekuwa tunajua kuwa roho ya Mtu huenda pazuri zaidi kula bata kuliko katika hii sayari huenda kila Mtu angetamani kufa hata bila ya kutaka kuishi kwa siku hata 1 tu katika hii dunia [emoji16]

Cha ajabu hata nguvu itusababishayo kuishi "uhai/roho" nayo tumefumbwa maana tunaihisi tu lakini hatuwezi kuiona wala kuishika....[emoji38]

Pia tumefumbwa kabla ya kuzaliwa tulikuwa tunaishi wapi na namna gani tunaumbwa hadi kuwa viumbe hai daaah...unaweza kustaajabu ukuu wa Mungu hadi Watu wakahisi we ni Kichaa [emoji23][emoji137]

Hakika Mungu ni Mbabe.......[emoji28][emoji119]
 
The death is perfect per 100% because it is unpredictable due to our low thinking capacity to foresee it when it will happen (time), by which means and where?

Your reasons are not sufficiently enough to justify that the death is not perfect because it doesn't kill all of us Human beings hence there's no any one is gonna get a critical evidence on how the death has killed every person in this world without remaining of some Human beings to provide witness to others.

So the apparent reasons to criticize the death is not constantly perfect per 100% is out of your mindsets ability to clarify it effectively.
Unpredictability is not perfection.

Logical non sequitur.
 
Alikuwa binadamu kweli na Mungu kweli.
100% UBINADAMU
100% UUNGU.

UBINADAMU WA YESU.
- kuzaliwa.
-Njaa.
-Matusi.
-Vurugu Hekaluni.
-Kupotea Katika ukuaji.
-Kupitiwa na usingizi wakati chombo kikizama.
- kupigwa kufa nk.....

UUNGU WA YESU.
-Kupata mimba kwa uwezo wa Roho mtakatifu
- kufufua wafu.
-Miujiza mingi vipofu chakula nk.
  • Kutembea Juu ya Maji.
  • Kujibadirisha Mlimani.
  • Kufufuka Katika wafu.
  • Dunia Nzima kulikiri jina lake kama ni Mokozi wa Ulimwengu.
  • mwana falsafa no 1 Duniani.
NENO
-
UUNGU wa Yesu "hakuna kilichoumbwa pasipo au kupitia yeye"
 
Sex unajiua huku unajiona.

Madini unayopoteza ukifika kileleni "chromosomes" ni mengi sana na muhimu mno katika afya yako.

Wataalamu wanadai goli 1 ni sawa na Mtu aliyekimbia KM 7.

Wale tunaosimamia kucha hadi goli 3 mara 2 kwa wiki 1 = KM 42 kwa Ke mmoja.

Tukitoa ile wiki ya Ke kuwa ktk hedhi inamaana kwa mwezi mmoja = KM 126.

Ke wawili + Mchepuko mmoja = KM 378 kwa mwezi mmoja tu.

Ke watatu kwa mwaka mmoja = KM 4, 536/=

Wataalamu wanadai unatakiwa uwe unapata vyakula vya kujenga mwili (nutritional foods) siyo kujaza tumbo angalau kwa wiki 1(7days) ndipo utaweza kurudisha goli 1 lenye uwezo wa kutungisha ujauzito.

Mfano wa vyakula vya kujenga mwili ni;

  • Supu ya samaki/kuku wa kienyeji.
  • Maziwa.
  • Asali mbichi ya nyuki wadogo.
  • Matunda (
  • Mboga mboga.
  • Mchanganyiko wa unga wa mahindi, mtama, ulezi, uwele, ngano, mchele.
  • Vyakula vya mbegu mbegu "soya, maharagwe, dengu, kunde, choroko, mbaazi, ngegere, njugu mawe, korosho, karanga mbichi, ufuta.
  • Tende, nazi nk.

Swali, kwa maisha yapi wa-TZ tuliyonayo hadi tuwe na uhakika wa kugharamia mlo kamili kama huo?

Wakuu dunia ni pana sana na elimu ya maarifa ni zaidi ya bahari hapa ulimwengu ni [emoji1732][emoji847]
 
Hata Yesu mwenyewe hakuwa na ukamilifu wa kimungu 100% ndo maana bado alikuwa akimtegemea Mungu mwenyewe...
 
Kwani wewe ulipo kuna chombo chochote umekituma hapa nilipo ili ujue nipo?

Au unanijibu kwa nadharia tu?

Ushawahi kusikia Hubbke Telescope, James Webb Telescope, Spitzer Telescope, SOHO, STEREO, SDO?

Au hayo majina ni "mashikolo mageni" ndiyo unayasikia leo?

Images can never be used for such analysis...it's just theories
 
Images can never be used for such analysis...it's just theories
Sawa, hata haya maandishi hapa ni images tu, it's just theories, kwa hiyo acha kujibizana na mimi.

Kwanza hata sipo, it's just theories.
 
Hakuna kitu kinachokuwa subject ya time chenye 100% efficiency.

Kwa sababu, with time, everything breaks down.
100% efficiency maana yake kitu hakifi, hakiumwi, hakiharibiki.
Sijaua kama umenielewa, achana na hayo mambo ya sijui ya kufa sujui kuharibika hatuongelie viumbe hai. Mimi nadharia zangu zime base kwenye physics ambapo ukisema thermodynamic hapa tunaongelea uhusiano ulipo kati ya heat, energy na work. Ukija upande wa quantum systems hii ina inaelezea tabia za matter na energy kwenye viwango vya atom na subatomic level (behavior of matter and energy at the atomic and subatomic level) sio mambo ya kufa na kuharibika
Namba zako hapo juu.
1.Level ya juu sana kwenye ufanisi labda. 100% efficiency no. Tofautisha "most efficient" na 100% efficient.

quantum systems can be isolated from the environment in a way that no energy is exchanged with the environment and no dissipation occurs, it's known as closed quantum system and they are considered to be the only systems that could have 100% efficiency.

2. Quantum systems are intrinsic probabilistic, so they can't have 100% efficiency.
skiza mkuu, labda tuseme kuna swich ya umeme inaweza kuwa OFF na ON, hii swich kwenye QS kwa wakati mmoja iyo swich inakua ipo ON na ipo OFF. Before the event ya ku predict. Ili kitu kiwe sanifu kwenye QS inabidi kiwe na hali zote mbili kwenye state kabla ya probability ya labda kipo ON ue OFF (Mambo ya Bayesian probability tutawapoteza watu)
3.Ukiangalia Quantum computers sasa hivi wanapata tabu sana kutengeneza kwa sababu ki movement kidogo tu kinaharibu computer.So you can't have that as an efficient system. Lakini hata uki solve practical problems, Qquantum computers zinaweza kuongeza efficiency sana, lakini hiyo haimaanishi zitakuwa na 100% efficiency.
Zinawez akufanya kazi ya miaka milioni moja ifanyike ndani ya masaa 24, but that is not 100% efficiency, kuna energy itapotea kama joto, kutakuwa na seek time, kuna speed of light barrier etc
Mkuu bado tupo kwenye stage ya tafiti, quantum computer bado sana. Ndo tupo kwenye stage za mwanzo processor za quantum computer
Nothingness, kinadharia, inaweza kuwa na 100% efficiency.

Kwa sababu.

1. Haipo. Kwa kuwa haipo, haiwi subject kwa kitu chochote. Time, space, quantum fluctuations, the expansipn of the universe, energy fields etc. So, in theory, nothingness can have 100% efficiency at being nothingness.
2.The moment nothingness deviate from nothingness and no longer has 100% efficiency at being nothingness, it is no longer nothingness, that deviation disqualifies it from being nothingness.
3. Nothingness has the lowest possible entropy. The lower the entropy, the more order and perfection, so the lowest possible entropy = perfection, it can't get more perfect than that. You can't take anything from nothingness and make it less than nothingness.
Sijajua mkuu labda hauna backgraound ya ya mambo ya pyhsics hasa advance
 
You are very wrong rafiki.
Kumuelewa Kiranga inabidi na wewe upstairs pawe vizuri kidogo ila ukiwa empty set kama mimi hutamuelewa.

Kiranga sio wa kawaida sema tu namna anavyoongelea Mungu imefanya baadhi ya watu wachukulie negative kwa kila anachochangia.

Pia kinachofanya aonekane mbishi ni kwa sababu ya uelewe wake mkubwa katika mambo mengi ambayo wengi wetu tunafikiri tunayajua ila hatuyajui.

Trust me hii JF nzima watu wanaoweza kum challenge Kiranga sidhani kama wanafika 10.

Najifunza mengi kupitia Kiranga
* Vipi kama wewe mwenyewe ndiye Kiranga kupitia fake ID, tukuaminije?

* Pia umefanya lini uchunguzi wa wana JF wote na kupata ushahidi wa unachokisema?

* Muda upi ulitumia?

* Njia/methodology ipi ulizotumia?

* Mbinu/techniques zipi ulitumia?

* Eneo gani/case study ulitumia?

* Walengwa wapi uliwafikia?

* Maswali yapi uliyatumia?

* Viambatanisho vya machapisho yapi/Reference zipi ulitumia?

* Title/Kichwa kikuu cha mada gani ulitumia?

* Akina nani waliosimamia zoezi zima la utafiti wako( ni nani na lilipitia ngazi zipi kutathmini Title, Proposal na Dissertation climax)?

NB:

Sijaweka vigezo vyote vyakufanya utafiti sababu ya muda, bado naendelea kujifunza vitu hapa kupitia jumbe za Watu mbali mbali.

Huna unachokijua na hupaswi kuhukumu Mtu yeyote humu, huna haki ya kuwakikishia Watu kuwa Kiranga ana akili zaidi kupita Watu wengi humu JF kwa makadirio ya Watu 10 tu bila utafiti na ushahidi wowote ule.

Una uhuru wa kujadili hoja ila usivuke mipaka kujisahau na kujiona unajua zaidi kuliko wote humu JF.

Kujiona kwako unajua zaidi kuliko wote humu JF ndiyo kasoro yako yenyewe hiyo, badilika haraka sana...chukua hatua...haki elimu [emoji375][emoji375].
 
Wewe utakua humjui vizuri huyo punguani,hua anajifanya much know sana,na hata akielekezwa jambo hua hakubali coz amejiaminisha kua yeye humu jf ndio genius au anajua kila kitu kuliko wengine,acha kumuabudu huyu mtu,ni wakawaida sana,ubishi wake wa kitoto ndio maana watu hua wanamuignore kisha yeye hua anatafsiri kua ameshinda,

Au unambabaikia kisa hua anachanganya na lugha ya mkoloni? maana kuna watu mmekariri kua mtu akiandika kingereza basi ndio ana akili,huyo jamaa yako ukimchallenge anaishia kukuweka kwenye ignore list tu,anapenda watu kama wewe wanaomuabudu tu.
.
 
Natafuta kitu ambacho hakina kasoro hapa duniani, kitu kikamilifu kwa 100% kitu ambacho huwezi kukuta mawaa ndani yake.

Nimeangalia kama dini, zote zinamapungufu ndani yake.

Kama ni elimu zote zina mapungufu ndani yake, zimekosa majibu mengi.

Kama ni sera za vyama, sera za vuama vyote vimejaa mapungufu

Kama ni kazi za sanaa, zote zina kasoro.

Hakuna zaidi ya kifo
 
Maoni ya wana jamii forum yana chekesha sana.

Vipo vitu kadhaa havina kasoro, yaani vyenyewe tu kuwepo kwake ni ukamilifu, Kuna mmoja anasema kifo ni kasoro ukisoma anachokiandika anadhihirisha hakijui kifo. Kufa mmoja mmoja huo ni utaratibu tu ushawekwa sababu kila kiumbe kina muda wake wa kufa.

Vitu ambavyo havina kasoro ni :

1. Mola muumba

2. Sifa zake, majina yake na matendo yake

3. Uislamu

4. Vitabu vyake yaani Msahafu wa Ibrahimu, Taurati ya Musa, Zaburi ya Dauti, Injili ya Issa na Qur'aan ya Muhammad

5. Muda hauna kasoro, Kuna mtu anajenga hoja ya Time dilation, Sasa time dilation Ina mafungamano gani na muda ?

6. Njia walizotumia mitume na manabii kufikisha ujumbe hazina kasoro.
 
Back
Top Bottom