Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 78,790
- 128,275
Kifo kinasuasua mpaka kimekuruhusu uwepo JF.Kifo!! Hakina kasoro Wala upendeleo...... Vilivyobakia vyoote ni ubatili
Sent using Jamii Forums mobile app
Kingekuwa hakina kasoro usingeweza hata kuzaliwa wewe.
Hapo ulipo unakufa polepole kwa sababu kifo kina kasoro, hakiwezi kukuua mara moja kinavizia uumwe, uzeeke, upate ajali etc.