Pang Fung Mi
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 6,653
- 13,919
Ndio kwa mimi sijui wewe, na ni Siri yanguKwanini? Umeshawahi kumuona?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio kwa mimi sijui wewe, na ni Siri yanguKwanini? Umeshawahi kumuona?
Mkuu,Kwani uwepo wa Yesu kunahusiana vipi na uwepo wa Mungu?
Mungu kukaa na siri pekee yake ndiyo kasoro yake.Ndio kwa mimi sijui wewe, na ni Siri yangu
Ukilazimishwa si utatapika.Wewe hata hujuinunataka kusema nini.
Unanilazimisha kwamba nitaandika unavyotaka wewe?
Nitaandika lini? Weka tarehe na saa hapa turejee.
HakikaNi Mungu peke yake tu
Muda sio kitu halisiMuda/time
Mungu hawajibiki kwa yeyote na kwa chochote.Mungu kukaa na siri pekee yake ndiyo kasoro yake.
Kutokuwajibika kwa yeyote na kwa chochote ndio kasoro zenyewe.Mungu hawajibiki kwa yeyote na kwa chochote.
Maana yeye hawajibiki kwa yeyote yule wala chochote kileHakika
Una uhakika gani kuwa kinamvizia mmoja mmoja, ikiwa aliyekiratibu ndivyo alivyoona kinampasa kutenda hivyo we ni nani hadi ukikatalie hakina ukamilifu?Kifo kina kasoro ndiyo maana kimeshindwa kuua watu wote kwa pamoja.
Kinavizia mmoja mmoja.
Kimeshindwa kufanya kazi yake kinyambisi.
Natafuta kitu ambacho hakina kasoro hapa duniani, kitu kikamilifu kwa 100% kitu ambacho huwezi kukuta mawaa ndani yake.
Nimeangalia kama dini, zote zinamapungufu ndani yake.
Kama ni elimu zote zina mapungufu ndani yake, zimekosa majibu mengi.
Kama ni sera za vyama, sera za vuama vyote vimejaa mapungufu
Kama ni kazi za sanaa, zote zina kasoro.
Yeye ni Alfa na Omega, everything is superior to something.Kutokuwajibika kwa yeyote na kwa chochote ndio kasoro zenyewe.
Akikujibu unistue tafadhaliKikiondoa watu wote kwa pamoja nani atamsitiri mwenzake?
Kwanini yeye ni Alfa na Omega? Hii ndiyo inamfanya asiwe na kasoro?Yeye ni Alfa na Omega, everything is superior to something.
Kwani wewe ulipo kuna chombo chochote umekituma hapa nilipo ili ujue nipo?Kuna chombo chochote kilichotumwa kwenye jua,au ni nadharia tu ulizoamua kuzibugia Kama dawa!?
Jela mbali sana, selo tu au lock up za Mapolisi ndipo utaelewa muda haukimbii hata kwa . tu [emoji1787]Ila ukiwa Jela unaona kabisa kua Muda hauendi.