Je, ni kitu gani ambacho hakina kasoro kabisa duniani?

[emoji3][emoji3][emoji3]

Sent from my CPH2219 using JamiiForums mobile app
 
Cc Kiranga umepewa za uso huku na Mr "The Icebreaker" na ujumbe ukufikie.
 
Kijana asikudanganye mtu hakuna watu wajinga hapa duniani kuwazidi wakana Mungu na Wanafalsafa. Kwanza kujenga hoja hawajui pili waoga na wanakimbia maswali, tatu hakuna wanachokijua nje ya akili Yao. Sasa ukiangalia tu akili yenyewe kwa dhati yake Ina ukomo na Ina mapungufu, sasa vipi mtu anayetegemea akili tu peke yake kama kipimo cha kuujua ukweli na akawa na akili ?

Huyo unayemsema na wengine wengi wa mfano wao tumejadiliana nao sana humu ndani, mwisho wa siku wanakimbia wao na hoja hawana.
 
Kuwepo kwa upepo kunahusiana vipi na Mwenyezi Mungu uliyemtaja kuwa hana kasoro?
Thibitisha uwepo wa upepo kimuonekano na kiumbo ili tuuone na kuushika, kama huwezi lakini unakubali upo basi tusipotezeane muda kukataa Mungu hayupo.
 
Umeandika ya kweli kabisa, Mimi ni miongoni mwao ameniweka huko katika hiyo list.

Vijana wengi humu ndani wanapenda ushabiki, hasa yakija mambo yahusuyo Falsafa, Logic na Sayansi. Sasa wanahisi fani hizo tatu ni kila kitu. Wakati wapo mageiji wamezikosoa na hoja zipo.

Kingine vijana huwa hawasomi, mfano Kuna mmoja huwa anaufanya Kiranga, anaweka Contradiction anazo dai ni Contradiction, ukimuomba aonyeshe hizo contradiction au azijengaa hoja anakimbia anaishia kucopy na kupaste maneno mengi.

Ila mimi nilishamwambia popote nitakapo mkuta anaandika ujinga lazima nimchape tu, mpaka pale alipo amua kuni ignore hiyo ndiyo ilikuwa salama yake.
 
1.Gari si kiumbe hai, lakini nalo linaharibika (linaumwa) na linakufa. Linakunyw amafuta, linatoa uchafu.
So kufa si kwa viumbe hai tu.Ondoa neno kufa weka complete breakdown.

2. Hata mwili una matter, energy, atoms na unapoumwa na kufa ni matokeo ya kukongoroka. Ultimately hesabu zilezile za thermodynamics zinasababisha kifo cha viumbe hai.
Entropy increases with time, things break down and they finally reach complete breakdown, whether gari lisilo na uhai au mwili w amtu usio na uhai there is really no difference.The difference is superficial.

Unaelewa kwamba the second law of thermodynamics entail entropy and entropy is the only thing that distinguishes the arrow of time, the past and the future, and that anything that exists in time is subject to entropy and the second law of thermodynamics?

3. Kwenye quantum system narudia tena, anything that exists in time cannot be 100% efficient. Kwa sababu all time subjected system break down. The will need maintenance, and once you need maintenance you are not 100% efficient. 100% efficient means you don't need maintenance.

Pia, huwezi ku isolate quantum systems na enviroments kwa 100% efficiency wakati the very fabric of space time create and delete virtual particles all the time.Yani kuna vi particle huwa vinatokea out of empty space, vinakaa kwa muda mchache sana, halafu vinatoweka, all the time, anywhere you have space. So, how are you going to isolate your quantum system from these virual particles? Uta i isolate quantum system yako isiwe kwenye space?

4. Tetea tuhuma zako kwa hoja, usiseme tu sina background ya physics. Yani kusema hivyo kizembe bila kuonesha sababu tayari ushaonesha si mtu wa physics. Mtu wa physics anakwenda na data, anaonesha hapa umesema hivi na si sawa kwa sababu ya theory hii na hii na hivi na hivi. Wewe unaishia kusema tu.
Mimi nimeeleza entropy, second law of thermodynamics, quantum fluctuation etc.

Tetea hoja kwa msingi wa theories, laws, concept kama hivyo, usikimbilie kusema "huna background" tu. Hunijui.

Usipoelewa kwamba mwili wa mtu una atoms, na wenyewe unakwenda kwa kanuni z aquantum physics, unakwenda kwa kanuni za second law of thermodynamics, wewe ndiye unajionesha hujui physics.
 
Hakuna kasoro katika kuokoka, kuamin Yesu Kristo aliyemwokozi wako, kuliamin jina na damu take.

Ni kasoro sana kumwamin Kristo bila kuokaka.
Ni kasoro kumwamin Yesu Kristo bila kuliamin jina na damu yake.

Happy dominika kwa wote

[emoji23][emoji23][emoji23]
 

Kweli mapungufu yanategemea na perception ya mtu
 
Mapungufu yanagunduliwa na binadamu
Na binadamu ana upungufu na upungufu wake tunafaham wengine wenye mapungufu.

Ili upungufu usiwepo hatuhitaji ku reason chochote hapo kutakua hamna mapungufu.

Mtu akiumwa acha afe, na mwili msiuzike mkiuzika mnarudi kwenye gurudumu la mapungufu😂

Kila kitu kibaki kama kilivyo, kutakua hamna existence bila mapungufu.

Kwasabab hata mahitaji basic ni sababu ya upungufu ndio tunayahitaji.
 
Cc Kiranga umepewa za uso huku na Mr "The Icebreaker" na ujumbe ukufikie.
Huyo ni troll anaugulia kuwa kwenye ignore list.

Kujibizana nami ni privilege, sio right.

Naweza kuiondoa muda wowote kwa mtu yeyote.

Mtu akishusha viwango vya mazungumzo na kunikosea heshima ya kawaida tu, namuweka ignore list bila kuona tabu.

Hususan nikiona troll analeta ugomvi na tunaenda kutukanana na kuchafua mazungumzo tu.

Augulie tu maumivu ya ku abuse privilege ya kujibizana nami.
 
Kaka una maswali mazito sana daaah, kongole kwako Kaka Chifu [emoji109]
Alikuwa hajaelewa.

Sikusema kasoro ni nothingness.

Nilisema nothingness ndiyo kisichoweza kuwa na kasoro.

Fuatilia muendelezo wa majibizano utaona muendeleo.
 
Uumbaji
 
It is true, as you appose the Existence of God, that implies (in your imagination) God is a mere nothingness and so perfect.

Nothingness=perfection, God is perfect and can create every thing from the nothingness.
Atakupinga hapa, na ndipo huwa Watu humwona Kiranga ni wa kawaida sana maana kuna muda anajichanganya mwenyewe lakini hakubali kushindwa na kukiri kuwa kazidiwa hoja.

Anachonishangaza vitabu vya hao wanasayansi wake hadi dakika hii havijayakinisha ni nini haswa chanzo cha huu ulimwengu na maisha baada ya kifo huwa yakoje?

Lakini pamoja na mapungufu yao yote hao wanasayansi wake amekaza fuvu kuwaamini isipokuwa anakataa uwepo wa Mungu, kweli ubishi ni kipaji sawa na upumbavu tu [emoji1][emoji2960]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…