Interlacustrine E
JF-Expert Member
- Jun 3, 2020
- 3,397
- 6,015
Death is constantly perfect per 100%Natafuta kitu ambacho hakina kasoro hapa duniani, kitu kikamilifu kwa 100% kitu ambacho huwezi kukuta mawaa ndani yake.
Nimeangalia kama dini, zote zinamapungufu ndani yake.
Kama ni elimu zote zina mapungufu ndani yake, zimekosa majibu mengi.
Kama ni sera za vyama, sera za vuama vyote vimejaa mapungufu
Kama ni kazi za sanaa, zote zina kasoro.
Wewe kwa nini nafikiria unachofikiria halafu nacheka?Natamani kutaja ila basi tu
Umevuta ya wapi ndugu yetu?Hakuna kasoro katika kuokoka, kuamin ni Yesu Kristo aliyemwokozi wako, kuliamin jina na damu take.
Ni kasoro sana kumwamin Kristo bila kuokaka.
Ni kasoro kumwamin Yesu Kristo bila kuliamin jina na damu yake.
Happy dominika kwa wote
Mkuu,mbona kama umejichanganya? kwani nini tofauti ya Umri na Muda? mtu akukuuliza una umri gani si utataja muda/Umri/Age uliopo hapa Duniani?Uzee sio umri ila ni matokeo ya umri,umri ni matokeo ya muda(time)
Ya kwa mwakasegeUmevuta ya wapi ndugu yetu?
Waliomkiri Yesu hua hawana mapungufu?Mada nzuri sana.
Kwa upande wangu, Dunia Ina Kila aina ya Mapungufu kwa sababu ya Anguko la Adam na Hawa.
Kabla ya Anguko Dunia haikuwa na Mapungufu.
Kikubwa ni kumkiri Yesu kama Bwana na Mokozi wa Ulimwengu.
We amini tu hujachelewa.
Hautopongukiwa na chochote.
If death was constantly perfect 100%, there would be no life.Death is constantly perfect per 100%
Pole sana.Ya kwa mwakasege
Na chenyewa kina kasoro coz hakiangalii wakati, mdogo, na mipango ya mfuKifo..
Kinakujaga tu kiroho safi muda wake ukifika
Hakina kelele wala mbambamba
Hakiangalii nani ni nani, kinatoa haki sawa kwa wote
Energy is not perfect.Energy
Kasoro yake ni moja tu, hakina huruma. Hasa pale kifo kinapowachukua watoto waliozaliwa, hawana hata muda mrefu duniani. Hawajatimiza kusudi la maisha yao, kifo kinawabebaDeath is constantly perfect per 100%
Hata kasoro inaweza kuwa na kasoro katika kuwa na kasoro.Ambacho hakina kasoro ni kasoro yenyewe
Alikuja kuishi kama mwanadam, ile hali ya uungu ndani yake haikuwepo.
Kwa hiyo alihisi njaa, furaha na maumivu na alichoka
SexNatamani kutaja ila basi tu
Vinazeeka na kushindwa kazi.Mbunye na dushe havina kasoro