Je, ni kitu gani ambacho hakina kasoro kabisa duniani?

Je, ni kitu gani ambacho hakina kasoro kabisa duniani?

Not rea

Namfatilia Kiranga kwa karibia miaka 10 sasa.
Niko JF miaka mingi kama msomaji so ugeni wa ID yangu usikudanganye.
Kiranga ni "punguani" sababu anaongelea imani zetu kwa namna ambayo hatupendi japo hatuna facts za kum prove wrong hivyo inabidi tuishie kumtukana tu..
Watanzania wengi hatuna utamduni wa kupanua uelewa kwa kujisomea vitabu halafu unajukuta mnachangia mada na mtu asiyejua idadi ya vitabu alivyosoma lazima uone anajifanya much know.Hajifanyi much know yeye ni much know sbb ana know [emoji16] ukilinganisha na wengi wetu.
Naomba nikuukize,kwa sasa unasoma kitabu gani?
Mpaka sasa mbali ya biblia/Quran umesoma kutabu gani?
Mpaka sasa hivi umeshasoma vitabu vingapi?.
Narudia,huwezi kumuelewa Kiranga kama IQ yako ni ndogo sana.
Mkuu asante sana kwa kunitambua.

Mimi si genius, nafanya kazi sana kutafuta mambo.

Leo sijisikii kabisa kugombana na mtu na kuharibu uzi huu mzuri.

Mimi si mada na wala sitaki kujifanya kuwa mada. Huyo mtu simjibu kuepusha rabsha kwenye uzi huu mzuri.

Shukurani sana.
 
Mkuu asante sana kwa kunitambua.

Mimi si genius, nafanya kazi sana kutafuta mambo.

Leo sijisikii kabisa kugombana na mtu na kuharibu uzi huu mzuri.

Mimi si mada na wala sitaki kujifanya kuwa mada. Huyo mtu simjibu kuepusha rabsha kwenye uzi huu mzuri.

Shukurani sana.
Naona mtu wangu wa nguvu umepotezea swali langu.
 
Not rea

Namfatilia Kiranga kwa karibia miaka 10 sasa.
Niko JF miaka mingi kama msomaji so ugeni wa ID yangu usikudanganye.
Kiranga ni "punguani" sababu anaongelea imani zetu kwa namna ambayo hatupendi japo hatuna facts za kum prove wrong hivyo inabidi tuishie kumtukana tu..
Watanzania wengi hatuna utamduni wa kupanua uelewa kwa kujisomea vitabu halafu unajukuta mnachangia mada na mtu asiyejua idadi ya vitabu alivyosoma lazima uone anajifanya much know.Hajifanyi much know yeye ni much know sbb ana know 😁 ukilinganisha na wengi wetu.
Naomba nikuukize,kwa sasa unasoma kitabu gani?
Mpaka sasa mbali ya biblia/Quran umesoma kutabu gani?
Mpaka sasa hivi umeshasoma vitabu vingapi?.
Narudia,huwezi kumuelewa Kiranga kama IQ yako ni ndogo sana.
Wewe nae ni kama huyo tu unayetokwa povu kwa ajili yake,hoja zako na viswali vyako ni vya kijinga sana,nani amekuaminisha kua njia ya kupata knowledge ni kusoma vitabu pekee? Dunia inakwenda mbele ila wewe unarudi nyuma,teknolojia imerahisisha mambo acha kukariri,huyo unayembabaikia hapa ingekua anajua basi angekubali challenge na sio kukimbilia kuweka kwenye ignore list kwa kila anaye mpiga,unaoneka upstairs huna kitu ndio maana huyo mtu unamuona ni bonge la genius kwako.
 
Kama wewe unaamini upepo ambao haujawahi kuuona unashangaa nini mimi kumuamini mwenyezi Mungu?
Hapa tunaongelea kasoro au tunaongelea imani?
Sasa upepo kutokuonekana ndio kasoro yake. Ndio maana nikakuuliza umewahi kumuona Mungu. Unaleta mifano kibao. Sasa kutokumuona Mungu huoni kuwa hiyo ndiyo kasoro yake?
 
Naona mtu wangu wa nguvu umepotezea swali langu.
Post namba ngapi mkuu? Nakuhakikishia sikupotezea kwa makusudi hapa post nyingi tu. Halafu natumia simu siwezi kufuatilia quotes na mentions zote vizuri.

Yani nipo nakula reggae hapa nipo love and i-nity vibaya sana leo hata fujo sina.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hapa tunaongelea kasoro au tunaongelea imani?
Sasa upepo kutokuonekana ndio kasoro yake. Ndio maana nikakuuliza umewahi kumuona Mungu. Unaleta mifano kibao. Sasa kutokumuona Mungu huoni kuwa hiyo ndiyo kasoro yake?
Hivi unajua maana ya kasoro?
 
Mkuu asante sana kwa kunitambua.

Mimi si genius, nafanya kazi sana kutafuta mambo.

Leo sijisikii kabisa kugombana na mtu na kuharibu uzi huu mzuri.

Mimi si mada na wala sitaki kujifanya kuwa mada. Huyo mtu simjibu kuepusha rabsha kwenye uzi huu mzuri.

Shukurani sana.
Multiple ID's raha sana aisee,unajisifia kisha unajishukuru.

😛 😛 😛 😛
 
Back
Top Bottom