Venus Star
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 26,519
- 78,311
Ndio maana nimeuliza tangu mwanzo kasoro ni nini? Je, kasoro inapimwa au haipimwi?Hivi unajua maana ya kasoro?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio maana nimeuliza tangu mwanzo kasoro ni nini? Je, kasoro inapimwa au haipimwi?Hivi unajua maana ya kasoro?
#94Post namba ngapi mkuu? Nakuhakikishia sikupotezea kwa makusudi hapa post nyingi tu. Halafu natumia simu siwezi kufuatilia quotes na mentions zote vizuri.
Yani nipo nakula reggae hapa nipo love and i-nity vibaya sana leo hata fujo sina.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hivi haya yanahusiana vp na maada husikaAlikuwa binadamu kweli na Mungu kweli.
100% UBINADAMU
100% UUNGU.
UBINADAMU WA YESU.
- kuzaliwa.
-Njaa.
-Matusi.
-Vurugu Hekaluni.
-Kupotea Katika ukuaji.
-Kupitiwa na usingizi wakati chombo kikizama.
- kupigwa kufa nk.....
UUNGU WA YESU.
-Kupata mimba kwa uwezo wa Roho mtakatifu
- kufufua wafu.
-Miujiza mingi vipofu chakula nk.
NENO
- Kutembea Juu ya Maji.
- Kujibadirisha Mlimani.
- Kufufuka Katika wafu.
- Dunia Nzima kulikiri jina lake kama ni Mokozi wa Ulimwengu.
- mwana falsafa no 1 Duniani.
-
Hapo kwenye kusimamia hoja ndio tatizo kubwa lilipo.Kuna Wabongo wengi hawajui kupingana kwa hoja, ukimpinga hoja yake anaona kama umemshambulia yeye binafsi.
Kibaya zaidi, anaacha kukujibu kwa kupinga hoja zako, anakushambulia wewe kama mtu (ad hominem attack). Hii ni daliki ya kukosa hoja.
Mimi siogopi kuambiwa mbishi. Hakuna maendeleo ya fikra bila ubishi.
Watu waliotengeneza computers, internet na email walifanya ubishi kubishia barua za kawaida na typewriters.
Wengine wakafanya ubishi wakaweka internet kwenye cellphone.
Usiseme Kiranga mbishi, onesha ubishi wake una kasoro gani? Hoja zake zina mantiki au hazina mantiki?
Kwa sababu, mtu anaweza kuwa anakukubalia kila kitu tu, hana ubishi, halafu hana mantiki. Mnakubaliana ujinga tu.
Halafu anayekuletea ubishi ndiye anayeleta mantiki nzuri.
Tusikubali kwamba ubishi kama ubishi tu ni kitu kibaya.
Hata Galileo alipoiambia dunia kwamba dunia inazunguka jua, jua halizunguki dunia, alionekana mbishi.
Leo watu wamekubali, mpaka kanisa lililompinga limeomba msamaha na kusema yule tulimuona mbishi, lakini alikuwa na akiki kubwa iliyokuwa mbali sana kiasi miaka ile hatukumuelewa.
Sasa hapa pia inawezekana naonekana mbishi kwa sababu watu hawaelewi vitu vingi tu kama unavyosema.
Vitu vyenyewe basic tu, basi tu watu wetu wengi wako nyuma sana.
Ila saa moja imebaki na sekunde 60 na haijawahi kupungua wala kuongezeka.Muda nao unakimbia sana hio ni kasoro
Umeiangalia weee ukaona haina kasoro?Natamani kutaja ila basi tu
SpaceNatafuta kitu ambacho hakina kasoro hapa duniani, kitu kikamilifu kwa 100% kitu ambacho huwezi kukuta mawaa ndani yake.
Nimeangalia kama dini, zote zinamapungufu ndani yake.
Kama ni elimu zote zina mapungufu ndani yake, zimekosa majibu mengi.
Kama ni sera za vyama, sera za vuama vyote vimejaa mapungufu
Kama ni kazi za sanaa, zote zina kasoro.
Sio kweli sababu kimeshindwa kuelezea baadhi ya mysterious questionQuran tukufu...hiki kitabu kimekamilika
its just illusion hio ni kasoro piaMuda/time
Kinapimwa, lakini kwa kasoro pia, hapo juu nimesema hakuna kisicho na kasoro.Oh kipimo cha kupima efficiency ya kitu kuwa ni 100% je na chenyewe kinapimwa au hakipimwi?
Yaani kinapimwa efficiency yake ya kupima kama ni 100%?
Kama kasoro ni nothingness maana yake kasoro imetungwa na kundi fulani? Kusema kuwa hakuna kitu ambacho hakina kasoro na huku unasema kuwa kasoro ni nothingness huoni kuwa unajichanganya?Kinapimwa, lakini kwa kasoro pia, hapo juu nimesema hakuna kisicho na kasoro.
Kisicho na kasoro ni nothingness, ambayo haipo, kwa sababu ikiwepo tu inakuwa si nothingness tena.
Kwa hivyo hakuna kisicho na kasoro.
Kisingekuwa na kasoro, kisingeoshwa.kiungo chake [emoji1787][emoji1787]
Wa umri mmojaKikiondoa watu wote kwa pamoja nani atamsitiri mwenzake?
Kila unachokijua we basi akijakamilikaNatafuta kitu ambacho hakina kasoro hapa duniani, kitu kikamilifu kwa 100% kitu ambacho huwezi kukuta mawaa ndani yake.
Nimeangalia kama dini, zote zinamapungufu ndani yake.
Kama ni elimu zote zina mapungufu ndani yake, zimekosa majibu mengi.
Kama ni sera za vyama, sera za vuama vyote vimejaa mapungufu
Kama ni kazi za sanaa, zote zina kasoro.
Basi hivyo vitu upungufu wake ni kutoonekana ukamilifu wake.Mwanadamu pia ana kasoro hivyo baadhi ya vitu vipo katika ukamilifu wake lkn kutokana na udhaifu wa mwanadamu hatouona ukamilifu wake
[emoji124][emoji124][emoji124]
Yeah ila yatakuwa ni maono yako tu ila si uhalisia wakeBasi hivyo vitu upungufu wake ni kutoonekana ukamilifu wake.
Sijasema kasoro ni nothingness.Kama kasoro ni nothingness maana yake kasoro imetungwa na kundi fulani? Kusema kuwa hakuna kitu ambacho hakina kasoro na huku unasema kuwa kasoro ni nothingness huoni kuwa unajichanganya?
Wewe kunya tu ni kasoro tayari.
Ungekuwa huna kasoro usingekunya.
Au hunyi wewe?
Kunya ni kasoro, mwili wako umeshindwa kuchakata chakula kwa 100%.