proton pump
JF-Expert Member
- Apr 30, 2017
- 6,814
- 10,104
Alichukua mbususu ya polisi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ile issue yako ya Ohio ulimalizana nao vipi?Mandata usiku wanasaka hela, wakikuweka kwenye 18 zao, ambazo wanaweza kukutengezea msala, ongea nao vizuri kama huna hela ikiwezekana piga na magoti lia na kugalala gala watakuachia..
Mshana Jr sema ukweli.Ndomu mbona cha mtoto, kuna wengine hapa wanapiga deki kabisa kule kwenye tundu la kuzimu
Huyo anabidi afungwe miezi sita au faini sh. Miatano.KUNA mwananzengo mwenzetu alikamatwa usiku uliopita kwenye vyumba vya Wale wanawake wa lile kabila wakiuza Tukuyu zao.
Polisi wanasema wamemkamata kwa uzembe nanuzururaji, je mtu anaweza kuzurura chumbani?
Tamaa zake ndiyo zimemponza...Kukutwa.... chumbani. Je mlitaka mumkute wapi ndio asiwe na hatia?
😀😀😀 Hakupata chochote na hakuamini macho yake, wale wadada wazuriwazuri wanauza pale wakawa wanacheka kweli kweli .. mie huyoo.. ila ukweli nilikuwa nimeenda na mie windo mshenzi tu yule alikatisha route yanguIle issue yako ya Ohio ulimalizana nao vipi?
Sasa hapo ana kosa gani kisheria?Tamaa zake ndiyo zimemponza...
Kupurura😀😀😀 Hakupata chochote na hakuamini macho yake, wale wadada wazuriwazuri wanauza pale wakawa wanacheka kweli kweli .. mie huyoo.. ila ukweli nilikuwa nimeenda na mie windo mshenzi tu yule alikatisha route yangu
Kuna mwenzao mmoja kafa Arusha baada ya kumuibia mwanamke simu ndani ya gesti.Polisi wanaonesha ni jinsi gani vichwa vyao ni vyepesi
Kheee.....ptu
Kwa kosa gani?Huyo anabidi afungwe miezi sita au faini sh. Miatano.
Kwa kuzurura huko vyumbaniKwa kosa gani?
Kumbe aliiba simu? Polisi wana njaa kali sanaKuna mwenzao mmoja kafa Arusha baada ya kumuibia mwanamke simu ndani ya gesti.
ndio maana yake 😀😀😀 wakati wengine usingizi ukiisha wanaingia kwa maombi wengine ukiisha tunatafuta mahala pa kutupia gurunet 😀😀😀😀Kupurura
Ilitakiwa azurure sebuleni?Kwa kuzurura huko vyumbani
Unaingia kitaa kupokea muujiza wakondio maana yake 😀😀😀 wakati wengine usingizi ukiisha wanaingia kwa maombi wengine ukiisha tunatafuta mahala pa kutupia gurunet 😀😀😀😀
Kamtolee dhamanaIlitakiwa azurure sebuleni?