Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Ha ha ha[emoji23]Kheee.....ptu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ha ha ha[emoji23]Kheee.....ptu
Pale kaingia choo cha jiniKuna mwenzao mmoja kafa Arusha baada ya kumuibia mwanamke simu ndani ya gesti.
Kwani ukikutwa na gongo au unauza bangi humo ni kosa sio kosaukahaba ni biashara haramu kama gongo na bangiKwani malaya wa kwenye hivyo vibanda, kuna sehemu wameweka tangazo kuwa kuna biashara wanauza?
Hivyo vibanda ni makazi duni ya raia.
Sasa kuwakuta chumbani hata kama wanafanya mapenzi live ni kosa kisheria?
Ndiyo swali la mantiki ya mleta uzi.
Je kahaba haruhusiwi kuwa na mume/ mpenzi ?Kwani ukikutwa na gongo au unauza bangi humo ni kosa sio kosaukahaba ni biashara haramu kama gongo na bangi
Ushahidi wa kimazingira utamtoa relini.Busara ni kutuliza akili,kuongea na wakamataji myaweke sawa.Utaaibika.Wabrashie moka walizovaa halafu wanakutema ujikatae kwa waziri mkuu nyumbani.Umefafanua vyema
Copy, kisha paste hapaNimejaribu kuatach sehemu ya screenshot inakataa ila kasome penal code section 145
Kuwe na ushahidi uso mawaa wala shakashaka toka kwa jamii.Je kahaba haruhusiwi kuwa na mume/ mpenzi ?
Yeah polisi watatoa ushahidi gani? Kosa la uzururaji? Mtu kalipia chumba gesti anawezaje kuzurura ndani ya chumba?Mkuu unamaanisha iende mahakamani?
Maana Polisi ndiyo hao waliomdaka.
Kahaba haruhusiwi kuwa na mpenzi? Je kuna sheria yoyote inamkataza mwanaume asidinyie kwenye chumba cha demu wake?Ushahidi wa kimazingira utamtoa relini.Busara ni kutuliza akili,kuongea na wakamataji myaweke sawa.Utaaibika.Wabrashie moka walizovaa halafu wanakutema ujikatae kwa waziri mkuu nyumbani.
Picha hazikubali nadhani kuna shidaNimejaribu kuatach sehemu ya screenshot inakataa ila kasome penal code section 145
Amezembea nini? Kazurura wapi?Uzembe na uzururaji. Hii sheria hii🤣🤣🤣
Jibu swali hili. Je kahaba haruhusiwi kuwa na mpenzi? Kama mapenzi ni ya wawili, hiyo jamii inaingiaje hapa?Kuwe na ushahidi uso mawaa wala shakashaka toka kwa jamii.
Uzi unaeleza kakutwa kwenye zile nyumba ambamo hao akina "dada" hutoa huduma kwa kubadilishana na amafranga yaliyokubaliwa.Kama eneo tu limejulikana hutolewa huduma hiyo,je sheria za nchi zinaruhusu mtoa na mtaka huduma kuwepo eneo hilo?Yeah polisi watatoa ushahidi gani? Kosa la uzururaji? Mtu kalipia chumba gesti anawezaje kuzurura ndani ya chumba?
Mimi nikiwa kama wakili wake nitawauliza polisi tafsiri ya uzururaji ninini
Wamweleze km mtu anazurula chumbani tena kitandani. Wampeleke mahakamani wakathibitishe, huko ndiko haki yake itapatikana. Yeye awaeleze alikua amejistarehesha na Mpenzi wake chumbani amekamatwa na kuitwa mzurulaji.KUNA mwananzengo mwenzetu alikamatwa usiku uliopita kwenye vyumba vya Wale wanawake wa lile kabila wakiuza Tukuyu zao.
Polisi wanasema wamemkamata kwa uzembe nanuzururaji, je mtu anaweza kuzurura chumbani?
Yaani kukamatwa ukamatwe wewe halafu unajifanya eti “mwananzengo mwenzetu” kakamatwa.😂KUNA mwananzengo mwenzetu alikamatwa usiku uliopita kwenye vyumba vya Wale wanawake wa lile kabila wakiuza Tukuyu zao.
Polisi wanasema wamemkamata kwa uzembe nanuzururaji, je mtu anaweza kuzurura chumbani?
Hii sheria huwa inanichekeshaga sana aiseeAmezembea nini? Kazurura wapi?
Maeneo yote hatarishi huwekewa alama na mabango ya tahadhari. Wakati mwingine huwezewa utepe wa tahadhariUzi unaeleza kakutwa kwenye zile nyumba ambamo hao akina "dada" hutoa huduma kwa kubadilishana na amafranga yaliyokubaliwa.Kama eneo tu limejulikana hutolewa huduma hiyo,je sheria za nchi zinaruhusu mtoa na mtaka huduma kuwepo eneo hilo?
[emoji23][emoji23][emoji23]bro hujasikia au utatuigizia?Mimi?