Je ni kosa kisheria kulala na kahaba?

Je ni kosa kisheria kulala na kahaba?

Umefafanua vyema
Comments zote hakuna aliyejibu kibobezi, sote ni ma lay man wa sheria.

Nafuatilia majibu, maana kuna ndugu yangu juzi askari wa doria walimdaka kapaki gari pembezoni mwa bara bara usiku akichuna ngozi.

Piga tochi, yupo uchi wa mnyama kamkunja kwenye siti ya abiria anagonga!

"Toka humo we mbwa tundoke kwenda kituoni".

Jamaa akakunjurua wallet wakamtema akaja kunihadithia.

Sasa nipo nadoea jibu la kisheria kupata uzoefu.
 
Kahaba haruhusiwi kuwa na mpenzi? Je kuna sheria yoyote inamkataza mwanaume asidinyie kwenye chumba cha demu wake?
Ameitwa kahaba.Umekutwa sehemu inapouzwa ngono(ina maana inajulikana).Kuhusu kahaba kuwa na mpenzi,mna ushahidi gani na jamii ishuhudie mbele ya sheria?Eneo la malaya haligeuki haraka hivyo kuwa "geto la demu" wako.Je,sheria inaruhusu umalaya/kufanya biashara ya kuuza ngono?Turudi Rau Madukani.
 
[emoji3][emoji3][emoji3] waende mahakamani
 
Ameitwa kahaba.Umekutwa sehemu inapouzwa ngono(ina maana inajulikana).Kuhusu kahaba kuwa na mpenzi,mna ushahidi gani na jamii ishuhudie mbele ya sheria?Eneo la malaya haligeuki haraka hivyo kuwa "geto la demu" wako.Je,sheria inaruhusu umalaya/kufanya biashara ya kuuza ngono?Turudi Rau Madukani.
Mama muuza pombe kavaa mask, kajifunika uso mzima, hata macho hayaonekani. Huyu anaumbo la Polisi.
 
Ameitwa kahaba.Umekutwa sehemu inapouzwa ngono(ina maana inajulikana).Kuhusu kahaba kuwa na mpenzi,mna ushahidi gani na jamii ishuhudie mbele ya sheria?Eneo la malaya haligeuki haraka hivyo kuwa "geto la demu" wako.Je,sheria inaruhusu umalaya/kufanya biashara ya kuuza ngono?Turudi Rau Madukani.
Mama muuza pombe kavaa mask, kajifunika uso mzima, hata macho hayaonekani. Huyu anaumbo la Polisi.
 
Jibu swali hili. Je kahaba haruhusiwi kuwa na mpenzi? Kama mapenzi ni ya wawili, hiyo jamii inaingiaje hapa?
Kahaba kama alivyo mtu mwingine ana haki ya kuwa na mpenzi.Awali,umeeleza jamaa amekutwa ile sehemu inakotolewa huduma ya ngono(ina maana jamii na hata weye unajua kwamba wanafanya biashara hiyo).Swali:Sheria za nchi zinaruhusu hiyo biashara?Jamaa amekutwa hapo.Ni kwake?Kama si kwake na anajua yupo "gulio" hatarishi huyo ni mzembe kuzembea utii wa sheria.Hayupo kwake.Ina maana anazurula bila kujielewa shughuli aifuatayo.Sasa,asipelekwe kabatini kwa nini wakati amevunja sheria,anafanya umalaya na yupo sehemu isiyo sahihi anazurula?
 
Kwani ukikutwa na gongo au unauza bangi humo ni kosa sio kosaukahaba ni biashara haramu kama gongo na bangi
Tunataka "angle" namna ya kulithibitisha hilo mahakamani, ndiyo maana maswali ni mengi hayajapata majibu.

Kukamatwa chumbani ukifanya falagha ni kosa?

Maana hao malaya hawajaweka bango la biashara, hayo ni makazi mtu kapanga anaishi.

Haya labda tuseme alihojiwa na kukiri kuwa hapo siyo kwake, je ni kosa kisheria wapenzi wasio wanandoa kufanya falagha zao?

Hapo ndipo ninapopafuatilia mimi.

Kama unaielewa hiyo sheria, weka na vifungu kabisa tumalize mjadala.
 
[emoji3][emoji3][emoji3] waende mahakamani
Aliyekutwa kwa makahaba kesi itamshinda.Ana makosa ya kukutwa nyumba ya makahaba akifanya umalaya.Na hayupo kwake pale.Ni mzurulaji tu.Kutokujua kwake hakutamsaidia kuepuka rungu la sheria.
 
Uzi unaeleza kakutwa kwenye zile nyumba ambamo hao akina "dada" hutoa huduma kwa kubadilishana na amafranga yaliyokubaliwa.Kama eneo tu limejulikana hutolewa huduma hiyo,je sheria za nchi zinaruhusu mtoa na mtaka huduma kuwepo eneo hilo?
Hapo sirikali imevaa mawani ya mbao tofauti kabisa na haya ya kwangu.. Ndio maana hizi kesi huwa hazipelekwi mahakamani kwakuwa ushahidi hautoshelezi
 
Tunataka "angle" namna ya kulithibitisha hilo mahakamani, ndiyo maana maswali ni mengi hayajapata majibu.

Kukamatwa chumbani ukifanya falagha ni kosa?

Maana hao malaya hawajaweka bango la biashara, hayo ni makazi mtu kapanga anaishi.

Haya labda tuseme alihojiwa na kukiri kuwa hapo siyo kwake, je ni kosa kisheria wapenzi wasio wanandoa kufanya falagha zao?

Hapo ndipo ninapopafuatilia mimi.

Kama unaielewa hiyo sheria, weka na vifungu kabisa tumalize mjadala.
Kwa maelezo yako sio kosa,hizo kesi huwa ni ngumu kuthibitisha mahakamani ndio maana huishia polisi,ila haiondoi maana kuwa ukahaba ni kosa kisheria
 
Ushahidi wa kimazingira utamtoa relini.Busara ni kutuliza akili,kuongea na wakamataji myaweke sawa.Utaaibika.Wabrashie moka walizovaa halafu wanakutema ujikatae kwa waziri mkuu nyumbani.
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]!
Mnavimisemo nyie!

Na kingine kitakacho kufanya u rushwa'ke ni kuzuia habari kama hizo mama asizisikie.

Utafanya kila uwezalo na kwa gharama yoyote ili mahakamani usifike ama Polisi usinuse.

Uyeyukie na kujikaa tu hapo katikati.
 
Aliyekutwa kwa makahaba kesi itamshinda.Ana makosa ya kukutwa nyumba ya makahaba akifanya umalaya.Na hayupo kwake pale.Ni mzurulaji tu.Kutokujua kwake hakutamsaidia kuepuka rungu la sheria.
Naanza kuona mantiki.

Lakini mkuu unaijua vuta nikuvute ya maswali ya kisheria mahamani?

Hao wakamataji kuthibitisha kisheria kuwa eneo hilo ni la makahaba kuna ugumu wake hasa ukikuta mdodosaji katuliza akili.

"Kuthibitisha" ni neno pana sana linaloweza kumjaza mate mdomoni mshitaki.
 
Back
Top Bottom