Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo ukweliMit 6:32 SUV
Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa; Afanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake
Polisi wanaonesha ni jinsi gani vichwa vyao ni vyepesiHii nchi ya kizembe sana. Yani unazurula ukiwa chumbani.
Hadi unamuota mwanaume mwenzako!...naogopaJa nilikuota usiku umenipeleka nyumbni kwako
Kama ni kweli hupaswi kupelekwa polisi bali mirembe [emoji23]Hii nchi ya kizembe sana. Yani unazurula ukiwa chumbani.
Chumbani na tena mmekubaliana inakuwaje kosa? Pia makosa yapo kisheria. Je ni kosa kwa sheria ipi?Ni kosa... ndio maana ukijaribu kupitia huko nyuma utakuta wamekamatwa wengi tu kwa makosa kqma hayo na yanayofanania na hayo
Kwa mujibu wa polisi, kuwa rijali ni kosaHv ni lini polisi wa Tz wataelewa kutomb......ni sehemu ya basic need kwa binadamu aliyekamilika.!?
Kosa ni lao basiNdio Hakuna risiti pale wala malipo ya Gvt.
Mandata usiku wanasaka hela, wakikuweka kwenye 18 zao, ambazo wanaweza kukutengezea msala, ongea nao vizuri kama huna hela ikiwezekana piga na magoti lia na kugalala gala watakuachia..KUNA mwananzengo mwenzetu alikamatwa usiku uliopita kwenye vyumba vya Wale wanawake wa lile kabila wakiuza Tukuyu zao.
Polisi wanasema wamemkamata kwa uzembe nanuzururaji, je mtu anaweza kuzurura chumbani?
Kukutwa.... chumbani. Je mlitaka mumkute wapi ndio asiwe na hatia?Kosa lake hapo ni kukutwa...
Hilo kosa la kukutwa chumbani limesha wahi kusomwa kwenye mahakama ipi, na hakimu gani?Ila hii biashara haiendani na tamaduni za mwafrika.....
Kifupi ni kosa ila ukipenyeza lupia una achiwa chap chap....
Hapo kosa lake ni UZEMBE NA UDHURURAJI.....Hilo kosa la kukutwa chumbani limesha wahi kusomwa kwenye mahakama ipi, na hakimu gani?
Una zururaje chumbani? Basi apelekwe Mirembe akapimwe akiliHapo kosa lake ni UZEMBE NA UDHURURAJI.....