Je, ni kosa kuoa mwanamke mwenye mtoto?

Je, ni kosa kuoa mwanamke mwenye mtoto?

Ukioa mwanamke mwenye mtoto umeoa mke wa mtu, lazima uumie baadae.
 
Mwanaume yeyote anae elewa maana halisi kabisa ya kuoa, hapaswi kuthubutu kumuoa mwanamke ambae tayari ana mtoto hata kama mtoto huyo alimpata kwa bahati mbaya.

Elewa kwamba, kumuoa wewe hakutoweza kuvunja uhusiano/mawasiliano yake na mzazi mwenzie. Mara nyingi mwanamke alie zaa na mwanaume fulani anapofikia uamuzi wa kuolewa na wewe si kwamba hampendi yule bwana, anampenda na bado anamfikiria. Isipokuwa amefikia uamzi huo kwa sababu huenda yule bwana amempuuza nk, kukubali kuolewa na wewe imetokea kama dharura tu chaguo lake ni yule mwingine. Hivyo kwa namna moja ama nyingine yule bwana atakuja kukuvurugia ndoa yako kwa kigezo cha mtoto wake, na jambo hili limekuja kuleta shida kweli!
 
Fanya kama moyo wako unavyokutuma.. Mapenzi ni ya wawili... La muhimu akueleze ukweli juu ya mahusiano yake na huyo mzazi mwenzake na kwanini hawaishi pamoja.. Maana kama ishu ni mtoto pia wapo baadhi ya wanaume wamezaa kabla ya kuoa, je nao wasioe sababu watawasiliana na wazazi wenzao?? Tafakari
 
Mwanaume yeyote anae elewa maana halisi kabisa ya kuoa, hapaswi kuthubutu kumuoa mwanamke ambae tayari ana mtoto hata kama mtoto huyo alimpata kwa bahati mbaya.

Elewa kwamba, kumuoa wewe hakutoweza kuvunja uhusiano/mawasiliano yake na mzazi mwenzie. Mara nyingi mwanamke alie zaa na mwanaume fulani anapofikia uamuzi wa kuolewa na wewe si kwamba hampendi yule bwana, anampenda na bado anamfikiria. Isipokuwa amefikia uamzi huo kwa sababu huenda yule bwana amempuuza nk, kukubali kuolewa na wewe imetokea kama dharura tu chaguo lake ni yule mwingine. Hivyo kwa namna moja ama nyingine yule bwana atakuja kukuvurugia ndoa yako kwa kigezo cha mtoto wake, na jambo hili limekuja kuleta shida kweli!
Nazidi kupata madini,lakini pamoja na hayo mtu anakuonyesha upendo na kukujali kabisa,na mwanaume alishakimbia mimba mpaka mtoto keshakuwa na umri wa miaka 5,je ni rahisi kwa huyu mwanamke kumrudia njemba wake??????
 
Kwanza kwanini unaoa? Kuoa hakuna faida yoyote iwe ni mwanamke mwenye mtoto au asiye na mtoto. Kwani unakosa nini mpaka uoe? Tafakari.
Kwa hiyo unataka kuniambia huna wazo la kuoa kabisa??????
 
Si kosa kama umeokoka kwa maana maamuzi hayatakuwa ya kwako bali ya Roho Mtakatifu, ila ni kosa kama hujaokoka kwa kuwa maamuzi yatakuwa juu ya Roho wa kisasi.
 
Mkuu ni sawa...kama utabahatisha wapi single mother wanaojielewa....kuna wengine walipata mimba kwa Bahati mbaya.

Ni bora huyo aliye na mtoto je unataka yule aliyetoa mimba zaidi.

Mkuu muambie akueleze namna ambavyo aliupata ujauzito wake..msimamo wake dhidi ya mzazi mwenzie

Mi naishi na mwanamke ambaye teyari anamtoto kiukweli tunaishi vizuri sana .......wajati nampenda mtoto alikuwa na miaka miwili sasa mtoto anamiaka nane.....kuna single mother wanabusara sana mkuu hayo ya kupigiwa inategemeana na hulka ya mwanamke mwenyewe hata Mimi kuna mwanamke nilizaa nae kiukweli hata paja lake sijawahi kuliona tena..

Hawa watu wanapenda sana maendeleo wanajituna achana na hivi vibinti vitoa mimba mkuu....ni kama vifuata upepeo mchukue muweke ndani....mtoto ake mpende umlee bhasi ...maana u never know......
 
Mkuu ni sawa...kama utabahatisha wapi single mother wanaojielewa....kuna wengine walipata mimba kwa Bahati mbaya.

Ni bora huyo aliye na mtoto je unataka yule aliyetoa mimba zaidi.

Mkuu muambie akueleze namna ambavyo aliupata ujauzito wake..msimamo wake dhidi ya mzazi mwenzie

Mi naishi na mwanamke ambaye teyari anamtoto kiukweli tunaishi vizuri sana .......wajati nampenda mtoto alikuwa na miaka miwili sasa mtoto anamiaka nane.....kuna single mother wanabusara sana mkuu hayo ya kupigiwa inategemeana na hulka ya mwanamke mwenyewe hata Mimi kuna mwanamke nilizaa nae kiukweli hata paja lake sijawahi kuliona tena..

Hawa watu wanapenda sana maendeleo wanajituna achana na hivi vibinti vitoa mimba mkuu....ni kama vifuata upepeo mchukue muweke ndani....mtoto ake mpende umlee bhasi ...maana u never know......
Bonge la ushauri kaka asante,na kwa jinsi ninavyomuona toka nimekuwa nae ni mtu anayejituma na sijawahi kumhofia chochote kibaya kwake,japo yeye anaishi kwake na mimi kwangu,na kila anachokifanya ktk mihangaiko yake ananijuza,ninachoshangaa zaidi kila nikienda ofisini kwake nakuta anasoma BIBILIA huwa namtafakari sana.
 
Jamani mimi ni kijana na nina ndoto ya kuja kuwa na familia,lakini ninachojiuliza ni kosa kuoa mwanamke mwenye mtoto???????.
ucjarbu utaoa mke wa mtu kaa ukijua hao watu wata kusumbua kwa kisingizio cha mtoto na uta gongewa saana.
 
Si kosa kama umeokoka kwa maana maamuzi hayatakuwa ya kwako bali ya Roho Mtakatifu, ila ni kosa kama hujaokoka kwa kuwa maamuzi yatakuwa juu ya Roho wa kisasi.
Mimi sijaokoka bado ila naishi katika imani,huyu dada ndo kaokoka,ni mtu mtaratibu sana,ila si unajua kila mtu na utashi wake,HAZINA YA MTU ILIPO NDIPO MOYO WAKE UPO.
 
Bonge la ushauri kaka asante,na kwa jinsi ninavyomuona toka nimekuwa nae ni mtu anayejituma na sijawahi kumhofia chochote kibaya kwake,japo yeye anaishi kwake na mimi kwangu,na kila anachokifanya ktk mihangaiko yake ananijuza,ninachoshangaa zaidi kila nikienda ofisini kwake nakuta anasoma BIBILIA huwa namtafakari sana.
Asikudanganye MTU mkuu.....tena ni watu wazuri sana wanyenyekevu ...huenda umebahatisha mkuu mi naamini mungu huyu ndie mke aliyenipangia Nampenda kwa kweli maana toka naanza kumfuata miaka sita iliyopita alinieleza wazi kabisa na Mimi nikaridhia kuwa nae...

Suala LA kupigiwa kama lipo lipo tu haijalishi kuwa kazalishwa au vipi......vipi wale wanaoolewa bila kuwa na mtoto lakini mwisho Wa siku wanakuja kuzaa mtoto nje ya ndoa....na X boyfriend wake...mkuu ziba pamba masikioni Amini wewe sio kwanza typo wengi wenye ndoa za namna hiyo.....na maisha yanaendelea na familia inakuwa na amani na upendo.....

Nafurahia sana ananishauri vitu vya msingi sana mkuu .....tofauti na hata wale ambao hawajazaa huenda hao pia sana idadi kubwa ya watoto waliokufa kwa sababu waliwauwa angali wakiwa tumboni..
 
They are forced to be humble not by their will


Asikudanganye MTU mkuu.....tena ni watu wazuri sana wanyenyekevu ...huenda umebahatisha mkuu mi naamini mungu huyu ndie mke aliyenipangia Nampenda kwa kweli maana toka naanza kumfuata miaka sita iliyopita alinieleza wazi kabisa na Mimi nikaridhia kuwa nae...

Suala LA kupigiwa kama lipo lipo tu haijalishi kuwa kazalishwa au vipi......vipi wale wanaoolewa bila kuwa na mtoto lakini mwisho Wa siku wanakuja kuzaa mtoto nje ya ndoa....na X boyfriend wake...mkuu ziba pamba masikioni Amini wewe sio kwanza typo wengi wenye ndoa za namna hiyo.....na maisha yanaendelea na familia inakuwa na amani na upendo.....

Nafurahia sana ananishauri vitu vya msingi sana mkuu .....tofauti na hata wale ambao hawajazaa huenda hao pia sana idadi kubwa ya watoto waliokufa kwa sababu waliwauwa angali wakiwa tumboni..
 
Anafunga na kisali kwa ajili yako usije na wewe ukakata kona


Bonge la ushauri kaka asante,na kwa jinsi ninavyomuona toka nimekuwa nae ni mtu anayejituma na sijawahi kumhofia chochote kibaya kwake,japo yeye anaishi kwake na mimi kwangu,na kila anachokifanya ktk mihangaiko yake ananijuza,ninachoshangaa zaidi kila nikienda ofisini kwake nakuta anasoma BIBILIA huwa namtafakari sana.
 
Haina shida ila muhimu ujue kwa nini yuko single na ana mtoto?

Ama alikuwa macho juu juu akapigwa kitu shuleni

Ama alikuwa waya mkali kitaa akatumia papuchi ili mkono uende kinywani

Ama anapenda sana hii kitu hii/ yaani ndio furaha yake

Lakini kubwa zaidi kupata mimba ina maana alitoa mnofu yaani hakujali. Sasa vipi ndani ya ndoa asije kumpa mnofu muuza samaki, msugua kucha, muuza genge, dereva bodaboda..... Kwani wanawake wana akili basi!?

Hapo kwenye Blue unamatatizo,tena sio kidogo. Ninawasiwasi na malezi yako yaelekea wanawake wote waliokaribu na wewe wanatabia za ajabu.
 
Back
Top Bottom