Pre GE2025 Je, ni kwamba Rais hajui kuwa Dkt. Slaa anasota jela kwa makosa yanayo dhaminika?

Pre GE2025 Je, ni kwamba Rais hajui kuwa Dkt. Slaa anasota jela kwa makosa yanayo dhaminika?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Huo ndio uungwana, hata tusio wapenda tuwape haki na stahili zao.
Slaa ndiye asiyempenda Samia, nina uhakika akisikia msaada umetoka kwa Samia atakataa kwa jinsi asivyompenda. Hapo anatamani hata afie huko Ili Samia alaumiwe........tatizo tu anaona hatokuwepo kushuhudia na kushadadia hilo na utamu wa energy ya Azam ndo cinamfanya asiombe hilo kutokea.
 
Slaa ndiye asiyempenda Samia, nina uhakika akisikia msaada umetoka kwa Samia atakataa kwa jinsi asivyompenda. Hapo anatamani hata afie huko Ili Samia alaumiwe........tatizo tu anaona hatokuwepo kushuhudia na kushadadia hilo na utamu wa energy ya Azam ndo cinamfanya asiombe hilo kutokea.
Eti unasemaje?
 
Najiuliza tu sipati jibu. Ni KWELI kuna mihimili mitatu, Dola, Mahakama na Bunge, mihimili hii haiingiliani, Ila kwa mujibu wa kauli ya rais wa awamu ya tano, kuna mhimili mmoja una mizizi mirefu sana hadi mizizi hiyo inaingia kwenye mihimili mingine.

MBOWE na kina @adamoo walipokuwa wakihenyeshwa na kesi ya ugaidi, rais aliweza kuingilia muhimili wa Mahakama na kuamuru kesi ya MBOWE na wenzake ifutwe.

Kesi ikafutwa, kituo cha kwanza cha MBOWE ikawa ni kwenda ikulu.

Mzee Slaa ana miaka 76, yuko magerezani, anasota, je mama huyu mpenda haki, ambaye ana taasisi ya kisheria ya kupania haki kwa wanyonge, anashindwaje kumtoa Slaa jela?

Slaa atoke jela, kesi yake iendelee akiwa uraiani.

Huo ndio uungwana, hata tusio wapenda tuwape haki na stahili zao.
Kuna siku dula nae ataingia kolokoloni mama nae ata feel the same pain
 
Huyo Mzee ameongea maneno yakutisha,yan sisi tuliokuwa tunamsikiliza tuliingiwa na woga,ebu tafuta video yake au sauti.
 
Wengine tulisema mapema kuwa hayo maigizo ya demokrasia sijui maridhiano ni wakati wa honeymoon tu,yataisha,ngozi nyeusi tunajuana.

Tofauti na Kizza Besigye,Dr Slaa yupo mahakama ya kiraia.
 
Najiuliza tu sipati jibu. Ni KWELI kuna mihimili mitatu, Dola, Mahakama na Bunge, mihimili hii haiingiliani, Ila kwa mujibu wa kauli ya rais wa awamu ya tano, kuna mhimili mmoja una mizizi mirefu sana hadi mizizi hiyo inaingia kwenye mihimili mingine.

MBOWE na kina @adamoo walipokuwa wakihenyeshwa na kesi ya ugaidi, rais aliweza kuingilia muhimili wa Mahakama na kuamuru kesi ya MBOWE na wenzake ifutwe.

Kesi ikafutwa, kituo cha kwanza cha MBOWE ikawa ni kwenda ikulu.

Mzee Slaa ana miaka 76, yuko magerezani, anasota, je mama huyu mpenda haki, ambaye ana taasisi ya kisheria ya kupania haki kwa wanyonge, anashindwaje kumtoa Slaa jela?

Slaa atoke jela, kesi yake iendelee akiwa uraiani.

Huo ndio uungwana, hata tusio wapenda tuwape haki na stahili zao.
Huyo Dk. Slaa na uzee wake hajui muda gani wa kufunga mdomo? Na hata akiufungua hajui aongee nini? Mwache asote, after all aliishasema haogopi kufa!
 
Huyo Mzee ameongea maneno yakutisha,yan sisi tuliokuwa tunamsikiliza tuliingiwa na woga,ebu tafuta video yake au sauti.
NIlitegemea wangempeleka mahakamani akathibitishe ili atiwe hatiani vizuri. Why Cycling?
 
Back
Top Bottom